Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Wamarekani kufika mwezini ni uongo ambao hadi wasomi wanangizwa chaka.
 
Usikotiwe wewe nani? hakuna mada hapa kuna maushubwada tu na kwa taarifa yako tu kwenye battles za kidini hunigusi hata chembe

Ni ignore sasa ukafie mbele huko hamjui dini mnakaa kuzi criticize
Wewe unayejua mbona huna hoja unatukana tu?
 
Nimekueleza hapo juu kama ni duara mraba itakuwa na jina jingine.....Maan ni vitu viwili tofauti na mfano haurelate .

Mungu yupo ukiwa tu na akili automatically unajua uwepo ...Hili halina ubishi .!
Huwezi kuthibitisha Mungu yupo bali unasema yupo.

Ila ushauri wangu ni kuwa, ukitaka kujifunza huu ulimwengu wakati mwingine itakubidi uachane na mawazo yaliyojengwa na mazoea jinsi umeuexperience huu ulimwengu ukiwa duniani.!!

Maana ukiwa outer space habari za juu-chini, mwanzo-mwisho, kitu kudondoka chini,habari za muda Ni mambo ambayo wewe unayaona ukiwa trapped hapa duniani.

Ulipoambiwa dunia inarotate haukubisha kweli?

Usikubali tu jibu ambalo ni hypothesis huwezi kuliproof.

Jibu ambalo linalazimisha kuvunja mantiki na sheria za ulimwengu kwa kujitungia story wewe mwenyewe.
 
Nimesoma mwanzo mwisho sijaona hoja zaidi ya malalamiko
 
Amini kuwa Mungu yupo ili siku ukifa uingie peponi. Pia haidhuru hata ukimwamini kuwa yupo na ikatokea akawa hayupo hutokuwa na cha kupoteza so Amini kuwa Mungu yupo brother.
 
Kama ambavyo una amini Mungu huyo usiyemjua hana chanzo basi hata Dunia, jua, Binadamu na vyote vilivyomo duniani vimekuwepo toka enzi na enzi, Havina Chanzo.

Holy books hizo ni sawa na nadharia nyingine za kisayansi zilizo jaribu kuonesha chanzo cha ulimwengu Lakini hazina ukweli wala uthibitisho wowote ule. Ni mawazo na mafikirio ya watu wa kale tu yasiyo thibitishika,

Mfano kama Big bang theory. Na yenyewe ni mojawapo ya nadharia inayo elezea chanzo cha Dunia, Lakini Huwezi kuiita facts pasipo uthibitisho.

Maana hata uongo unaweza ku aminiwa bila uthibitisho, ila ukweli lazima uthibitishike kwa Evidences.

Sasa na wewe unaposema hivi vitu ni nature jaribu kuonyesha mfano inakuwaje kama binadamu chanzo chake ni Nature
Binadamu hana chanzo, amekuwepo toka enzi na enzi.
Kwanini binadamu huyo huyo anapojaribu kuImmitate nature hiyo ashindwe hali ya kuwa vingine aweze,, Sababu ni nini???
Uwezekano wa binadamu ku immitate nature si kwamba haupo, Ni kwamba binadamu ana endelea kugundua maarifa mapya kila siku kwa kukopi na kuiga miundo ya ufanyaji kazi na mbinu ya Nature hiyo hiyo.

Nature imekuwepo toka enzi na enzi kwenye dunia.

Mfano miaka ya zamani kulikuwa hakuna Aeroplane 🛫 Lakini kupitia Nature, Binadamu aliweza kusoma nature ya viumbe ndege 🐦 na mechanism yao nzima ya namna gani wanaweza kuruka na kutua, akafanikiwa kuunda dhana ya uundaji wa Aeroplane.

Sasa mpaka hapa, unaona kwamba binadamu ana uwezo wa kuja na maarifa mapya ya ku immitate nature iliyo mzunguka.
 
Amini kuwa Mungu yupo ili siku ukifa uingie peponi. Pia haidhuru hata ukimwamini kuwa yupo na ikatokea akawa hayupo hutokuwa na cha kupoteza so Amini kuwa Mungu yupo brother.
Kwanza Hakuna kitu kama Pepo.

Mbingu (Pepo) haipo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.

Ukishindwa kuishi Duniani dhana ya mbinguni ni mawazo ya kufikirika.

If you fail to live on Earth, Heaven is an illusion.

You cannot wish for a house of Gold in Heaven while you have never touched Gold right here on Earth.

Wake up Emancipate yourself from mental slavery.
 
Usikotiwe wewe nani? hakuna mada hapa kuna maushubwada tu na kwa taarifa yako tu kwenye battles za kidini hunigusi hata chembe

Ni ignore sasa ukafie mbele huko hamjui dini mnakaa kuzi criticize
Kama hakuna mada, mbona Unashindwa kujenga hoja za kuthibitisha uwepo wa huyo Mungu?

Haya unaijua dini,

Thibitisha uwepo wa huyo Mungu na si mawazo yako na Fiction stories za Dini yako.
 
Tetemeko ni sehemu ya WARNING SIGNS na ALAMA za uwepo wake....

Likitokea mwanadamu huhisi powerless na hutambua uwepo wa SUPREME POWER [SLMIGHTY GOD].....

Mwenyewezimu zna majesho mbinguni ns ardhini....

Tunatakiwa tutubie na kumrejea YEYE
😂😂😂😂😂😂Ndo walivyokutishia.. hao walioandika hivyo hawakujua tetemeko linasababishwa na Nini so kila disaster wao wanajua ni hasira za Mungu
 
Sawa tunazalisha 😂😂unaumia nn kila mtu ashinde mechi zake...Sijaona hoja zako maana unapambana kiuchumi ila bado uko chini ,unatamani kuwa kama bill gates ila ndio hiyo Mungu hajakupangia.

Hata takwimu umeleta mwenyewe na hujui kosoma.
😂Unaongea tafkiri we jirani yangu vile...endelea kujikosha
 
😂Nikupe mtungi unijazie gesi ya huyo Mungu
 
Unajua hivyo vitu ulivyotaja ni fraction ndogo sana ya the known universe yaani solar system ni sawa na punje ya mchele ndani ya ghorofa... so to say kwamba dunia jua na mwezi vimeumbwa, na kwa ajili yako wewe...ni insult kubwa sana.. u r a microbe kwenye huu ulimwengu huna maana yoyote very insignificant to the point kwamba hata haonekani kwenye picha ya galaxy tu moja ya milky way. So kusema all this ni kujikosha ..na lack of knowledge bac...sawa tufanye hatujui milky way imekuwaje ukisema god did it unazua maswali mengi kuliko majibu, alikuwa wapi if there was nothing, Nini kilimfanya atengeneze, was he bored, haya bac if everything demands creation mbona yeye katokea tu out of nowhere with all those complex qualities ..so Bora utumie Occam's razor that reality is best explained easily without involving multitudes of assumptions
 
Mungu yupo hata usemeje ni suala la muda tu ,utaelewa..kwa hata hao wanasayansi wako hawana hoja ni kama wewe tu hawajui kesho yao.
 
Inazidi kuongezeka kwa sababu watu wanazidi kugundua wamepigwa
 
Wewe hujui chochote kuhusu ulimwengu ndio maana tunabishana mpaka sasa..

Nikikuambia chanzo cha mwanadamu hata nikupe miaka 10 huwezi kuja na facts za kunielewa.....Ndio maana nakuambia tutumie akili sio sayansi wala vitabu vya dini ...Maana sayansi ni mawazo ya mtu na yanakulimit kufikria nje ya box.
 
Amini kuwa Mungu yupo ili siku ukifa uingie peponi. Pia haidhuru hata ukimwamini kuwa yupo na ikatokea akawa hayupo hutokuwa na cha kupoteza so Amini kuwa Mungu yupo brother.
😂😂😂Paschal wager ..bac me naamini spiderman ndo Mungu yupo...Cha muhimu si kuamini tu usiende Motoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…