Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Ni mwendelezo wa mateso kwa wananchi.
=======
Hali ya hewa katika Jeshi la Polisi bado haijakaa sawa baada ya hivi karibuni kushutumiwa katika matukio kadhaa ambayo yanaonekana kuwa kinyume cha utaratibu wao, leo tena Machi 14, Gazeti la Mwananchi limeandika juu ya sakata jipya.
Santus Galus Yondani (41) amewashutumu Polisi akidai wamemfanyia unyama mwingi, ameelezea alivyokamatwa, kuteswa na kuporwa mali.
Amenukuliwa akisema kuwa alikaa mahabusu kwa siku 563 na kuporwa mali kadhaa pamoja na fedha.
Source: Mwananchi
=======
Hali ya hewa katika Jeshi la Polisi bado haijakaa sawa baada ya hivi karibuni kushutumiwa katika matukio kadhaa ambayo yanaonekana kuwa kinyume cha utaratibu wao, leo tena Machi 14, Gazeti la Mwananchi limeandika juu ya sakata jipya.
Santus Galus Yondani (41) amewashutumu Polisi akidai wamemfanyia unyama mwingi, ameelezea alivyokamatwa, kuteswa na kuporwa mali.
Amenukuliwa akisema kuwa alikaa mahabusu kwa siku 563 na kuporwa mali kadhaa pamoja na fedha.
Source: Mwananchi