Tetesi: Uongo juu ya JKT

Tetesi: Uongo juu ya JKT

Muda wa kozi kila mtu lazima ale kozi haijalishi kambi gani labda uwe mgonjwa wa kudumu
Ni sawa ila naona ujaelewa nilicho andika ...mfano shuleni unaweza kukuta tukio lenye kufanana la mwanafunzi kumtukana mwalimu kisha kupewa adhabu ya kuchapwa fimbo 4 ila kwenye tukio sawa na ilo mwanafunzi akapewa adhabu ya kupigwa viboko na walimu zaidi ya watatu viboko 4 kila mwalimu ...maana yake mnaweza kuwa kwenye kozi moja ila suluba ni tofauti
 
Ni sawa ila naona ujaelewa nilicho andika ...mfano shuleni unaweza kukuta tukio lenye kufanana la mwanafunzi kumtukana mwalimu kisha kupewa adhabu ya kuchapwa fimbo 4 ila kwenye tukio sawa na ilo mwanafunzi akapewa adhabu ya kupigwa viboko na walimu zaidi ya watatu viboko 4 kila mwalimu ...maana yake mnaweza kuwa kwenye kozi moja ila suluba ni tofauti
Anhaaa nimekuelewa mkuu🙏
 
Mwanafunzi wa 4m 6 anayeenda JKT, Labda amekosa cha kufanya huku home, au laah ana ndoto ya kuwa mjeda.

Vinginevyoo ataenda kuteseka huko hatariiii.
 
Kwani kuna mtu anategemea kwenda JKT kula maisha, kama mtu anataka mtoto wale ale maisha si kuna sehemu nyingi za vacation anaweza kumpeleka,
Ukakamavu hauwezi kufundishwa kwa kubembeleza mtoto.

BTW mzazi yeyote mwenye akili timamu hawezi kumzuia mtoto wake asiende jkt kisa atateseka, wakati kila mwaka watoto wengi tu wanaenda na wanarudi salama kabisa.
Mtoa mada ni mbea iwe iwavyo jeshini ni pagumu mno mno mnoo.Japo ni desturi kanuni na taratibu zake.Sijui LENGO lake ni nini?
 
Hata wa Mujibu wenyewe ni mateso km kawaa, unless yeye mtoa mada anapenda ujeda. Lol
Dawa ni kukimbia na kujificha porini asubuh hadi jioni,unaonekana muda wa kula tu
 
Back
Top Bottom