SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
🤣Au dragon wa Dan bakerBado tunazunguka pale pale kama Allah hayupo basi hata hayo maagizo hayakushuka
Allah HAYUPO
Kuna concept of Russel inasema
Kama niki kwambia kuna kibuyu kidogo cha Kinyiramba kinazunguka kwenye orbit ya jua
Ni kidogo sana kiasi kwamba huwezi kukiona kwa macho wala kwa mtambo wowote ule utaniamini?
The fact is hutaniamini hata kama hauna huwezo wa kuthibitisha
Concept hii inaonyesha mambo mawili
Mosi, Wajibu wa kuthibitisha anao aliyedai uwepo wa kitu
Pili, Mtu akikwambia habari za mashaka mwitikio wa kwanza ni kutokuamini na sio kuamini
Kwahiyo kutokuamini ni msingi wa kwanza hadi kuwepo uthibitisho
PROVE IT
Argument from inconsistent revelations... 🥺 kila mtu anasema dini yake ndo ufunuo kutoka kwa muumba na wengine wote ni waongo...🤣bac hizi dini zituendeleze Sasa mbona nchi ambazo Zina udini mchache zinaendeleaNaanzia hapa, uwepo wa Mola muumba unathibitishwa kwa njia hizi.
1. Akili
2. Mazingira
3. Ufunuo.
Naanzia na ufunuo, kwa maana Qur'an.
Anasema Allah mtukufu, kuwapa "Challenge" wakana Mungu, sababu walikuwepo tangu zama za mitume.
33. Au ndio wanasema: Ameitunga hii! Bali basi tu hawaamini!
34. Basi nawalete masimulizi kama haya ikiwa wao wanasema kweli.
35. Au wao wameumbwa pasipo kutokana na kitu chochote, au ni wao ndio waumbaji? (At-Tur : 33-35)
Maswali hayo mawili yanaonyesha hii Dunia yupo aliye iumba.
Huyo Allah kajiumbaNaanzia hapa, uwepo wa Mola muumba unathibitishwa kwa njia hizi.
1. Akili
2. Mazingira
3. Ufunuo.
Naanzia na ufunuo, kwa maana Qur'an.
Anasema Allah mtukufu, kuwapa "Challenge" wakana Mungu, sababu walikuwepo tangu zama za mitume.
33. Au ndio wanasema: Ameitunga hii! Bali basi tu hawaamini!
34. Basi nawalete masimulizi kama haya ikiwa wao wanasema kweli.
35. Au wao wameumbwa pasipo kutokana na kitu chochote, au ni wao ndio waumbaji? (At-Tur : 33-35)
Maswali hayo mawili yanaonyesha hii Dunia yupo aliye iumba.
Kuongelea kwako dhana ya Mungu kwa ujumla no ujinga na uvivu wa kufikiri sababu lazima ukosee kama ulivyo kosea hapa. Huwezi kumuongelea Ng'ombe kuwa ni Mungu wakati Mungu ili awe Mungu lazima awe na sifa zake anuani.Niliongelea dhana ya Mungu in general, au wewe unadhani dunia hii ina mungu wako tu?
Kwamba Allah kaombwa na Ibils abaki ili ampoteze binadamu na Allah akamkubali baki ili awapoteze ...... shida inaanzia hapa(kwanini amkubalie? Was it necessary?)
Kwanza kabisa akamrubuni Adam na Hawwa wakamkosea Allah matokeo yake Allah akawaondoa bustani ya kula bata akawaleta duniani kula shuruba kama maradhi magonjwa majanga nk(tunashurubika hata ambao hatukuwepo)
Matokeo yake mengine sasa ukichukulia dini moja wapo iwe sahihi utapata 80% ya watu wote duniani shetani atakuwa kawapotosha
Na ukichukulia hio dini ambayo ipo sahihi labda islam bado watakao kuwa wanafuata sahihi ni asilimia ndogo zaidi
Hii inafanya zaidi 90% ya watu wote duniani Ibils aliyemuomba Allah kuturubuni atakua katurubuni
Kwahiyo 99% ya watu wote duniani tutakwenda kuchomwa moto wa milele kwasababu tu Allah katuletea Iblis atupotoshe [emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu bado unaambiwa Mungu anatupenda kama tunavyo penda mbona ya jicho letu
Kwa msingi huu Allah kwangu ni jitu fulani katili limemuumba binadamu ili ateseke duniani na majanga na kesho ahera motoni
Kama huyu jamaa ni mnyiramba ameaibisha sana kabila letuMnyiramba wakwanza wa hovyo sana.
Hujui kitu na huna akili hata moja
Huamini kuhusu Mungu ila unaamini uchawi bogus wewe
Sahihi kabisa, baada ya kuona hilo, huwa tunaenda mbali na kujadili ukweli wa hicho kinachodaiwa au kusemwa.Argument from inconsistent revelations... 🥺 kila mtu anasema dini yake ndo ufunuo kutoka kwa muumba na wengine wote ni waongo...🤣bac hizi dini zituendeleze Sasa mbona nchi ambazo Zina udini mchache zinaendelea
Haya majina tuz kutokana na lugha tofauti, ila anae kusudiwa hapo ni mmoja.Basi unathibitishaje Mungu ni Allah na sio Yahweh
Unazunguka wewe ambaye unaandika mambo ambayo unashindwa kuyajengea hoja,vukiulizwa unakimbia. Wewe thibitisha ukweli wa unayo yaandika.Bado tunazunguka pale pale kama Allah hayupo basi hata hayo maagizo hayakushuka
Allah HAYUPO
Haya ni mawazo yu yaliyojengeka katika falsafa.Kuna concept of Russel inasema
Kama niki kwambia kuna kibuyu kidogo cha Kinyiramba kinazunguka kwenye orbit ya jua
Ni kidogo sana kiasi kwamba huwezi kukiona kwa macho wala kwa mtambo wowote ule utaniamini?
The fact is hutaniamini hata kama hauna huwezo wa kuthibitisha
Hii sio kweli, bali hiki ni kichaka ambacho huwa mnajifichia wakana Mungu na hii inaonyesha ya kuwa mnapinga mambo ambayo hamna elimu nayo.Mosi, Wajibu wa kuthibitisha anao aliyedai uwepo wa kitu
Pili, Mtu akikwambia habari za mashaka mwitikio wa kwanza ni kutokuamini na sio kuamini
Kwahiyo kutokuamini ni msingi wa kwanza hadi kuwepo uthibitisho
PROVE IT
Vipi ajiumbe na yeye ni Muumbaji ?Huyo Allah kajiumba
Kitu cha muhimu unachotakiwa kujua ni kwamba BINADAMU HAJUI KILA KITU
Majanga yanayotokea duniani sio kwasababu hakuna Mungu au kuna Mungu
Watu wanahoji kuhusu uwepo wa Mungu na kuruhusu majanga kutokea na kutesa viumbe wake tena vitoto vichanga wakati tuna ambiwa anawapenda kama mboni ya jicho lako
🤣🤣🤣Ila mnaenda mecca kuzunguka jiwe la waarabu na kitabu chenu ni Cha kiarabu...huyu muumba wa ulimwengu wenye galaxies billion aliona kota pa kijinga akaamua mji fulani jangwani Arabia ndo uwe mtakatifu...sawa mwanangu Allah wakbar
Kitu cha muhimu unachotakiwa kujua ni kwamba BINADAMU HAJUI KILA KITU
Majanga yanayotokea duniani sio kwasababu hakuna Mungu au kuna Mungu
Watu wanahoji kuhusu uwepo wa Mungu na kuruhusu majanga kutokea na kutesa viumbe wake tena vitoto vichanga wakati tuna ambiwa anawapenda kama mboni ya jicho lako
Naanzia hapa, uwepo wa Mola muumba unathibitishwa kwa njia hizi.
1. Akili
2. Mazingira
3. Ufunuo.
Naanzia na ufunuo, kwa maana Qur'an.
Anasema Allah mtukufu, kuwapa "Challenge" wakana Mungu, sababu walikuwepo tangu zama za mitume.
33. Au ndio wanasema: Ameitunga hii! Bali basi tu hawaamini!
34. Basi nawalete masimulizi kama haya ikiwa wao wanasema kweli.
35. Au wao wameumbwa pasipo kutokana na kitu chochote, au ni wao ndio waumbaji? (At-Tur : 33-35)
Maswali hayo mawili yanaonyesha hii Dunia yupo aliye iumba.
Unazunguka wewe ambaye unaandika mambo ambayo unashindwa kuyajengea hoja,vukiulizwa unakimbia. Wewe thibitisha ukweli wa unayo yaandika.
Thibitisha Allah hayupo. Mpaka unakufa huwezi kufanya hivyo.
Walau nusu ya swali ulipouliza umelijibu kuwa pamoja na kupewa manual si manual yote wanadamu wanaielewa. Na kutoielewa kwenye haini ni uthibitisho wa kutokuwapo kwa Muumba wa kila kitu.
Pili ngoja nikupe kisa kimoja cha wakati wa mtume.
Mtume ktk siku zake za mwisho wa uhai wake alikaa na baadhi ya wanafunzi wake na kuwauliza maswali matatu.
Mmoja wa wanafunzi wake alifahamaika ABU DHAR AL GIFARIY:
Alipoulizwa wewe unapenda nini ktk hii dunia.
Alisema Ninapenda vitu vitatu hapa duniani.
a. Njaa,
b. Ugonjwa,
c. Na kifo
Alipoulizwa kwann, Abu Dharr akajibu:[emoji1370] a. Ninapenda njaa ili kulainisha moyo wangu.
b. Ninapenda magonjwa ili kupunguza dhambi yangu.
c. Na mimi napenda mauti kwa kuwa nimejiandaa kukutana na Mola wangu Mlezi.
Angalia hii falsafa na ndio spirit tunayoishi sisi waislam.
Kwamba pamoja na kuwa tetemeko limeua watu wema na wabaya lkn wale wema wana spirit ya kuamini amerudi kwa mola wake hali ya kuwa yuko na amani ktk nafsi na moyo wake.
Wakati ninyi kwa upande wenu mnaona ni mateso.
Same case kwa magonjwa haya dume kama canser kwa watoto
Nashukuru sana mkuu kwa kutambua hilo, Na umekuwa muelewa.Japo mie ninaamini mungu yupo,lkn nikiri wazi kabisa kuwa wewe ni mtu mwenye akili sana,una uweze mkubwa sana wa kujenga hoja na kushawishi.
Ndio ushangae sasa kuhusu Mungu muweza wa yote
Kwamba eti kabla wazungu hawajafika huku kwetu alishindwa kabisa kuwafikia mababu zetu miaka mamilioni na wakafa bila kumjua
Akaja kutumia wakoloni waliokuja kututawala kutufanya watumwa na kuiba maliasili zetu ndio watuletee habari zake
Kuelewa uongo kama huu inabidi ujitie upofu
Epicurean paradoxDunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu
Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea
Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata
Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje
Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake
Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair
Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu
Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk
Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi
Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa
This is the biggest scam ever
@Kisai nakuuliza hivi,[emoji116]Hii sio kweli, bali hiki ni kichaka ambacho huwa mnajifichia wakana Mungu na hii inaonyesha ya kuwa mnapinga mambo ambayo hamna elimu nayo.
Mara nyingi anae kanusha ndio hutangulizwa sababu hudhaniwa ya kuwa ana elimu zaidi juu ya jambo hilo, na mara chache anaye kiri hutangulizwa.
Sisi tunakiri ya kuwa Mola yupo kwa sababu nyingi sana, zipo sababu za kiakili, za kimazongira na ufunuo. Sasa wewe ambaye unakuja na kusema ya kuwa "Mungu hayupo" unapewa nafasi kubwa ya kuthibitisha sababu unakuwa unaenda kinyume na Uhalisia, yaani unapingana na akili, unapingana na mazingira na unapingana na ufunuo.
Sasa hakuna mlango wa nyinyi kutoka katika kuwajibika kuthibitisha juu ya kutokuwepo kwa Mola.
Twende kazi.
Sawa. Manual kwa maana ya Mtaala wowote kazi yake ni kukuchonga. Kukutengeneza.Mkuu Abu Dharr alijibu vile kulingana na level yake kwa namna alivyokuwa brainwashed na Mohammed(saw)
Kuna mjinga mmoja aliwashindisha njaa waumini wake hadi kufa achilia mbali aliye wanywesha sumu na wanao jivika mabomu