Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katiba sio mkutano wa kisiasa. Ni mkutano wa kizalendo.Kwani mikutano ya kisiasa imefunguliwa lini?
Hao walioko madarakani wangekuwa hawapo kwenye madaraka Je wasingedai?Ni sawa katiba mpya Ila Nina kaswali ka kizushi.
Je , hao wanaoandaa wangekuwa madarakani kweli wangekomaa kuidai katiba
Ufipa wanapaswa kuonyesha mfano kwa kuanza kubadili katiba ya chama chao iendane na uhalisia wa demokrasia na kumpunguzia madaraka makubwa aliyokua nayo mwenyekit na kuweka ukomo wa kuhudumu kwa viongoz waandamiz.Ni sawa katiba mpya Ila Nina kaswali ka kizushi.
Je , hao wanaoandaa wangekuwa madarakani kweli wangekomaa kuidai katiba
Inchi yangu inawapumbavu wengi sana,
Saaaaagudaaaa sasagudaaaaaa nakuitaaa kwa sauti Saguda47 mtu wangu Dogo Saguda47 bado unazile ruby rangi ya marvy???Naona "Mama" yenu mliyemshangilia na kumvisha taji la ukombozi anawanyuka mijeledi ya mwendazake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vipi Sukuma gang si limeshaisha na nchi tumeifungua?
Upinzani wa kutegemea mwana CCM (Samia Hassan) atimize matakwa yenu Ni bure kabisa!
Ogopeni mwanamke akikasirika maana muda mwingi anajistukia kudharauliwa, mlikosea kuanza kumpa hongera na sifa lukuki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hazikuwa Ruby lilikuwa jiwe tu [emoji23][emoji119]Saaaaagudaaaa sasagudaaaaaa nakuitaaa kwa sauti Saguda47 mtu wangu Dogo Saguda47 bado unazile ruby rangi ya marvy???
Hilo suala ilitakiwa kutumia busara tu.Hata kama kuna mkanganyiko wa kutoa taarifa polisi naona ingekuwa jambo jema kuwaruhusu.Jambo linalojadiliwa siyo la kuhatarisha amani ya nchi.Kuzuia kongamano hilo kunachochea chuki dhidi ya serikali yetu.
Tundu Lissu alionya kuwa ni mapema mno kumuamini Samia, CCM ni ile ile. Hawa mpaka watu wapasuane ndiyo wataelewa somo.Huu ni ushahidi tosha kwamba UDIKTETA bado unaendelea nchini kwa kasi ile ile ya dhalimu mwendazake. Kama RPC kasema uongo Samia akanushe.
Logic ya swali lako ni ipi kwani...?Ni sawa katiba mpya Ila Nina kaswali ka kizushi.
Je , hao wanaoandaa wangekuwa madarakani kweli wangekomaa kuidai katiba
Very stupid hypothetical question. Ask a sensible questionNi sawa katiba mpya Ila Nina kaswali ka kizushi.
Je , hao wanaoandaa wangekuwa madarakani kweli wangekomaa kuidai katiba
Wao wameahidi kuleta katiba mpya. Hawana mizigo kama ccm, kwa hiyo uwezekano wa kutekeleza ni mkubwa zaidi kwa wapinzani kuliko kwa ccm.Ni sawa katiba mpya Ila Nina kaswali ka kizushi.
Je , hao wanaoandaa wangekuwa madarakani kweli wangekomaa kuidai katiba
Labda kweli kaagizwa na rais Maccm ni yaleyale yote. Kwasasa ccm ni mradi kunakuchwa maana walishafika mwishoHii ndio taarifa ya usiku huu kutoka Mwanza kwa hisani ya Maranja Masese
View attachment 1856391
View attachment 1856808