Uzuri Wakurya hawaelewi huo upuuzi waoneeni watu Wamakonde na Korosho zaoSheria ya ardhi inahusika huwezi ingia eneo la mtu bila ridhaa yake ndio maana viwanja huombwa vibali kwa wenye navyo kuvitumia hujiingilii tu
Huo ndio utawala wa sheria Lisu abaoupigia kelele . Kiwanja changu Nina hati nacho wewe unajiingiza kimabavu haikubaliki
Eneo la nani kamanda, mbona hicho kipande hamuweki wazi. mambo ya kusimamisha usiku au mchana sio issue, bora imesimama.Hilo ango ni la kihuni kwanini lisimikwe Usiku
Ng'oeni bango watu watafute uhuru wao kutoka katika huu utawala wa mkoloni mweusi
Hilo ni eneo la WananchiEneo la nani kamanda, mbona hicho kipande hamuweki wazi. mambo ya kusimamisha usiku au mchana sio issue, bora imesimama.
Mwenye hati Nani?Hilo ni eneo la Wananchi
Mkurya huwa havamii eneo lisilo lakeUzuri Wakurya hawaelewi huo upuuzi waoneeni watu Wamakonde na Korosho zao
Unaleta majibu rahisi kamanda. Mambo ya kununua kisamvu sababu umeona jirani ana kinu!Hilo ni eneo la Wananchi
Wewe ngoja uoneMkurya huwa havamii eneo lisilo lake
Na si kila ndoa ina hatiUnaleta majibu rahisi kamanda. Mambo ya kununua kisamvu sababu umeona jirani ana kinu!
Hivi alishaacha ualimu kipindi anajiunga yupo TANU ?Nyerere angetii sheria za mkoloni bila shuruti sijui angeishia kuwa tarishi
Kama eneo ni la Taasisi au mtu binafsi lazima kuliomba siyo kujiendea tu!! Chadema mnakwama wapi??View attachment 1553076
Viongozi wa Chadema wa Jimbo la Serengeti wameongea na Waandishi wa habari ili kutoa ratiba kamili ya Mgombea wao wa Urais Mh Tundu Lissu ndani ya jimbo hilo , ikiwa ni pamoja na kueleza eneo utakapofanyika mkutano huo.
Lakini cha kushangaza muda mfupi baadaye eneo hilo likasimikwa bango la kuzuia matumizi ya kisiasa ya eneo hilo .
Kuna haja ya Tume ya Uchaguzi kutoa mwongozo wa jambo hili ili kuepusha vurugu
Viwanja Vipo.Kwamba kabla ya Gambo Arusha haikuwa na viwanja ?
Hilo eneo ni la Taasisi sasa nyinyi mnaenda tuu!! Mipango yenu ni Zero kabisa!!Kama hilo Bango lingeandikwa kuwa hilo eneo ni la mtu binafsi mbona lingeeleweka
Ila Mkurugenzi anakurupuka baada ya kusikia Chadema wanakuja uweka kambi hapo huo ni uhuni tu.
Umeambiwa vimejengwa! Dada uelewa wako ni Zero Kabisa!!Kwamba kabla ya Gambo Arusha haikuwa na viwanja ?
MWISHO WA CCM MWAKA HUUView attachment 1553076
Viongozi wa Chadema wa Jimbo la Serengeti wameongea na Waandishi wa habari ili kutoa ratiba kamili ya Mgombea wao wa Urais Mh Tundu Lissu ndani ya jimbo hilo , ikiwa ni pamoja na kueleza eneo utakapofanyika mkutano huo.
Lakini cha kushangaza muda mfupi baadaye eneo hilo likasimikwa bango la kuzuia matumizi ya kisiasa ya eneo hilo .
Kuna haja ya Tume ya Uchaguzi kutoa mwongozo wa jambo hili ili kuepusha vurugu
Kwahiyo hapo unajiona bonge la mtu mahiri kwa hii post yako iliyojaa upumbavu na ujinga?Kawaida kiwanja chochote kabla kutumia unatakiwa kuomba kibali Cha mwenye kiwanja Sasa mfano mimi Nina kiwanja changu chamazi Cha AZam ukiambiwa ujaze utakapofanyia mkutano wako utajazaje jina la kiwanja changu Wakati hujawasiliana nami?
Na kwa kuwa Ni changu Nina Uhuru wa kubadili matumizi Wakati wowote
WAMBIE CHADEMA, WAKAFANYE HAPOHAPO MKUTANO.View attachment 1553076
Viongozi wa Chadema wa Jimbo la Serengeti wameongea na Waandishi wa habari ili kutoa ratiba kamili ya Mgombea wao wa Urais Mh Tundu Lissu ndani ya jimbo hilo , ikiwa ni pamoja na kueleza eneo utakapofanyika mkutano huo.
Lakini cha kushangaza muda mfupi baadaye eneo hilo likasimikwa bango la kuzuia matumizi ya kisiasa ya eneo hilo .
Kuna haja ya Tume ya Uchaguzi kutoa mwongozo wa jambo hili ili kuepusha vurugu
Utawala ndo nani? Hao ni wahuni tu waliosimika hilo tangazo. Watakaozingatia tangazo hilo ni wajinga.View attachment 1553076
Viongozi wa Chadema wa Jimbo la Serengeti wameongea na Waandishi wa habari ili kutoa ratiba kamili ya Mgombea wao wa Urais Mh Tundu Lissu ndani ya jimbo hilo , ikiwa ni pamoja na kueleza eneo utakapofanyika mkutano huo.
Lakini cha kushangaza muda mfupi baadaye eneo hilo likasimikwa bango la kuzuia matumizi ya kisiasa ya eneo hilo .
Kuna haja ya Tume ya Uchaguzi kutoa mwongozo wa jambo hili ili kuepusha vurugu
Mkoloni mhutu.Hilo bango ni la kihuni kwanini lisimikwe Usiku
Ng'oeni bango watu watafute uhuru wao kutoka katika huu utawala wa mkoloni mweusi