Uongo kuhusu ATCL ni tone tu kwenye bahari, Tumedanganywa mengi tu!

Kwa lipoti hipi!msilisema Atcl ilikuwa aikaguliwi tangia Magufuri ameingia madarakani?

Halafu ww msukuma kuliko kubishana na wanaume hapa, hebu ukajifunze kuandika kwanza maana sasa hivi elimu ni bure.
 
Wewe ndio kichwa ngumu, unaongea maneno bila utafiti,unauakika kuwa Atcl walikuwa na ndege kwa miaka 5? wakati ndege zimeanza kufanya kazi si zaidi ya miaka kama mitatu.
 
Halafu ww msukuma kuliko kubishana na wanaume hapa, hebu ukajifunze kuandika kwanza maana sasa hivi elimu ni bure.
Wewe ndio bure kabisa,nimekuliza hizi ndege zimeisha timiza miaka 5 toka zinunuliwe?au kwakuwa mlikuwa ampendi miladi ya Magufuri!! maana kila alichokifanya Magufuri ni kibaya.
 
Wewe ndio bure kabisa,nimekuliza hizi ndege zimeisha timiza miaka 5 toka zinunuliwe?au kwakuwa mlikuwa ampendi miladi ya Magufuri!! maana kila alichokifanya Magufuri ni kibaya.

Hujui kuandika, hivyo nashindwa kujua nifanyie kazi tatizo la kuandika au kujibu swali. Hizo ndege zilianza rasmi 2017 ulitakaje labda?
 
Yaani walitaka kutuaminisha kwamba ndege zimerudisha gharama zote za kuzinunua na zikatengeneza faida ya bil. 28, wadanganyika sisi!
 
kama chadema wameoona umuhimu wa ndege na ccm wakaitekeleza , who is to blame?
Unatekeleza kwa kununua cash na usimamizi mbovu. Baada ya kuwa umenunua na kuanza kupata hasara, kwa nini udanganye kwamba unatengeneza faida!!?
 
Ishu hata sio shirika kupata hasara ishu ni kile tulichokuwa tukiamnishwa kuwa lilikuwa linaingiza faida, hapo hapo "msema kweli ni mpenz wa Mungu ndo kauli" hii ilikuwa msemo mkubwa
"Tumtangulize Mungu mbere"
Kumbe jamaa dah acha tu......
Eti wakatoa gawio
 
Mwendazake alipenda sana maigizo. Ati shirika kama TTCL Litoe gawio kweli? Hao wateja wa TTCL Ni kinanani na wapo wapi?
 
Hahaaa!!!!nadhn alishaona dalili za kukata kamba
JPM
Ndugu Zangu
Wenzangu Wote Mmewapa Miaka 10
Mimi Tu Ndiyo Mninyime Kwani Nimewakosea Nini
[emoji846][emoji5][emoji9][emoji11][emoji1][emoji28][emoji38][emoji38]
 
Most airlines are loss making, mengi yanaenda kwa geopolitics (British Airways na Malkia, Alitalia na Papa, ATC na nwili wa Nyerere, India na Pakistan. Soma hapa:

 
Si ajabu ripoti hiyo ikapigwa chini Bungeni na CAG akaonekana kuwa ni mzushi. Unakumbuka ishu ya 1.5t?
Si kwa uongozi huu!!tayari wameshasoma alama za nyakati kuwa JANJA JANJA tena hakuna, kwani walifanya vile ili kumrizisha bwana mkubwa!!na kweli walifanikiwa
 
So kuuhadaaa umma kwa yule aliyekuwa akidai msema kwel mpenz wa nan cjui alikuwa akimdannganya nan????
acha CAG afanye kazi yake, he wasnt that bad tunaweza kusema ni mapungufu kuna vitu vingine vingi alifanya sawa tu kwahio mwache CAG afanye kazi yake
 
Wewe acha ujinga,umeulizwa hizi ndege zimefanya kazi miaka mingapi?wakati hizi azina miaka mitatu.hiyo miaka mitano mnaesabu hipi?wakati Magufuri hajakuta hata ndege hata moja?
Ripoti ya wakaguzi imesema....nani mjinga hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…