Uongo gani mnatumia kuwarubuni wanawake?

Nikikuwa mwanaume royal nikawa naishia kupigwa chini hahaha

Ila nilivyokuwa muongo muongo mambo yakawa yanaenda saaaafi Ila wanawake wanapenda uongo saana. Unaweza kumueleza ukweli unapigwa chini na huambulii kitu.

Mwanamke kazaliwa kudanganywa usipodanganya lazima uteseke [emoji1]
 
Tena ivi vitoto vya chuo vinapenda mamb makubwa kweli
 
Mtoto alikuwa anakuja na biblia prepo. Ikabidi nami niwe kama nimezaliwa kapernaumu church kila j2.[emoji23][emoji1787][emoji1787] na Mzigo nikala.

Baadae na akajua kuwa mwamba na religion ni vitu viwili tofauti ila ndo akawa ashakolea
 
Kwa kifupi huu ni uchafu umeandika, ungechagua lugha moja ingeeleweka
This is a poignant attempt to run away from a challenge just because it only runs over you once you try to approach it. πŸ™‚ πŸ™‚ πŸ™‚
 
Uongo mzigo na ndio Mana ukiwa muongo unakula huo mzigo
#Inagharimu Sana Uongo
 
Hivi kwa akili zako, unadhani second party yeye huwa hataki? Mbona hata hamfikiri nyie jamaa? Imagine huyo bidada alikuwa anakutaka, yeye alitumia nguvu gani?

And, most importantly, what did she lose in the end? Nadhani wewe ndiye ulikuwa ukitafunwa bila kujijua. Poor soul!

Anyways, endeleeni kutafunwa. Sisi tunalijenga taifa.
 
Yani bila ya kutudanganya mambo hayataenda.....
 
Mtoto alikuwa anakuja na biblia prepo. Ikabidi nami niwe kama nimezaliwa kapernaumu church kila j2.[emoji23][emoji1787][emoji1787] na Mzigo nikala.

Baadae na akajua kuwa mwamba na religion ni vitu viwili tofauti ila ndo akawa ashakolea
We umeua kabisa [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…