Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazee wa mabaraza ya ubwabwa sidhani kama wana ubavu au uhalali wa kukemea maovuJaribu tu taratibu kuwalist viongozi wote wa dini kichwani kwako, tafakari wale viongozi wote wa mabaraza ya dini ukristo, uislamu na wengineo...
Halafu niambie ni nani atayeweza kuendana na unachokishauri?
Wakati wale viongozi ndio huwa waalikwa wakubwa wa CCM kwenye hadhira kubwa, au mikutano ya kufunga na kufungua kampeni za CCM n.k
Wapo wengi tu,Shida wakijitokeza tu wakiletewa misaada itaambiwa inafadhili siasa.Najaribu kutafakari ni kiongozi gani wa dini mwenye kuweza kufuata ushauri wako...sioni kama yupo!
Mkuu kama hawana uthubutu, hakuna tofauti na wao kutokuwepoWapo wengi tu,Shida wakijitokeza tu wakiletewa misaada itaambiwa inafadhili siasa.
Subiri uanze kusikia kwenye nyuma za ibada.Utasikia tujihadhari nchi tumeingia kwenye ugaidi.wanamafumbo Fulani ambayo ni ngumu kuwaelewaJaribu tu taratibu kuwalist viongozi wote wa dini kichwani kwako, tafakari wale viongozi wote wa mabaraza ya dini ukristo, uislamu na wengineo...
Halafu niambie ni nani atayeweza kuendana na unachokishauri?
Wakati wale viongozi ndio huwa waalikwa wakubwa wa CCM kwenye hadhira kubwa, au mikutano ya kufunga na kufungua kampeni za CCM n.k
Usiseme watanzania wote, mimi binafsi yangu Sina uhakika kama anaonewa au laah, Kwa sababu mpaka saizi hakuna ushahidi unaonesha hausiki na wala hakuna ushahidi unaonesha anahusika.
Suala hili linahusu usalama wa taifa ebu tuache vyombo vya usalama vifanye kazi yake
Time will tellNaona Tanzania wanautamani sana ugaidi. Wanaulilia kwa bidii wakiuhitaji utoke huko kuzimu uliko ili wauone.
Sasa kwa sababu wamekuja watu waliotayari kuupokea naamini wataupata.
Mimi kumuumba Mungu ni kwamba namuomba aniepushe na madhara ya ugaidi ila simuombi auepushe ugaidi maana watawala wanaulilia na kuutamani kwa sasa hivi.
Muumba simamia matendo ya haki nao wenye haki walipe haki yao na wauvu washushwe kuzimu kwa aibu maana ndiyo stahiki na haki yao
gaidi baba yako shenziMnakabiwa kwa juu sasa hivi, mmepoteana! Jizi lawa gaidi sasa, damu imejaa mikononi mwake
Kwamba jamaa ni gaidi 😀 safari hii watambinya sana
Lakini hamkukijua hilo kipindi wenzenu wanapatwa misiba.Mungu ni wetu sote ndugu
Shida ni muumini sio mwamini wa kristo.hivyo itakupa shida tuNaona aibu kuwa muumini wa kikisto, mkatoliki.
Kuanzia leo siitwi Samweli Mapunda wa Simba.