Uonevu dhidi ya Mbowe: Viongozi wa dini toeni kauli ya kitume

Hivi viongozi wa kisiasa huwa haiwezekani kuwa magaidi?

Kwani gaidi huwa anatakiwa kuwa na rangi gani na anatakiwa atokee wapi ndio tuamini kuwa ni gaidi?
 
Hao ni individuals.

Tunahitaji neno kutoka taasisi za kidini - Bakwata, TEC, CCT, nk.
Mnalia lia nini sasa kuomba haruma si mlisema mnatatumia wembe ule ule kumnyoa rais.
 
Hakuna kiongozi wa dini, kunawajasilia-dini , ambao wanawaumiza ma proletariat ambao ni class insensitive! BAK , Salary Slip
 

nakumbuka nshaletaga uzi apa nkiuliza kwann chadema mnamuona mbowe kama Goddes meanwhile kuna mambo yanayojulikana maeneo ya hai ambayo msingependa kuyaskia
 
Mnalia lia nini sasa kuomba haruma si mlisema mnatatumia wembe ule ule kumnyoa rais.
Kuna watu wiki chache kabla ya tarehe 17 March walikuwa wanasema hivi hivi. Mungu hataniwi!
 
Reactions: BAK
Waitoe kauli gani ?!!!

Hivi Kuna IMANI KUBWA zaidi ya USALAMA ,UTULIVU NA AMANI YA WATANZANIA?!!!

#NchiKwanza
#KaziIendelee
 
Kuna watu wiki chache kabla ya tarehe 17 March walikuwa wanasema hivi hivi. Mungu hataniwi!
Mungu anaingiaje hapa yaani mnamtisha Rais akijibu mapigo mnakimbulia kwa Mungu, msitishe watu suala la kufa kila nafsi itaonja mauti, kwa hiyo Rais akifa Chadema ndiyo mtapewa dola akili matope.
 
Shehe ponda na askofu bagonza

Hao huwa wanatoa matamko wao binafsi, mara zote huwa hawana backup ya mabaraza...

Ndio maana unaona Sheikh Ponda amekuwa akikamatwa mara kadhaa, yule Askofu Mwamakula naye kashawahi wekwa lupango...

Wenye nguvu ya kuongea na kusikika ni lazima wawe baraza kama Bakwata, TEC n.k
 
Hivi viongozi wa kisiasa huwa haiwezekani kuwa magaidi?

Kwani gaidi huwa anatakiwa kuwa na rangi gani na anatakiwa atokee wapi ndio tuamini kuwa ni gaidi?
Zama zimebadilika boss, propaganda alizofanya mahita miaka 20 iliyopita hazina tija miaka hii. Hao vyombo vya dola wamkamate aliyejiunganishia bomba la mafuta na sio huo utoto wanaofanya. Nyie ndio mnasababisha wazungu wanatuita manyani. Tunahitaji katiba mpya, huu utoto mwingine bakini nao na hayo mazee yanalipwa pesa za bure kutunga mambo ya kipuuzi.
 
Reactions: BAK
Mkuu hebu punguza hasira naona unachuki kubwa sana moyoni, tulia kisha jibu swali la sivyo na wewe utakuwa unaendeleza utoto huo huo unao ulalamikia hapo.

Nimekuuliza.

Viongozi wa kisiasa haiwezekani kuwa magaidi?

Gaidi anapaswa kutoka wapi ili ndio tuweze kuamini kuwa yawezekana akawa gaidi?
 

Nasema hivi, acheni siasa za kitoto tafadhali. Wanaume wazima mnashindwa kufanya mambo ya maana mnaendekeza utoto, mnaujua ugaidi au mnadhani mnaongea na watoto wadogo? Hivyo vyombo vya dola vimtaje aliyejiunganishia bomba la mafuta, sio kupoteza fedha za umma kwa mambo ya kipuuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…