Uongo gani mkubwa uliwahi kuongopewa na mwenza wako ukaja kujua ukweli?

Anafanya kazi usalama wataifa nikaja kujua ni usalama wamapenzi hana hata nyumba kapanga gari na kila kitu niuongo
 
Aliniambia ana miezi mitano hajaingia period na kwao huko ni kawaida eti...

kumbe ana mimba ya miezi minne

mimi nilikuwa namchora kama sielewi vile, nilishaiba mkojo nikaenda pima UPT nikakuta tayari ni mjamzito kutoka kwa ex wake

huyu dem alitoroka kwao na kunifuata huku town anafos kuolewa kumbe anakimbia timbwili kwa wazazi...

Fak-ha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…