Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
You're very right bro/sister Mana from lizard,mammals brain to cortex brain Zina process information tofauti kabisa.Very stupid hypothetical question. Ask a sensible question
Ndio, ili kuleta katiba (bora) kukidhi uwepo wa vyama vingiNi sawa katiba mpya Ila Nina kaswali ka kizushi.
Je , hao wanaoandaa wangekuwa madarakani kweli wangekomaa kuidai katiba
Ila kwakweli alianza vizuri, hivyo haikiwa kosa kumsifia pale meanzo mana tulitoka utumeani balaa.Naona "Mama" yenu mliyemshangilia na kumvisha taji la ukombozi anawanyuka mijeledi ya mwendazake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vipi Sukuma gang si limeshaisha na nchi tumeifungua?
Upinzani wa kutegemea mwana CCM (Samia Hassan) atimize matakwa yenu Ni bure kabisa!
Ogopeni mwanamke akikasirika maana muda mwingi anajistukia kudharauliwa, mlikosea kuanza kumpa hongera na sifa lukuki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo mwenezi wa CCM ana speciality gani?Ila mwanza kuna corona serious naomba chadema acheni kufanya mambo ambayo yanafanywa na ccm pls don't
Corona imetoka kumchukua kaka yake na mbowe lakini hamjaridhika tu mnaenda kwenye risk
Sikubaliani na kauli ya kamanda ila pia sikubaliani na mikutano ya chadema kukusanya watu.
Media zipo wazi sasahivi nendeni uko mkatoe elimu
Juzi Mbowe aliitwa clouds alienda? Nchi ina taharuki ya Miamala, corona sijui sadala yaani upuuzi mtupu
Hebu niacheni Mimi nipige pombe aisee Leo weekend!
Mama anaupiga mwingi sana. The Irony LadyHii ndio taarifa ya usiku huu kutoka Mwanza kwa hisani ya Maranja Masese
View attachment 1856391
View attachment 1856808
Mzena ipo lakiniMama anaupiga mwingi sana. The Irony Lady