n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Nyumbu mnahangaika Sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyumbu mnahangaika Sana.
Kwa mujibu wa Rais Mwenyewe alisema hajazuia mikutano ya ndaniKwa nini unasema anamsingizia Rais?
Ni sawa katiba mpya Ila Nina kaswali ka kizushi.
Je , hao wanaoandaa wangekuwa madarakani kweli wangekomaa kuidai katiba
Yeye amekuwa muwazi.
Ni ngumu sana kwa pande zote mbili kuyatimiza haya uliyoandika hapa...Ni nadra kwa aliyeko madarakani kudai katiba mpya.
..Lakini inategemewa kuwa ataiheshimu katiba iliyomuweka madarakani.
..vilevile inategemewa hatavunja sheria kwa kuwabugudhi wananchi, wanasiasa, na wanaharakati, wanaodai HAKI zao kwa njia ya amani na kwa mujibu wa katiba.
Wapuuzi hao wamejipa kuwa wasemaji wa waTzn,wapigwe pin tuuNi sawa katiba mpya Ila Nina kaswali ka kizushi.
Je , hao wanaoandaa wangekuwa madarakani kweli wangekomaa kuidai katiba
Mungu ibariki CHADEMA
Hakuna mwenye mamlaka ya kufungua mikutano, Hakuna sheria inayompa mamlaka Samia kufanya hivyo. Naye asubiri kumfuata Mwendazake.Kwani mikutano ya kisiasa imefunguliwa lini?
Katiba imezuoa wapi,?au kelele za wanasiasa kwa masada haramu wa dola.Kwani mikutano ya kisiasa imefunguliwa lini?
Fanyeni kwa lazima. Atake asitake 🤣🤣itamtokea puani , Never and Never again
Ya ndani inaluhusiwa.Kwani mikutano ya kisiasa imefunguliwa lini?
Ila mwanza kuna corona serious naomba chadema acheni kufanya mambo ambayo yanafanywa na ccm pls don't
Corona imetoka kumchukua kaka yake na mbowe lakini hamjaridhika tu mnaenda kwenye risk
Sikubaliani na kauli ya kamanda ila pia sikubaliani na mikutano ya chadema kukusanya watu.
Media zipo wazi sasahivi nendeni uko mkatoe elimu
Juzi Mbowe aliitwa clouds alienda? Nchi ina taharuki ya Miamala, corona sijui sadala yaani upuuzi mtupu
Hebu niacheni Mimi nipige pombe aisee Leo weekend!
Ugali mama, kila mtu analinda na kupigania ugalii😂😂😂Swali lako ni duni , sitajibu