Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa MKo nae magomeni!?Aliyenzisha huu uzi ni SHOGA.
that why wanaona jeshi jepes hawajui kudata kunaluwajeMujibu wa Sheria wanalala ndani ya six week hawana vya kutoboa!
ningumu kukuelekeza kwasababu utaki kuachana nacho iko unacho kiaminKivip mkuu mana kuna muda munapiga mazoezi hadi saa saba ndo munaenda kulala
Ni sawa ila naona ujaelewa nilicho andika ...mfano shuleni unaweza kukuta tukio lenye kufanana la mwanafunzi kumtukana mwalimu kisha kupewa adhabu ya kuchapwa fimbo 4 ila kwenye tukio sawa na ilo mwanafunzi akapewa adhabu ya kupigwa viboko na walimu zaidi ya watatu viboko 4 kila mwalimu ...maana yake mnaweza kuwa kwenye kozi moja ila suluba ni tofautiMuda wa kozi kila mtu lazima ale kozi haijalishi kambi gani labda uwe mgonjwa wa kudumu
Anhaaa nimekuelewa mkuu🙏Ni sawa ila naona ujaelewa nilicho andika ...mfano shuleni unaweza kukuta tukio lenye kufanana la mwanafunzi kumtukana mwalimu kisha kupewa adhabu ya kuchapwa fimbo 4 ila kwenye tukio sawa na ilo mwanafunzi akapewa adhabu ya kupigwa viboko na walimu zaidi ya watatu viboko 4 kila mwalimu ...maana yake mnaweza kuwa kwenye kozi moja ila suluba ni tofauti
Acha mkuu,unatembea umelala unaacha njia unaingia porini unaenda unajigonga kwenye mti ndo unashtuka!that why wanaona jeshi jepes hawajui kudata kunaluwaje
af uyo kijana anasema jeshi sio gumuAcha mkuu,unatembea umelala unaacha njia unaingia porini unaenda unajigonga kwenye mti ndo unashtuka!
Imebidi nitafakari kwa dk kadhaa nivute kumbukumbu 'SHONA' ikoje ndio nimeikumbukaKurutu ni mdudu.....
Kuna siku nilivaa yebo kule mesi...
Ahahah niliambiwa weka chakula chini.. SHONA
Mtoa mada ni mbea iwe iwavyo jeshini ni pagumu mno mno mnoo.Japo ni desturi kanuni na taratibu zake.Sijui LENGO lake ni nini?Kwani kuna mtu anategemea kwenda JKT kula maisha, kama mtu anataka mtoto wale ale maisha si kuna sehemu nyingi za vacation anaweza kumpeleka,
Ukakamavu hauwezi kufundishwa kwa kubembeleza mtoto.
BTW mzazi yeyote mwenye akili timamu hawezi kumzuia mtoto wake asiende jkt kisa atateseka, wakati kila mwaka watoto wengi tu wanaenda na wanarudi salama kabisa.
Hata wa Mujibu wenyewe ni mateso km kawaa, unless yeye mtoa mada anapenda ujeda. LolKama unawasemea Mujibu wa Sheria ni sawa! Lakini mambo ni tofauti Kwa wasaka ajira!
Hatar dadaImebidi nitafakari kwa dk kadhaa nivute kumbukumbu 'SHONA' ikoje ndio nimeikumbuka
Nakumbuka ilikua nachingwea kule....Mkuu shona mbaya sana__inatisha hadi unasweat kwenye baridi 😁