Uongo gani mnatumia kuwarubuni wanawake?

Jiandae zamu yako ya kutafunwa inabisha hodi mlangoni
 


Huu ni uharibifu, unafaa kukemewa na kulaaniwa na watu wote.
 
Kwa kifupi huu ni uchafu umeandika, ungechagua lugha moja ingeeleweka
 
Lazima uumize kichwa,, haijalishi unapita ama unaweka makao
Shida Unaweza kukuta nimebanwa na nyege si mchezo hiv Unaweza ukawa honest kumwambia mwanamke akakuelewa na kukupa mzigo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mzigo mzito huo
Wewe unaweza kuwa unapenda ukweli lakini asilimia kubwa ya wanawake wenzako hawapendi ukweli Unaweza ukawa na nyege kweli kweli ukawa unamuhitaji demu siku hiyo hiyo ule mzigo kwa Mara kwanza tu mmekutana hiv nikikwambia ukweli nahitaji mzigo utanipa?
 
Inategemea huyo mwanamke jinsi anajiweka,

Binafsi najua hakuna anaweza niambia hivyo ata kama anataka mwezi ujao[emoji23],,anaanzaje. Inategemea na vile unavyoonekana machoni kwa mtu.
 
Inategemea huyo mwanamke jinsi anajiweka,

Binafsi najua hakuna anaweza niambia hivyo ata kama anataka mwezi ujao[emoji23],,anaanzaje. Inategemea na vile unavyoonekana machoni kwa mtu.
Ndio maana Wanaume wanadanganya ili apate mzigo faster so hapo unarudi kwenye point ile ile mtoa mada wanawake bila kuwadanganya hupati mzigo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…