Uongo gani mnatumia kuwarubuni wanawake?

Uongo gani mnatumia kuwarubuni wanawake?

Nikikuwa mwanaume royal nikawa naishia kupigwa chini hahaha

Ila nilivyokuwa muongo muongo mambo yakawa yanaenda saaaafi Ila wanawake wanapenda uongo saana. Unaweza kumueleza ukweli unapigwa chini na huambulii kitu.

Mwanamke kazaliwa kudanganywa usipodanganya lazima uteseke [emoji1]
 
Kuna kisa nimekumbuka imebidi nicheke. Nilishamdanganya dem mtoto wa IFM pale kwamba nafanyia kazi ikulu siku iyo nilikua nimekula suti yangu nyeusi natoka pale Ukumbi wa kimataifa Mwl. Nyerere.

Yule mtoto alipagawa sana, uzuri boss wangu alikua na Prado kaniachia yeye alikua safari sasa nilikua na bhang nalo naenda pale IFM nambeba naenda namkula anarudi na uber, yule dem alipagawa sana aseee[emoji1316][emoji1316].

Wanawake mnapigwa na vitu vizito sana asee wanaume tuna mbinu za kuwapata. Bila uongo kutoboa ngumu sana. Yule mtoto alikua ananiheshimu sana na alikua ananiogopa balaa[emoji23][emoji23]
Tena ivi vitoto vya chuo vinapenda mamb makubwa kweli
 
Mtoto alikuwa anakuja na biblia prepo. Ikabidi nami niwe kama nimezaliwa kapernaumu church kila j2.[emoji23][emoji1787][emoji1787] na Mzigo nikala.

Baadae na akajua kuwa mwamba na religion ni vitu viwili tofauti ila ndo akawa ashakolea
 
Kwa kifupi huu ni uchafu umeandika, ungechagua lugha moja ingeeleweka
This is a poignant attempt to run away from a challenge just because it only runs over you once you try to approach it. 🙂 🙂 🙂
 
Uongo mzigo na ndio Mana ukiwa muongo unakula huo mzigo
#Inagharimu Sana Uongo
 
Kuna kisa nimekumbuka imebidi nicheke. Nilishamdanganya dem mtoto wa IFM pale kwamba nafanyia kazi ikulu siku iyo nilikua nimekula suti yangu nyeusi natoka pale Ukumbi wa kimataifa Mwl. Nyerere.

Yule mtoto alipagawa sana, uzuri boss wangu alikua na Prado kaniachia yeye alikua safari sasa nilikua na bhang nalo naenda pale IFM nambeba naenda namkula anarudi na uber, yule dem alipagawa sana aseee
emoji1316.png
emoji1316.png
.

Wanawake mnapigwa na vitu vizito sana asee wanaume tuna mbinu za kuwapata. Bila uongo kutoboa ngumu sana. Yule mtoto alikua ananiheshimu sana na alikua ananiogopa balaa
emoji23.png
emoji23.png
Hivi kwa akili zako, unadhani second party yeye huwa hataki? Mbona hata hamfikiri nyie jamaa? Imagine huyo bidada alikuwa anakutaka, yeye alitumia nguvu gani?

And, most importantly, what did she lose in the end? Nadhani wewe ndiye ulikuwa ukitafunwa bila kujijua. Poor soul!

Anyways, endeleeni kutafunwa. Sisi tunalijenga taifa.
 
Nilishawahi mdanganya mwanafunzi IFM pale Kigamboni kwenye pantoni nasoma CPA kumbe ni darasa la Saba failure tu na kaingia kingi kweli ishu ilikuwa kakiomba kaje nikafundishe maana kalinambia kanasoma mambo ya banking balaa likua linaanzia hapo.

Huu ndio uongo ambao nimewahi tumia na ukanilipa sijawahi kutuma gharama yoyote zaidi ya kuombwa muda wa kukafundisha haka kabinti

Wazoefu wa mambo nyinyi mnatumia mbinu gani ya uongo kuwanasa hawa viumbe.
Yani bila ya kutudanganya mambo hayataenda.....
 
Mtoto alikuwa anakuja na biblia prepo. Ikabidi nami niwe kama nimezaliwa kapernaumu church kila j2.[emoji23][emoji1787][emoji1787] na Mzigo nikala.

Baadae na akajua kuwa mwamba na religion ni vitu viwili tofauti ila ndo akawa ashakolea
We umeua kabisa [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom