Kwa lipoti hipi!msilisema Atcl ilikuwa aikaguliwi tangia Magufuri ameingia madarakani?
Wewe ndio kichwa ngumu, unaongea maneno bila utafiti,unauakika kuwa Atcl walikuwa na ndege kwa miaka 5? wakati ndege zimeanza kufanya kazi si zaidi ya miaka kama mitatu.Watanzania wajinga kama huyu wanajaribu kila njia to justify ujinga kwa kuongeza ujinga wao hawajui ujinga wa wawili unafanya unabaki ujinga tu na ni mjinga tu anaiga ujinga eti kwa kuwa Kenya ina ndege zinapata hasara ni sawa madege ya Magufuli yakipata hasara. Mashirika yote ya ndege duniani Kipindi hiki cha mwaka mmoja yamepata hasara kwa sababu ya hili gonjwa ambalo limeleta hasara kubwa zaidi ya vifo vya mamilioni ya watu ambao wangesafiri na ndege hizo. Kabla ya gonjwa mashirika mengi yalikuwa yanapata faida au hasara ndogo lakini licha ya Nchi yetu kutokuwa na Covid-19, ATCL haijawahi kupata faida miaka 5 yote ya umri wake wakati hayo Mashirika tajwa yakiogelea kwenye faida. Kwa Shirika lolote la Ndege kupata faida, lazima ndege zake zote ziwe hewani wakati wote zikiwa zimesheheni abiria walipa nauli siyo vigogo wa Serikali na Makada wa Chama wanaosafiri bure.
Wewe ndio bure kabisa,nimekuliza hizi ndege zimeisha timiza miaka 5 toka zinunuliwe?au kwakuwa mlikuwa ampendi miladi ya Magufuri!! maana kila alichokifanya Magufuri ni kibaya.Halafu ww msukuma kuliko kubishana na wanaume hapa, hebu ukajifunze kuandika kwanza maana sasa hivi elimu ni bure.
Wewe ndio bure kabisa,nimekuliza hizi ndege zimeisha timiza miaka 5 toka zinunuliwe?au kwakuwa mlikuwa ampendi miladi ya Magufuri!! maana kila alichokifanya Magufuri ni kibaya.
Ni upungufu wa fikra za baadhi ya watu, hasa wanaoona wanakosolewa.Alafu kwanini kila anaye kosoa serikali anaonekana CHADEMA?
Tuwape muda..., tusiwe wepesi wa kuja na hitimishoSi ajabu ripoti hiyo ikapigwa chini Bungeni na CAG akaonekana kuwa ni mzushi. Unakumbuka ishu ya 1.5t?
Maneno yanaishi na yana maana ile ile iliyokusudiwa,ogopa sana hiki kitu.
Unatekeleza kwa kununua cash na usimamizi mbovu. Baada ya kuwa umenunua na kuanza kupata hasara, kwa nini udanganye kwamba unatengeneza faida!!?kama chadema wameoona umuhimu wa ndege na ccm wakaitekeleza , who is to blame?
"Tumtangulize Mungu mbere"Ishu hata sio shirika kupata hasara ishu ni kile tulichokuwa tukiamnishwa kuwa lilikuwa linaingiza faida, hapo hapo "msema kweli ni mpenz wa Mungu ndo kauli" hii ilikuwa msemo mkubwa
Mwendazake alipenda sana maigizo. Ati shirika kama TTCL Litoe gawio kweli? Hao wateja wa TTCL Ni kinanani na wapo wapi?Mambo sasa yanaanza kujianika kwenye mkeka wa uhakika. Ukweli unauzidi nguvu uongo kama mbegu inapochomoza kwenye udongo. Ukweli unaanza kutamalaki kama mashabiki kindakindaki au mwalimu na chaki. Tumedanganywa sana na kwa muda mrefu.
CAG amemwambia Mhe. Rais kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa hasara ya mabilioni ya shilingi za kitanzania kwa miaka mitano sasa. Lakini Mwendazake na wenzake wamekuwa wakituamisha kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa faida. Katika kuchagiza hilo, ATCL imekuwa ikitoa hadi gawio kwa Serikali. Tulikuwa tukidanganywa.
Serikali ya Mwendazake ilijaa propaganda na uongo mkubwa. Tumeanza kuona upande wa pili wa tulichokuwa tukiambiwa. Ukweli unaupiga kumbo uongo uliotaka kudumu kwa muongo mzima. Amini nawaambia, hilo ni tone tu kwenye bahari ya propaganda zilizokuwa zikiendelea wakati wa uongozi wa Mwendazake. Mengi yanafuata baada ya tuta.
Ndugu yangu Kichere, angekuwepo Mwendazake ungeiwasilisha Ripoti ile inayoanika ATCL na hasara zake?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Whether it makes profit or not, ndege lazima ziwepo na wale wanaosomea urubani wapate pia ajira.
JPM
Ndugu Zangu
Wenzangu Wote Mmewapa Miaka 10
Mimi Tu Ndiyo Mninyime Kwani Nimewakosea Nini
[emoji846][emoji5][emoji9][emoji11][emoji1][emoji28][emoji38][emoji38]
Most airlines are loss making, mengi yanaenda kwa geopolitics (British Airways na Malkia, Alitalia na Papa, ATC na nwili wa Nyerere, India na Pakistan. Soma hapa:Mambo sasa yanaanza kujianika kwenye mkeka wa uhakika. Ukweli unauzidi nguvu uongo kama mbegu inapochomoza kwenye udongo. Ukweli unaanza kutamalaki kama mashabiki kindakindaki au mwalimu na chaki. Tumedanganywa sana na kwa muda mrefu.
CAG amemwambia Mhe. Rais kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa hasara ya mabilioni ya shilingi za kitanzania kwa miaka mitano sasa. Lakini Mwendazake na wenzake wamekuwa wakituamisha kuwa ATCL imekuwa ikijiendesha kwa faida. Katika kuchagiza hilo, ATCL imekuwa ikitoa hadi gawio kwa Serikali. Tulikuwa tukidanganywa.
Serikali ya Mwendazake ilijaa propaganda na uongo mkubwa. Tumeanza kuona upande wa pili wa tulichokuwa tukiambiwa. Ukweli unaupiga kumbo uongo uliotaka kudumu kwa muongo mzima. Amini nawaambia, hilo ni tone tu kwenye bahari ya propaganda zilizokuwa zikiendelea wakati wa uongozi wa Mwendazake. Mengi yanafuata baada ya tuta.
Ndugu yangu Kichere, angekuwepo Mwendazake ungeiwasilisha Ripoti ile inayoanika ATCL na hasara zake?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Si kwa uongozi huu!!tayari wameshasoma alama za nyakati kuwa JANJA JANJA tena hakuna, kwani walifanya vile ili kumrizisha bwana mkubwa!!na kweli walifanikiwaSi ajabu ripoti hiyo ikapigwa chini Bungeni na CAG akaonekana kuwa ni mzushi. Unakumbuka ishu ya 1.5t?
we can call that a weakness ofcourse, uwazi ni muhimu sana
Kuna coastal aviation, auric air, etcWhether it makes profit or not, ndege lazima ziwepo na wale wanaosomea urubani wapate pia ajira.
acha CAG afanye kazi yake, he wasnt that bad tunaweza kusema ni mapungufu kuna vitu vingine vingi alifanya sawa tu kwahio mwache CAG afanye kazi yake
Ripoti ya wakaguzi imesema....nani mjinga hapo?Wewe acha ujinga,umeulizwa hizi ndege zimefanya kazi miaka mingapi?wakati hizi azina miaka mitatu.hiyo miaka mitano mnaesabu hipi?wakati Magufuri hajakuta hata ndege hata moja?