DOKEZO Uonevu uliokithiri Idara ya Elimu Manispaa ya Moshi

DOKEZO Uonevu uliokithiri Idara ya Elimu Manispaa ya Moshi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mimi ni Mwl. Kutoka Manspaa ya Moshi ambaye ni muhanga wa matukio machafu yanaofanywa na Kiongozi wa idara ya Elimu Ndugu NICHOLAUS NGONYANI.

Nimeandika ujumbe huu kwa uchungu na masikitiko makubwa kwa kuona kada yangu ya Elimu inachafuliwa kwa uzembe na tamaa za uongozi.

Yafuatayo ni baadhi ya Maudhi ambayo yamefanyika katika Halmashauri ya MANISPAA YA MOSHI katika Idara ya Elimu.
  • Kuomba pesa kwa Walimu Wakuu na Maafisa Elimu Kata kiwango cha kuanzia Tsh 100,000 hadi 200,000/=
  • Kutembea Na Baadhi Ya Walimu /Wake Za Watu Mfano shule za Uhuru,Kiboriloni,Mjipya,Kibo na Karanga
  • Kutoa nafasi za uongozi – Uratibu /ukuu kwa kupokea rushwa ya ngono na fedha, fuatilieni mkuu wa Kibo S/Msingi.
  • Kupeleka miradi kwenye shule za marafiki zake tu ili apate 10% ya fedha za mradi ( kwa kurudiarudia mfano Shirimatunda /Uhuru /Mgereza/Pasua /Njoro)
  • Kutishia, kufadhaisha na kuwatesa walimu kwa kuwafungia mishahara kinyume na sheria ya Utumishi wa Umma- Ushaidi upo.
  • Kutumia ofisi vibaya kwakujilipa posho bila kufanya kazi – Safari za mara kwa mara – kwenda Handeni ,Dodoma na Dar-es-saalam, safari binafsi kwa gharama za serikali.
  • Kuwanyanyasa na kuwakandamiza watumishi walio katika idara ya Elimu kwa kuwatishia kuwaondoa pale ofisini.
  • Kutumia Walimu Wakuu ambao ni Wanawake zake kuwaonea na kuwakandamiza walimu waliopo chini.
  • Kuwanyima walimu ruhusa wakati ni haki ya kimsingi na kuwahamisha baadhi ya walimu kwa mchongo apate pesa, wanagawana fedha ya uhamisho na wanaohamishwa.unakuta mwalimu mmoja anahama hata mara tano kwa muda mfupi. Mfano Mwl Hando.
  • Haelewani na wakuu wengine wa idara kutokana na tabia zake hizo mbaya katika Manispaa ya Moshi.
  • Kuficha Maovu wanayofanya wazazi kwa Mabinti zao,wapo watoto wa kike wanalawitiwa na wapo watoto wa kiume wanaonajisiwa lakini kesi zikipelekwa kwa Afisa Elimu anazizima kwa kuchukua rushwa kwa wazazi hao ushahidi upo..
  • Kuna wanafunzi wa shule za msingi wakipata mimba wanashawishiwa watoe ili kulinda nafasi yake hataki ijulikane uchafu uliopo Manispaa ya Moshi Idara ya Elimu..walimu tunaumia sana kuona kizazi kinaharibiwa eti tu kisa kuhofiwa cheo chake kuchafuka..Hafai mtu huyu, uchunguzi ufanyike yatabainika maovu haya..
Mimi ni mtumishi wa Mungu kwani ningekaa kimya wakati naona yanayotokea ni kujitengenezea dhambi mwenyewe.

Mungu atende miujiza kunusuru Manispaa ya Moshi Idara ya Elimu Kwa haya Maovu.

Walimu tunaunga mkono juhudi za Mama yetu Samia Suluhu Hassan na ofisi yako kwa ujumla
Inaonyesha malalamiko yako mengi siyo ya kweli dhidi ya Afisa huyo.Fanya utafiti wa kina kabla ya kuandika tuhuma za aina hii.
 
Kwanini asiupeleke polisi? hapo kuna DAS, DC, RAS na RC kweli hawa wote wanaweza kumshindwa Afisa Elimu? RAS ana mamlaka ya kumhamisha mtumishi yoyote ndani ya Mkoa, kweli anaweza akafanya maovu yote haya bila wao kujua? siamini hata kidogo
Kama malalamiko hayajafikishwa kituoni yeye apeleke ushahidi kama nani Sasa!?
 
Kwanini asiupeleke polisi? hapo kuna DAS, DC, RAS na RC kweli hawa wote wanaweza kumshindwa Afisa Elimu? RAS ana mamlaka ya kumhamisha mtumishi yoyote ndani ya Mkoa, kweli anaweza akafanya maovu yote haya bila wao kujua? siamini hata kidogo
Hivi unajua maana ya whistleblower? Jamaa ametumia mtandao wa kijamii kufikisha taarifa nyeti ili kuficha usalama wake,usalama wa kazi yake na familia yake.

Huwezi kujua nani ni adui au rafiki yako ktk ulimwengu wa sasa. Unaweza kwenda kufikisha taarifa polisi ukidhani ni sehemu salama kumbe nyuma ya pazia hao polisi ndio washirika na marafiki wakubwa wa huyo NGONYANI.

Taarifa ikamfikia Ngonyani kabla hata kesi haijafunguliwa ukaja kujikuta katka hali tete.
 
Mimi ni Mwl. Kutoka Manspaa ya Moshi ambaye ni muhanga wa matukio machafu yanaofanywa na Kiongozi wa idara ya Elimu Ndugu NICHOLAUS NGONYANI.

Nimeandika ujumbe huu kwa uchungu na masikitiko makubwa kwa kuona kada yangu ya Elimu inachafuliwa kwa uzembe na tamaa za uongozi.

Yafuatayo ni baadhi ya Maudhi ambayo yamefanyika katika Halmashauri ya MANISPAA YA MOSHI katika Idara ya Elimu.
  • Kuomba pesa kwa Walimu Wakuu na Maafisa Elimu Kata kiwango cha kuanzia Tsh 100,000 hadi 200,000/=
  • Kutembea Na Baadhi Ya Walimu /Wake Za Watu Mfano shule za Uhuru,Kiboriloni,Mjipya,Kibo na Karanga
  • Kutoa nafasi za uongozi – Uratibu /ukuu kwa kupokea rushwa ya ngono na fedha, fuatilieni mkuu wa Kibo S/Msingi.
  • Kupeleka miradi kwenye shule za marafiki zake tu ili apate 10% ya fedha za mradi ( kwa kurudiarudia mfano Shirimatunda /Uhuru /Mgereza/Pasua /Njoro)
  • Kutishia, kufadhaisha na kuwatesa walimu kwa kuwafungia mishahara kinyume na sheria ya Utumishi wa Umma- Ushaidi upo.
  • Kutumia ofisi vibaya kwakujilipa posho bila kufanya kazi – Safari za mara kwa mara – kwenda Handeni ,Dodoma na Dar-es-saalam, safari binafsi kwa gharama za serikali.
  • Kuwanyanyasa na kuwakandamiza watumishi walio katika idara ya Elimu kwa kuwatishia kuwaondoa pale ofisini.
  • Kutumia Walimu Wakuu ambao ni Wanawake zake kuwaonea na kuwakandamiza walimu waliopo chini.
  • Kuwanyima walimu ruhusa wakati ni haki ya kimsingi na kuwahamisha baadhi ya walimu kwa mchongo apate pesa, wanagawana fedha ya uhamisho na wanaohamishwa.unakuta mwalimu mmoja anahama hata mara tano kwa muda mfupi. Mfano Mwl Hando.
  • Haelewani na wakuu wengine wa idara kutokana na tabia zake hizo mbaya katika Manispaa ya Moshi.
  • Kuficha Maovu wanayofanya wazazi kwa Mabinti zao,wapo watoto wa kike wanalawitiwa na wapo watoto wa kiume wanaonajisiwa lakini kesi zikipelekwa kwa Afisa Elimu anazizima kwa kuchukua rushwa kwa wazazi hao ushahidi upo..
  • Kuna wanafunzi wa shule za msingi wakipata mimba wanashawishiwa watoe ili kulinda nafasi yake hataki ijulikane uchafu uliopo Manispaa ya Moshi Idara ya Elimu..walimu tunaumia sana kuona kizazi kinaharibiwa eti tu kisa kuhofiwa cheo chake kuchafuka..Hafai mtu huyu, uchunguzi ufanyike yatabainika maovu haya..
Mimi ni mtumishi wa Mungu kwani ningekaa kimya wakati naona yanayotokea ni kujitengenezea dhambi mwenyewe.

Mungu atende miujiza kunusuru Manispaa ya Moshi Idara ya Elimu Kwa haya Maovu.

Walimu tunaunga mkono juhudi za Mama yetu Samia Suluhu Hassan na ofisi yako kwa ujumla
Pole Mwl.

Hii idara ni nyeti sana lkn inaendeshwa kipuuzi sana.

Nadhani hivi vyeo vya kuteuliwa navyo ni chanzo cha uchafu wa elimu yetu.

Huyu Ngonyani lazima ni mwenyeji wa kule Mkoani Ruvuma. Kule kwao watoto wa kike mimba wanabeba na ni haki yao wakiwa tangu darasa la tano. Siyo kwa afisa elimu sijui ngazi gani wala Mtendaji kata,ni mradi wao wa kupiga fedha kutoka kwa aliyepachika mimba na aliyepachikwa mimba.

Yaani unaweza usiamini km kule nako ni Tanzania.
 
Watu wa songea wanapenda ny…nyo sana. Aondolewe tu
Mimi ninakuelewa sana.
Niliwahi kwenda kumtembelea ndugu yangu kule Mbinga,ebuana eeeh nilishanga kuona vipaumbele vyao.
1 Uchawi na ushirikina.
2 Ngono
3 Ulevi
4 Sherehe za kila level (kipa imara,komunio,mahafari,ubatizo,kubariki ndoa) sasa kataa kuchangia sherehe uone ndoa inavyokufa.
 
Ngonyani unakula wake za watu kisa una cheo? Sawa boss.
This time utaliwa wewe kavu kavu.
 
Kwa mtizamo wangu baada ya kusoma ulichoandika, inawezekana kabisa umechapia (majungu) kwa 50% na ukweli wa taarifa 50%.

Baadhi ya Halmashauri nchini zina watendaji wana mambo ya ovyo sana huwezi kuamini kama ni wao ndio wamekasimiwa mamlaka ya kuwahudumia/kuwaongoza watu.

Humu jamvini nadhani kuna wengi wanapitia/wanasoma taarifa kama hizi na kuwasilisha kunakohusika kwa hatua zaidi za kupembeua pumba na mchele ili mambo kuwekwa sawa.

Vinginevyo peleka allegations zako hizo TAMISEMI kwa hatua zaidi.

Ndio maana mara nyingine Mama yetu (Rais) kimya kimya kalamu yake inafanya kazi bila kuchelewa kuwashughulikia waliokengeuka.
 
Bwana Yule kwa sehemu fulani alichochea maovu ya aina hii hasa kipindi cha utemi wake. Eti mtu akionekana tuu kumuunga mkono basi anapata promotion ni hatari sana. Sasa tukajikuta tunapata viongozi hatari sana kwenye sekta nyeti ndani ya taifa letu.

Mtu kama huyo anajiamini kufanya hayo kwa sababu anajua anayo connection ndani ya SIRIKALI NA SISIEM. Sijajua alipata wadhifa huo kipindi gani, lakini mashaka makubwa zaidi niliyonayo ni jinsi alivyopata wadhifa huo na sasa hii ndo inapelekea kuyatenda yote haya.
 
Sijawahi kuona kundi linalojua kulalamika kama kundi la watumishi wanaitwa walimu, aggggggrrrry wanalalama wao tu kila uchwao, wanahisi wanaonewa wao tu kila siku, wanahisi wao tu hawana kipato huku ikifika wakati wa kwenda kazi maalum na mitihani hawasemi aggggryyyy

Hivi mnajua kila offer inayotolewa katika utumishi huwa inaanza na nyie kwanza? Mnapanda madaraja mserereko, huku kwingine ni ndoto, mnaongezewa madaraja ya ziada kwenye mishahara yenu (wako waliofika principle ila wakaongezewa tena jingine) lakini bado mnalalamika tu kila siku kelele tu dah
Siwapendi walimu sababu ya kuisaidia sisiemu kuiba kura lakini kwa maandishi haya, it seems kulalamika kwao kuna wasaidia
 
Siwapendi walimu sababu ya kuisaidia sisiemu kuiba kura lakini kwa maandishi haya, it seems kulalamika kwao kuna wasaidia
Kwahiyo lawama za boss wao kichakata mbususu nazo ni lawama za kusaidika mirandaoni?
 
Hivi unajua maana ya whistleblower? Jamaa ametumia mtandao wa kijamii kufikisha taarifa nyeti ili kuficha usalama wake,usalama wa kazi yake na familia yake. Huwezi kujua nani ni adui au rafiki yako ktk ulimwengu wa sasa. Unaweza kwenda kufikisha taarifa polisi ukidhani ni sehemu salama kumbe nyuma ya pazia hao polisi ndio washirika na marafiki wakubwa wa huyo NGONYANI. Taarifa ikamfikia Ngonyani kabla hata kesi haijafunguliwa ukaja kujikuta katka hali tete.
Kwani ukiandika barua lazima utaje jina lako? kwani huwezi anzisha email fake hata ya gmail ukatuma kama hapa wewe unavyotumia ID fake?
 
Duuuh mlongo vangu amekutwaa na jambooo. Ila kwenye uzinzi nakubaliii, sisi wangoni tunapenda sana mizagamuooo.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka sana aisee...
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ngo - nyani = Mngoni mpe fedha atafikisha ila sio mke, hivo vijamaa vya kusini vinapenda chini sana.
 
Back
Top Bottom