Uoga: Kongamano la Katiba lazua balaa Mwanza. RPC aanza kumung'unya maneno, amsingizia Rais

Uoga: Kongamano la Katiba lazua balaa Mwanza. RPC aanza kumung'unya maneno, amsingizia Rais

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hii ndio taarifa ya usiku huu kutoka Mwanza kwa hisani ya Maranja Masese

Atatukuta_ukumbini_kesho_mapema_asubuhi..jpg

Mwanza.jpg
 
Naona "Mama" yenu mliyemshangilia na kumvisha taji la ukombozi anawanyuka mijeledi ya mwendazake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Vipi Sukuma gang si limeshaisha na nchi tumeifungua?

Upinzani wa kutegemea mwana CCM (Samia Hassan) atimize matakwa yenu Ni bure kabisa!

Ogopeni mwanamke akikasirika maana muda mwingi anajistukia kudharauliwa, mlikosea kuanza kumpa hongera na sifa lukuki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naona "Mama" yenu mliyemshangilia na kumvisha taji la ukombozi anawanyuka mijeledi ya mwendazake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Vipi Sukuma gang si limeshaisha na nchi tumeifungua?

Upinzani wa kutegemea mwana CCM (Samia Hassan) atimize matakwa yenu Ni bure kabisa!

Ogopeni mwanamke akikasirika maana muda mwingi anajistukia kudharauliwa, mlikosea kuanza kumpa hongera na sifa lukuki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umesikiliza hotuba za Mwamba ?
 
Ila mwanza kuna corona serious naomba chadema acheni kufanya mambo ambayo yanafanywa na ccm pls don't

Corona imetoka kumchukua kaka yake na mbowe lakini hamjaridhika tu mnaenda kwenye risk

Sikubaliani na kauli ya kamanda ila pia sikubaliani na mikutano ya chadema kukusanya watu.

Media zipo wazi sasahivi nendeni uko mkatoe elimu

Juzi Mbowe aliitwa clouds alienda? Nchi ina taharuki ya Miamala, corona sijui sadala yaani upuuzi mtupu

Hebu niacheni Mimi nipige pombe aisee Leo weekend!
 
Back
Top Bottom