Uongo gani mnatumia kuwarubuni wanawake?

Uongo gani mnatumia kuwarubuni wanawake?

Mie huwa nawadanganya sana watoto wa chuo hapa Dom kwamba niko kwenye kitengo (suti nyeusi)

Ukiangalia na mwonekano wangu ni pande la mtu, niko smart kimavazi na mwonekano halafu niko strong pia sichekagi hovyo hata hapa mtaani majirani wengi nilishasikia wanasemaga mimi ni mtu wa serikali (undercover) eti hii biashara ya majeneza ni zuga tu[emoji1787]

Wanaona naishi vizuri halafu wanadanganyika na mwonekano wangu pia hivyo na mimi napitia humo humo ndo maana hapa kitaani nimewatafuna wengi hasa wake za mapolisi maana naishi karibu na kota zao
Jiandae zamu yako ya kutafunwa inabisha hodi mlangoni
 
Huu uongo unafanya kazi kwa mabinti ambao age yao ni 25 na kuendelea. Nakumbuka 2007 kuna nyumba moja kuna dada mmoja alipangiwa kama nyumba ndogo ya mzee mmoja,dada alikuwa ana bonge la figa.

Kuna mwamba alingia na gia ya kuoa mwana akatengeneza mazingira hadi ya kumtambulisha kwa wazazi wake, kila jumapili walikuwa wanaenda wote kanisani ,kwenye jumuia wanakuja wote dada akajua hapa kuna ndoa kumbe wapii. Mwana kamzalisha yule dada baada ya hapo akanzisha tabia ya kutolala nyumbani na kupiga mitungi.

Demu akaona isiwe tabu akachukua vitu vyote kwenye nyumba waliyo panga akaamsha navyo, jamaa anarudi anakuta nyumba nyeupe.

Imeenda enda mtaani pale kuna mdada naye kazalishwa kafungua duka ,duka limejaa na alikiwa na wateja wengi. Mwana yule yule akatumia gia ile ile ya ndoa demu akajaa,jamaa kamkoleza demu akawa haoni hasikii,siku akajichanganya jamaa akampiga laki nane na ndio ukawa mwisho wa mahusiano yao.

Hii gia inaapply sana kwa mabinti wenye stress ya ndoa.


Huu ni uharibifu, unafaa kukemewa na kulaaniwa na watu wote.
 
Ingekuwa pamoja na mihangaiko yote na kujidai kwa mwanaume plus mauongo yote hadi fleeting, false success yao, hatimaye second party ndiye ana-incur expenses zote, angalau UONGO wake ungepewa sifa za ushujaa na kuthubutu.

Lakini licha ya majidai yote hayo, mwisho mwanaume, kwa sehemu kubwa, ndiye anagharamika! Sasa nani mwenye akili hapo? Ndiyo maana hata mauongo ya mwanaume yanahesabiwa kama credits kwa second party, because in the end....

Hii ni kusema kwamba second party anaweza kuwa yuko willing hata before hajakuona, ila akaamua tu kucheza na akili yako finyu.

Among all creatures, men, I surmise, ndio wanaopaswa kuhurumiwa na kuharadhiwa (pitied).

The intelligence of a woman lies on her ability and capability to behave, before unsuspecting man, as though she were just a weak, valueless vessel.
Kwa kifupi huu ni uchafu umeandika, ungechagua lugha moja ingeeleweka
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mzigo mzito huo
Wewe unaweza kuwa unapenda ukweli lakini asilimia kubwa ya wanawake wenzako hawapendi ukweli Unaweza ukawa na nyege kweli kweli ukawa unamuhitaji demu siku hiyo hiyo ule mzigo kwa Mara kwanza tu mmekutana hiv nikikwambia ukweli nahitaji mzigo utanipa?
 
Wewe unaweza kuwa unapenda ukweli lakini asilimia kubwa ya wanawake wenzako hawakupendi ukweli Unaweza ukawa na nyege kweli kweli ukawa unamuhitaji demu siku hiyo hiyo ule mzigo kwa Mara kwanza tu mmekutana hiv nilikuwambia ukweli nahitaji mzigo utanipa?
Inategemea huyo mwanamke jinsi anajiweka,

Binafsi najua hakuna anaweza niambia hivyo ata kama anataka mwezi ujao[emoji23],,anaanzaje. Inategemea na vile unavyoonekana machoni kwa mtu.
 
Inategemea huyo mwanamke jinsi anajiweka,

Binafsi najua hakuna anaweza niambia hivyo ata kama anataka mwezi ujao[emoji23],,anaanzaje. Inategemea na vile unavyoonekana machoni kwa mtu.
Ndio maana Wanaume wanadanganya ili apate mzigo faster so hapo unarudi kwenye point ile ile mtoa mada wanawake bila kuwadanganya hupati mzigo
 
Back
Top Bottom