DOKEZO Uonevu uliokithiri Idara ya Elimu Manispaa ya Moshi

DOKEZO Uonevu uliokithiri Idara ya Elimu Manispaa ya Moshi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Lakini mengine umechapia mwalimu unachuki na huyo afisa na wewe siyo mtumishi wa Mungu kama ulivyojinasibu mtu wa Mungu hawezi andika haya uliyo andika Kwa maana unaonesha unachuki siyo ubapenda haki hapana je umemfuata ukamwonya kama mtumishi wa Mungu?
Mbona sijaona chuki yoyote kwa huyo mwl. Zaidi ya kufunguka kinacho msibu.

Ridhiwani aunde tume tu ichunguze basi.

Poleni walimu
 
Kwahiyo lawama za boss wao kichakata mbususu nazo ni lawama za kusaidika mirandaoni?
Kuna sehemu nimekusoma umesema walimu (wengine wazee) walikua wamamsujudu DEO !! Just imagine anatafuna wake zao?? Watafanya nini??

Mke anauma otherwise wewe ni wale wa UPINDE
 
Kuna sehemu nimekusoma umesema walimu (wengine wazee) walikua wamamsujudu DEO !! Just imagine anatafuna wake zao?? Watafanya nini??

Mke anauma otherwise wewe ni wale wa UPINDE
Rudi kasome vzr, kuna mdau nilikuwa namjibu, si kwamba ilikuwa mada mpya
 
Mwisho wa siku ili Ngonyani afikishwe mahakamani lazima kuwe na ushahidi wa kutosha, kuna TAKUKURU ndiyo kazi zao hizo
Wasiwasi wenu kwa JAMIIFORUMS unatoka wapi??

Mbona maovu ya watu wengi yanaandikwa humu??

Kuanzia WIZARANI, BOT TANESCO POLISI TAKUKURU.

Uzuri zaidi mara nyingi matokeo ya tuhuma kama hizi yamekua chanya na watu wamewajibishwa.

Jf, where we talk openly
 
Wasiwasi wenu kwa JAMIIFORUMS unatoka wapi??

Mbona maovu ya watu wengi yanaandikwa humu??

Kuanzia WIZARANI, BOT TANESCO POLISI TAKUKURU.

Uzuri zaidi mara nyingi matokeo ya tuhuma kama hizi yamekua chanya na watu wamewajibishwa.

Jf, where we talk openly
Sawa mkuu
 
Mimi ni mtumishi wa Mungu kwani ningekaa kimya wakati naona yanayotokea ni kujitengenezea dhambi mwenyewe.

Mungu atende miujiza kunusuru Manispaa ya Moshi Idara ya Elimu Kwa haya Maovu.

Walimu tunaunga mkono juhudi za Mama yetu Samia Suluhu Hassan na ofisi yako kwa ujumla
Hiyo kwenye bold ndipo mnakera
 
Mimi ni Mwl. Kutoka Manspaa ya Moshi ambaye ni muhanga wa matukio machafu yanaofanywa na Kiongozi wa idara ya Elimu Ndugu NICHOLAUS NGONYANI.

Nimeandika ujumbe huu kwa uchungu na masikitiko makubwa kwa kuona kada yangu ya Elimu inachafuliwa kwa uzembe na tamaa za uongozi.

Yafuatayo ni baadhi ya Maudhi ambayo yamefanyika katika Halmashauri ya MANISPAA YA MOSHI katika Idara ya Elimu.
  • Kuomba pesa kwa Walimu Wakuu na Maafisa Elimu Kata kiwango cha kuanzia Tsh 100,000 hadi 200,000/=
  • Kutembea Na Baadhi Ya Walimu /Wake Za Watu Mfano shule za Uhuru,Kiboriloni,Mjipya,Kibo na Karanga
  • Kutoa nafasi za uongozi – Uratibu /ukuu kwa kupokea rushwa ya ngono na fedha, fuatilieni mkuu wa Kibo S/Msingi.
  • Kupeleka miradi kwenye shule za marafiki zake tu ili apate 10% ya fedha za mradi ( kwa kurudiarudia mfano Shirimatunda /Uhuru /Mgereza/Pasua /Njoro)
  • Kutishia, kufadhaisha na kuwatesa walimu kwa kuwafungia mishahara kinyume na sheria ya Utumishi wa Umma- Ushaidi upo.
  • Kutumia ofisi vibaya kwakujilipa posho bila kufanya kazi – Safari za mara kwa mara – kwenda Handeni ,Dodoma na Dar-es-saalam, safari binafsi kwa gharama za serikali.
  • Kuwanyanyasa na kuwakandamiza watumishi walio katika idara ya Elimu kwa kuwatishia kuwaondoa pale ofisini.
  • Kutumia Walimu Wakuu ambao ni Wanawake zake kuwaonea na kuwakandamiza walimu waliopo chini.
  • Kuwanyima walimu ruhusa wakati ni haki ya kimsingi na kuwahamisha baadhi ya walimu kwa mchongo apate pesa, wanagawana fedha ya uhamisho na wanaohamishwa.unakuta mwalimu mmoja anahama hata mara tano kwa muda mfupi. Mfano Mwl Hando.
  • Haelewani na wakuu wengine wa idara kutokana na tabia zake hizo mbaya katika Manispaa ya Moshi.
  • Kuficha Maovu wanayofanya wazazi kwa Mabinti zao,wapo watoto wa kike wanalawitiwa na wapo watoto wa kiume wanaonajisiwa lakini kesi zikipelekwa kwa Afisa Elimu anazizima kwa kuchukua rushwa kwa wazazi hao ushahidi upo..
  • Kuna wanafunzi wa shule za msingi wakipata mimba wanashawishiwa watoe ili kulinda nafasi yake hataki ijulikane uchafu uliopo Manispaa ya Moshi Idara ya Elimu..walimu tunaumia sana kuona kizazi kinaharibiwa eti tu kisa kuhofiwa cheo chake kuchafuka..Hafai mtu huyu, uchunguzi ufanyike yatabainika maovu haya..
Mimi ni mtumishi wa Mungu kwani ningekaa kimya wakati naona yanayotokea ni kujitengenezea dhambi mwenyewe.

Mungu atende miujiza kunusuru Manispaa ya Moshi Idara ya Elimu Kwa haya Maovu.

Walimu tunaunga mkono juhudi za Mama yetu Samia Suluhu Hassan na ofisi yako kwa ujumla
Hivi hawa maafisa elimu wilaya hasa msingi wanakuwa na laana nini? Yupo mmoja wa wilaya ya Chamwino zainabu kishegwe sijui nae kesharipotiwa Sana hapa jf kwanini wanaona hizo ofisi za umma kama mali zao binafsi na mamlaka zinawaangalia tu fikiria kiongozi anajiamini mpaka kutoa mimba watoto wa watu Taifa linapelekwa wapi hili!
 
Kwa ujinga wako huu hata mumeo kazi anayo
Jamaa jinga Sana Hilo halifahamu hata ibara ya 77 ya katiba kuwa inakuruhusu kutafuta njia yeyote kufikisha taarifa jf inasomwa mpaka na namba 1 na vipenyo tele wamo humu kwa ufupi huyo kama siyo yeye basi itakuwa ni wale miongoni anaowabandua.
 
Wasiwasi wenu kwa JAMIIFORUMS unatoka wapi??

Mbona maovu ya watu wengi yanaandikwa humu??

Kuanzia WIZARANI, BOT TANESCO POLISI TAKUKURU.

Uzuri zaidi mara nyingi matokeo ya tuhuma kama hizi yamekua chanya na watu wamewajibishwa.

Jf, where we talk openly
Na zaidi mleta mada kaomba uchunguzi pia kawapa muongozo pa kuanzia yaani kawatafunia.
 
Mambo mengi uliyotaja ushahidi wake ni mgumu sana. Kuna wake za watu wa kutoa ushahidi kuliwa? Hao wazazi waliohonga mnao ushahidi? Sioni namna mtatia nyavuni huyu.

Hapa JF huwa tunakuja na evidence kadhaa hata kama si zote siku hiyo hiyo mtu anasimamishwa kwa uchunguzi.

Mfano safari binafsi kwa gharama za serikali, kuna ushahidi gani?

Miradi kwenda shule zile zile hapo napo si rahisi anaweza kuwa na hoja lakini pia zipo idara mtambuka kwenye hilo si jukumu lake pekee. Hata Mkurugenzi anahusika.

Namna umeiandika unaweza kuwa umemsaidia aweke mambo yake sawa badala ya kumtia nyavuni.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile ap

Haya siyo majungu kweli? kesi ya ulawiti inapelekwa kwa Afisa Elimu au polisi? hapa ukweli utakuwa ni mdogo sn
Inategemea na mazingira waliojiwekea wahusika Kuna maeneo MTENDAJI wa Kijiji(VEO) anaogopwa kuliko IGP.
 
Back
Top Bottom