Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

So mimea Ina roho? Na plasmodium?
Plasmodium ni uelewa wako mimea upande wa bialogy pia ina roho maana inakuwa na uhai ...Kama unavyaombiwa na biology unavyoambia mime hutoa oxygen ambayo wewe hutumia katika kupumua.
 
Tunaongelea uwepo wa Mungu ,usikimbilie sijui motoni😂😂..

Kwani hata biology yako si inakuambia sperms zinakuwa njiani kuelekea kweny yai...Mbona unaambiwa sperms hazina nguvu ya kutungisha mimba ?

Roho ni uhai wa mtu na haipo kooni ni popote pale hata chambo yule ambaye hana ubongo ana roho usikariri kila kiumbe kina ubongo.😂😂
Sperm Ina roho
 
Kuna ulazima wa kuinvoke god...kwani hizo cells si alikuwa nazo naturally tokea anazaliwa na circumstances zimetokea kawa vile na madoctor wanaelewa...Kuna haja ya kusema god did it
Doctor ni kama wewe tu hajui kesho yake na huyupo accurate kwa 100%...wangemponya celine Dion .!!
 
Plasmodium ni uelewa wako mimea upande wa bialogy pia ina roho maana inakuwa na uhai ...Kama unavyaombiwa na biology unavyoambia mime hutoa oxygen ambayo wewe hutumia katika kupumua.
So majani yakianguka yanaenda wapi
 
Sperm Ina roho
Roho ndio uhai wa kiumbe ,ebu fikiria ile process ya kuanzia sperm (majimaji) mpaka kuwa kijusi mpake kuwa mtoto kamili nan anafanya yote haya..

Kwa nn binadamu awe hivyo kuzaliwa kuna process ? Mbona wengine watoto wanakufa tumboni ? Mbona panazaliwa watoto walemavu?
 
Doctor ni kama wewe tu hajui kesho yake na huyupo accurate kwa 100%...wangemponya celine Dion .!!
Yaani we unalazimisha watu waishi milele which is unnatural and impossible kazi ya science ni kurahisisha maisha zamani life expectancy ilikuwa average 40 years if not 30 magonjwa kibao hayatibiki, vita nyingi, mateso, utumwa, njaa, etc Leo hii hujawahi lala njaa sokoni vyakula vipo, hujawahi skia bomu, hujawahi teswa au kufanywa mtumwa, magonjwa mengi sana yanatibika at early stages ..hii yote imesababishwa na binadamu kutaka kuelewa how the world works na sio tu kusema I'll talk to myself(god) and all problems zitaisha..ndo maana Hadi Leo nchi ambazo Zina more scientific development ni nchi ambazo wananchi wengi hawana Imani potofu
 
Tthis issue is confusing,but all in all there is a creator or a power of origin, but how better to live,we must avoid confusion among us,about heaven may be we should die and confirm de reality
 
Roho ndio uhai wa kiumbe ,ebu fikiria ile process ya kuanzia sperm (majimaji) mpaka kuwa kijusi mpake kuwa mtoto kamili nan anafanya yote haya..

Kwa nn binadamu awe hivyo kuzaliwa kuna process ? Mbona wengine watoto wanakufa tumboni ? Mbona panazaliwa watoto walemavu?
😂Nani? Kwa Nini usiseme Nini? Why unaforce awe nani? That's begging the question... nikikuambia Babu Christmas anafanya utabisha? 😂😂Utoto mwingi unao wewe...afu maswali ya watoto Kufa tumboni na kuzaliwa walemavu inabidi wewe umuulize huyo Mungu wako wa upendo na haki sio mimi .😂au huyu wa tumboni anaenda mbinguni direct na sperm zote zilizokufa zinaenda mbinguni?
 
So majani yakianguka yanaenda wapi
Mbona ni mechanism za kusurvive kwa mme katika kuangusha majini angalia asilimia kubwa ya majani ni ya aina gani ni yale loose hayawezi tena kufit yanakuwa yamekauka ..


Unataka majani yaende wapi? Unataka binadamu afanane na mimea wakati ni viumbe tofauti...Viumbe hai vipo vya tofauti ila vinakuwa hai (kwa kuwa na roho ) huo ndio uhai wao hata viishi miaka million ila zinakuja kupotea kwa namna yeyote ile .
 
Mbona ni mechanism za kusurvive kwa mme katika kuangusha majini angalia asilimia kubwa ya majani ni ya aina gani ni yale loose hayawezi tena kufit yanakuwa yamekauka ..


Unataka majani yaende wapi? Unataka binadamu afanane na mimea wakati ni viumbe tofauti...Viumbe hai vipo vya tofauti ila vinakuwa hai (kwa kuwa na roho ) huo ndio uhai wao hata viishi miaka million ila zinakuja kupotea kwa namna yeyote ile .
Asa kwa Nini binadamu na sisi usielezee hivyo kama natural process lazma uforce miungu moto mbinguni etc
 
Yaani we unalazimisha watu waishi milele which is unnatural and impossible kazi ya science ni kurahisisha maisha zamani life expectancy ilikuwa average 40 years if not 30 magonjwa kibao hayatibiki, vita nyingi, mateso, utumwa, njaa, etc Leo hii hujawahi lala njaa sokoni vyakula vipo, hujawahi skia bomu, hujawahi teswa au kufanywa mtumwa, magonjwa mengi sana yanatibika at early stages ..hii yote imesababishwa na binadamu kutaka kuelewa how the world works na sio tu kusema I'll talk to myself(god) and all problems zitaisha..ndo maana Hadi Leo nchi ambazo Zina more scientific development ni nchi ambazo wananchi wengi hawana Imani potofu
Ona sasa science ndio imeweka huo utaratibu na wao wametafuta sababu ya huo utaratibu
.

Nan kaweka huo utaratibu 😂😂😂?mtu kuzaliwa mpaka kufa?
 
Asa kwa Nini binadamu na sisi usielezee hivyo kama natural process lazma uforce miungu moto mbinguni etc
Nan kafanya kiumbe awe hivyo ,mbona watu wanatengeneza magari na kuweka mifupo mpaka inatembea.!

Hata kuendesha gari kuna mechanism kutokana na utaratibu wa gari lilivyotengenezwa ,unaweza usijtengeneza gari ila ukajua kwa kusoma jinsi linachanya mpaka litembee.
 
Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu

Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea

Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata

Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje

Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake

Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair

Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu

Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk

Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi

Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa

This is the biggest scam ever
Kisha baraza la maaskofu lililokaribu na mungu linapoteza muda kuandika waraka kwa wezi wa bandari badala ya kumuomba mungu awezeshe maandamano kwa kuwatoa hofu vijana tuweke serikali wajibifu na tuchome ubalozi wa emirates
 
Nk

Nakuonyesha kiuhalisia binadamu yeyote anatambua uwezo wa Mungu hata wanaoishi porini lazimq kuna kitu wanaabudu...Jaribu kusoma documentary ndio utajua.

Usiwe mbishi kwa kitu hujui ,hakuna jamii ambayo haiabudu tangu kuumbwa kwa ulimwengu.
Unaposema binadamu yeyote anatambua uwezo wa Mungu Mbona mimi sitambui hata uwepo wa huyo Mungu!?
 
Unaposema binadamu yeyote anatambua uwezo wa Mungu Mbona mimi sitambui hata uwepo wa huyo Mungu!?
😂😂😂Usingekuwa unabisha wala kujua neno Mungu.!!

Huwezi kubishana kwa jambo ambalo halipo .
 
Ndio siwezi kupinga kesho unaweza kuja kumpita Diamond ,siwezi kudharau kiumbe kilicho hai na kinajitafutia hata kidogo maana kesho yako na yangu hatujui.

Hata mimi sijui kesho naweza nikawa hata mlemavu so lolote fresh tu ni mpango wa Mungu.

Mungu ndio anapanga ..
Kama ni hivyo basi hata uovu,mabaya, dhambi, mateso na ukatili wote hapa duniani Ulipangwa na huyo huyo Mungu.

Mungu huyo pia atakuwa mkatili sana, Kwa kupanga Dunia yenye kila aina ya uovu na mateso.
 
😂😂😂Usingekuwa unabisha wala kujua neno Mungu.!!

Huwezi kubishana kwa jambo ambalo halipo .
Hata Uongo upo pia.

Kitu kuwepo si lazima kiwe ni ukweli kipo, Hata kwa uongo kinaweza kuwepo.

Mungu kuwepo ni Uongo.
 
Back
Top Bottom