Uoga: Kongamano la Katiba lazua balaa Mwanza. RPC aanza kumung'unya maneno, amsingizia Rais

Uoga: Kongamano la Katiba lazua balaa Mwanza. RPC aanza kumung'unya maneno, amsingizia Rais

Very stupid hypothetical question. Ask a sensible question
You're very right bro/sister Mana from lizard,mammals brain to cortex brain Zina process information tofauti kabisa.
Some are linear thinker others are lateral thinkers.
Some people see details while others see big picture.
Pia ni maoni yako so una Uhuru.
Nimeuliza Kama hao wanaotaka kudai katiba wangekuwa wao ndio wako madarakani wanakula Ile keki na asali ya Taifa Ana trilioni zake kadhaa uswisi je angeweza kweli kuiwazia katiba mpya.
So nikataka tuwe transparent
 
Naona "Mama" yenu mliyemshangilia na kumvisha taji la ukombozi anawanyuka mijeledi ya mwendazake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Vipi Sukuma gang si limeshaisha na nchi tumeifungua?

Upinzani wa kutegemea mwana CCM (Samia Hassan) atimize matakwa yenu Ni bure kabisa!

Ogopeni mwanamke akikasirika maana muda mwingi anajistukia kudharauliwa, mlikosea kuanza kumpa hongera na sifa lukuki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila kwakweli alianza vizuri, hivyo haikiwa kosa kumsifia pale meanzo mana tulitoka utumeani balaa.
Pia kumpinga au kumkosoa anavyo haribu ni sawa pia.
 
Ila mwanza kuna corona serious naomba chadema acheni kufanya mambo ambayo yanafanywa na ccm pls don't

Corona imetoka kumchukua kaka yake na mbowe lakini hamjaridhika tu mnaenda kwenye risk

Sikubaliani na kauli ya kamanda ila pia sikubaliani na mikutano ya chadema kukusanya watu.

Media zipo wazi sasahivi nendeni uko mkatoe elimu

Juzi Mbowe aliitwa clouds alienda? Nchi ina taharuki ya Miamala, corona sijui sadala yaani upuuzi mtupu

Hebu niacheni Mimi nipige pombe aisee Leo weekend!
Huyo mwenezi wa CCM ana speciality gani?
Ni kukosa nguvu za kisiasa kwa CCM kwa wananchi, tegemeo lililo baki ni nguvu za jeshi
 
CHADEMA kimekuwa na wajinga wengi sana. Yaani chama kimekosa dira.
 
Wafuasi wa chadema wamechoma moto ofisi ya kata huko mkoani Songwe.
 
Back
Top Bottom