Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Bado tunazunguka pale pale kama Allah hayupo basi hata hayo maagizo hayakushuka

Allah HAYUPO

Kuna concept of Russel inasema

Kama niki kwambia kuna kibuyu kidogo cha Kinyiramba kinazunguka kwenye orbit ya jua
Ni kidogo sana kiasi kwamba huwezi kukiona kwa macho wala kwa mtambo wowote ule utaniamini?
The fact is hutaniamini hata kama hauna huwezo wa kuthibitisha

Concept hii inaonyesha mambo mawili

Mosi, Wajibu wa kuthibitisha anao aliyedai uwepo wa kitu

Pili, Mtu akikwambia habari za mashaka mwitikio wa kwanza ni kutokuamini na sio kuamini
Kwahiyo kutokuamini ni msingi wa kwanza hadi kuwepo uthibitisho

PROVE IT
🤣Au dragon wa Dan baker
 
Naanzia hapa, uwepo wa Mola muumba unathibitishwa kwa njia hizi.

1. Akili
2. Mazingira
3. Ufunuo.

Naanzia na ufunuo, kwa maana Qur'an.

Anasema Allah mtukufu, kuwapa "Challenge" wakana Mungu, sababu walikuwepo tangu zama za mitume.

33. Au ndio wanasema: Ameitunga hii! Bali basi tu hawaamini!

34. Basi nawalete masimulizi kama haya ikiwa wao wanasema kweli.

35. Au wao wameumbwa pasipo kutokana na kitu chochote, au ni wao ndio waumbaji? (At-Tur : 33-35)

Maswali hayo mawili yanaonyesha hii Dunia yupo aliye iumba.
Argument from inconsistent revelations... 🥺 kila mtu anasema dini yake ndo ufunuo kutoka kwa muumba na wengine wote ni waongo...🤣bac hizi dini zituendeleze Sasa mbona nchi ambazo Zina udini mchache zinaendelea
 
Naanzia hapa, uwepo wa Mola muumba unathibitishwa kwa njia hizi.

1. Akili
2. Mazingira
3. Ufunuo.

Naanzia na ufunuo, kwa maana Qur'an.

Anasema Allah mtukufu, kuwapa "Challenge" wakana Mungu, sababu walikuwepo tangu zama za mitume.

33. Au ndio wanasema: Ameitunga hii! Bali basi tu hawaamini!

34. Basi nawalete masimulizi kama haya ikiwa wao wanasema kweli.

35. Au wao wameumbwa pasipo kutokana na kitu chochote, au ni wao ndio waumbaji? (At-Tur : 33-35)

Maswali hayo mawili yanaonyesha hii Dunia yupo aliye iumba.
Huyo Allah kajiumba
 
Niliongelea dhana ya Mungu in general, au wewe unadhani dunia hii ina mungu wako tu?

Kwamba Allah kaombwa na Ibils abaki ili ampoteze binadamu na Allah akamkubali baki ili awapoteze ...... shida inaanzia hapa(kwanini amkubalie? Was it necessary?)

Kwanza kabisa akamrubuni Adam na Hawwa wakamkosea Allah matokeo yake Allah akawaondoa bustani ya kula bata akawaleta duniani kula shuruba kama maradhi magonjwa majanga nk(tunashurubika hata ambao hatukuwepo)
Matokeo yake mengine sasa ukichukulia dini moja wapo iwe sahihi utapata 80% ya watu wote duniani shetani atakuwa kawapotosha
Na ukichukulia hio dini ambayo ipo sahihi labda islam bado watakao kuwa wanafuata sahihi ni asilimia ndogo zaidi

Hii inafanya zaidi 90% ya watu wote duniani Ibils aliyemuomba Allah kuturubuni atakua katurubuni

Kwahiyo 99% ya watu wote duniani tutakwenda kuchomwa moto wa milele kwasababu tu Allah katuletea Iblis atupotoshe [emoji23][emoji23][emoji23]

Halafu bado unaambiwa Mungu anatupenda kama tunavyo penda mbona ya jicho letu

Kwa msingi huu Allah kwangu ni jitu fulani katili limemuumba binadamu ili ateseke duniani na majanga na kesho ahera motoni
Kuongelea kwako dhana ya Mungu kwa ujumla no ujinga na uvivu wa kufikiri sababu lazima ukosee kama ulivyo kosea hapa. Huwezi kumuongelea Ng'ombe kuwa ni Mungu wakati Mungu ili awe Mungu lazima awe na sifa zake anuani.

Hapo ulitakiwa ujue unajadiliana na mtu wa aina gani kisha ujenge hoja kwa mtizamo wake. Ulipaswa ujadiliane na Mimi kwa mujibu wa Mungu ninae muamini Mimi, na ukijadliana na Mhindu hali kadhalika.

Amemkubalia sababu amemuomba, na angetaka asinge mkubalia bali amefanya hivyo kwa hekima na kuwatahini waja wake. Lakini hakutuacha hivi hivi alitutahadharisha juu ya Shetani, maana ukishawishiwa na Shetani ujue hiyo ni hiari yako. Kwa maana hiyo chochote utakacho kihoji hapo hakiwezi kuwa na nguvu, sababu ya uwepo wa Uhuru wa kuchagua.

Naam, lakini Adamu na Hawa walipewa onyo na ndio maana Allah akawatoa, maana yake walizembea wenyewe. Duniani unapata vyote, huwezi kuishi katika huzuni maisha yako yote au katika raha, bali duniani ni mapito ndio maana Kuna kufa, Kuna kufufuliwa na kuna kulipwa.

Aya zako za mwisho hakuna hoja uliyo iweka hapo zaidi ya malalamiko, hata wakiwa zaidi ya hizo asilimia ulizo zitaja, ukweli unabaki pale pale ya kuwa wamepotezwa kwa kutaka wenyewe kupotezwa.
 
Argument from inconsistent revelations... 🥺 kila mtu anasema dini yake ndo ufunuo kutoka kwa muumba na wengine wote ni waongo...🤣bac hizi dini zituendeleze Sasa mbona nchi ambazo Zina udini mchache zinaendelea
Sahihi kabisa, baada ya kuona hilo, huwa tunaenda mbali na kujadili ukweli wa hicho kinachodaiwa au kusemwa.

Mfano katika hayo maswali niliyo yaweka, Kuna uongo gani ? Jifunzeni kujadili hoja na si kukimbia hoja.

Kwamba je Dunia imeumbwa na sisi ? Au Dunia imetokana pasi na chochote ? Kumbuka haya yamenukuliwa natu ambaye hajui kusoma Wala kuandika. Kwa mwenye akili lazima atakiri ya kuwa hili si la kawaida.

Kujibu kwako maswali hayo na kutokujibu kwake kunaonyesha ya kuwa Mola yupo na Dunia hii imeumbwa.

Kuendelea kwa nchi sio lengo la sisi kuumbwa na hakimfanyi mtu awe sahihi, sababu Mola wetu huwa anawaruzuku mpaka watu waovu bali mpaka wanao mtukana na kumkana.

Jaribu kujenga hoja kijana.
 
Bado tunazunguka pale pale kama Allah hayupo basi hata hayo maagizo hayakushuka

Allah HAYUPO
Unazunguka wewe ambaye unaandika mambo ambayo unashindwa kuyajengea hoja,vukiulizwa unakimbia. Wewe thibitisha ukweli wa unayo yaandika.

Thibitisha Allah hayupo. Mpaka unakufa huwezi kufanya hivyo.
 
Kuna concept of Russel inasema

Kama niki kwambia kuna kibuyu kidogo cha Kinyiramba kinazunguka kwenye orbit ya jua
Ni kidogo sana kiasi kwamba huwezi kukiona kwa macho wala kwa mtambo wowote ule utaniamini?
The fact is hutaniamini hata kama hauna huwezo wa kuthibitisha
Haya ni mawazo yu yaliyojengeka katika falsafa.

Leta uhalisia usilete stori. Sharti sio kuamini au kutoamini, usahihi wa mambo unatakiwa ujue unachokiamini na kukikanusha, kinyume na hapo hutakiwi kupinga wala kukiri. Bado upo katika makosa tu.
 
Mosi, Wajibu wa kuthibitisha anao aliyedai uwepo wa kitu

Pili, Mtu akikwambia habari za mashaka mwitikio wa kwanza ni kutokuamini na sio kuamini
Kwahiyo kutokuamini ni msingi wa kwanza hadi kuwepo uthibitisho

PROVE IT
Hii sio kweli, bali hiki ni kichaka ambacho huwa mnajifichia wakana Mungu na hii inaonyesha ya kuwa mnapinga mambo ambayo hamna elimu nayo.

Mara nyingi anae kanusha ndio hutangulizwa sababu hudhaniwa ya kuwa ana elimu zaidi juu ya jambo hilo, na mara chache anaye kiri hutangulizwa.

Sisi tunakiri ya kuwa Mola yupo kwa sababu nyingi sana, zipo sababu za kiakili, za kimazongira na ufunuo. Sasa wewe ambaye unakuja na kusema ya kuwa "Mungu hayupo" unapewa nafasi kubwa ya kuthibitisha sababu unakuwa unaenda kinyume na Uhalisia, yaani unapingana na akili, unapingana na mazingira na unapingana na ufunuo.

Sasa hakuna mlango wa nyinyi kutoka katika kuwajibika kuthibitisha juu ya kutokuwepo kwa Mola.

Twende kazi.
 
Kitu cha muhimu unachotakiwa kujua ni kwamba BINADAMU HAJUI KILA KITU

Majanga yanayotokea duniani sio kwasababu hakuna Mungu au kuna Mungu

Watu wanahoji kuhusu uwepo wa Mungu na kuruhusu majanga kutokea na kutesa viumbe wake tena vitoto vichanga wakati tuna ambiwa anawapenda kama mboni ya jicho lako
🤣🤣🤣Ila mnaenda mecca kuzunguka jiwe la waarabu na kitabu chenu ni Cha kiarabu...huyu muumba wa ulimwengu wenye galaxies billion aliona kota pa kijinga akaamua mji fulani jangwani Arabia ndo uwe mtakatifu...sawa mwanangu Allah wakbar
Kitu cha muhimu unachotakiwa kujua ni kwamba BINADAMU HAJUI KILA KITU

Majanga yanayotokea duniani sio kwasababu hakuna Mungu au kuna Mungu

Watu wanahoji kuhusu uwepo wa Mungu na kuruhusu majanga kutokea na kutesa viumbe wake tena vitoto vichanga wakati tuna ambiwa anawapenda kama mboni ya jicho lako

Walau nusu ya swali ulipouliza umelijibu kuwa pamoja na kupewa manual si manual yote wanadamu wanaielewa. Na kutoielewa kwenye haini ni uthibitisho wa kutokuwapo kwa Muumba wa kila kitu.

Pili ngoja nikupe kisa kimoja cha wakati wa mtume.

Mtume ktk siku zake za mwisho wa uhai wake alikaa na baadhi ya wanafunzi wake na kuwauliza maswali matatu.

Mmoja wa wanafunzi wake alifahamaika ABU DHAR AL GIFARIY:

Alipoulizwa wewe unapenda nini ktk hii dunia.
Alisema Ninapenda vitu vitatu hapa duniani.

a. Njaa,
b. Ugonjwa,
c. Na kifo

Alipoulizwa kwann, Abu Dharr akajibu:👇🏼 a. Ninapenda njaa ili kulainisha moyo wangu.
b. Ninapenda magonjwa ili kupunguza dhambi yangu.
c. Na mimi napenda mauti kwa kuwa nimejiandaa kukutana na Mola wangu Mlezi.

Angalia hii falsafa na ndio spirit tunayoishi sisi waislam.

Kwamba pamoja na kuwa tetemeko limeua watu wema na wabaya lkn wale wema wana spirit ya kuamini amerudi kwa mola wake hali ya kuwa yuko na amani ktk nafsi na moyo wake.

Wakati ninyi kwa upande wenu mnaona ni mateso.

Same case kwa magonjwa haya dume kama canser kwa watoto
 
Naanzia hapa, uwepo wa Mola muumba unathibitishwa kwa njia hizi.

1. Akili
2. Mazingira
3. Ufunuo.

Naanzia na ufunuo, kwa maana Qur'an.

Anasema Allah mtukufu, kuwapa "Challenge" wakana Mungu, sababu walikuwepo tangu zama za mitume.

33. Au ndio wanasema: Ameitunga hii! Bali basi tu hawaamini!

34. Basi nawalete masimulizi kama haya ikiwa wao wanasema kweli.

35. Au wao wameumbwa pasipo kutokana na kitu chochote, au ni wao ndio waumbaji? (At-Tur : 33-35)

Maswali hayo mawili yanaonyesha hii Dunia yupo aliye iumba.

Nasubiri mazingira na akili mkuu
 
Unazunguka wewe ambaye unaandika mambo ambayo unashindwa kuyajengea hoja,vukiulizwa unakimbia. Wewe thibitisha ukweli wa unayo yaandika.

Thibitisha Allah hayupo. Mpaka unakufa huwezi kufanya hivyo.

Kwahiyo wewe unakubaliana kwamba kuna kibuyu cha kinyiramba kinazunguka kwenye orbit ya jua?

By default huwezi kuamini hadi uthibitishiwe

Siamini Mungu by default hadi nithibitishiwe

Kwanini unalazimisha uwepo wake kwasababu siwezi kuthibitisha uwepo wake?

MIMI SIWEZI KUTHIBITISHA KUTU AMBACHO HAKIONEKANI, HAKIHISIKI, HAKITHIBITIKI, HAKINUSIKI yaani HAKIPO
Kinasemwa tu kwenye vitabu kuna Mungu
 
Walau nusu ya swali ulipouliza umelijibu kuwa pamoja na kupewa manual si manual yote wanadamu wanaielewa. Na kutoielewa kwenye haini ni uthibitisho wa kutokuwapo kwa Muumba wa kila kitu.

Pili ngoja nikupe kisa kimoja cha wakati wa mtume.

Mtume ktk siku zake za mwisho wa uhai wake alikaa na baadhi ya wanafunzi wake na kuwauliza maswali matatu.

Mmoja wa wanafunzi wake alifahamaika ABU DHAR AL GIFARIY:

Alipoulizwa wewe unapenda nini ktk hii dunia.
Alisema Ninapenda vitu vitatu hapa duniani.

a. Njaa,
b. Ugonjwa,
c. Na kifo

Alipoulizwa kwann, Abu Dharr akajibu:[emoji1370] a. Ninapenda njaa ili kulainisha moyo wangu.
b. Ninapenda magonjwa ili kupunguza dhambi yangu.
c. Na mimi napenda mauti kwa kuwa nimejiandaa kukutana na Mola wangu Mlezi.

Angalia hii falsafa na ndio spirit tunayoishi sisi waislam.

Kwamba pamoja na kuwa tetemeko limeua watu wema na wabaya lkn wale wema wana spirit ya kuamini amerudi kwa mola wake hali ya kuwa yuko na amani ktk nafsi na moyo wake.

Wakati ninyi kwa upande wenu mnaona ni mateso.

Same case kwa magonjwa haya dume kama canser kwa watoto

Mkuu Abu Dharr alijibu vile kulingana na level yake kwa namna alivyokuwa brainwashed na Mohammed(saw)

Kuna mjinga mmoja aliwashindisha njaa waumini wake hadi kufa achilia mbali aliye wanywesha sumu na wanao jivika mabomu
 
Japo mie ninaamini mungu yupo,lkn nikiri wazi kabisa kuwa wewe ni mtu mwenye akili sana,una uweze mkubwa sana wa kujenga hoja na kushawishi.
Nashukuru sana mkuu kwa kutambua hilo, Na umekuwa muelewa.

Watu wengine huwa hawawezi kukubali ila wanataka ubishi tu.

Na waki ishiwa hoja huanza kutumia matusi, kejeli na kuni shambulia kwa lugha zisizofaa.

Siku zote, Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika,

Na kitu kikisha fahamika na kuthibitishika kipo, Hakuna haja tena ya imani kutambua uwepo wa kitu hicho.

Nikupe mfano mdogo,
Mwanafunzi anaye fanya mtihani, kabla ya matokeo kutoka anakuwa hana uhakika wa ufaulu wake utakuwaje, ila anakuwa Ana "imani" ya kwamba atafaulu, Lakini kwa vile hana uhakika vizuri hajui atafaulu kwa kiwango kipi, Pia vile vile anaweza akafeli au akafaulu kwa kiwango tofauti na matarajio ya "Imani" yake kwa vile Hana uhakika.
(Ni imani yake tu)

Lakini matokeo ya mtihani yakishatoka, Imani hiyo ya kuamini kwamba "Atafaulu au atafeli" ina ondoka na kuwa ukweli na uthibitisho wa kwamba mwanafunzi huyu "Amefaulu au Amefeli" kwa uthibitisho wa kuonekana kwenye cheti chake cha matokeo au karatasi ya mtihani aliyo jibia.

Na hapa mwanafunzi huyu anakuwa Hana "imani" tena ya kwamba "amefaulu au amefeli" kwa vile ana uthibitisho wa uhakika wa jibu moja tu, kwamba kweli amefaulu au amefeli kwa kuangalia vyeti vyake au matokeo yake ya mtihani yaliyo toka.

Imani ile ya kusema kwamba nitafaulu au nitafeli inakuwa haipo.

Hivyo msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika juu ya jambo fulani,

Ukweli Hauendani na imani.
ukweli una endana na kujua, uwepo wa uthibitisho, facts, evidences na Logic.

Yani kwenye imani hata 1+1 jibu linaweza kuwa tisa kwa imani, kwa vile ni imani tu.

Ila kwenye ukweli 1+1 jibu lazima liwe 2.
 
Ndio ushangae sasa kuhusu Mungu muweza wa yote

Kwamba eti kabla wazungu hawajafika huku kwetu alishindwa kabisa kuwafikia mababu zetu miaka mamilioni na wakafa bila kumjua

Akaja kutumia wakoloni waliokuja kututawala kutufanya watumwa na kuiba maliasili zetu ndio watuletee habari zake

Kuelewa uongo kama huu inabidi ujitie upofu

Kwel umeongea neno kwaiyo kbla ya wazungu na warabu kuja babu zetu walikua wakifa wanaenda motoni moja kwa moja ila baada ya wazungu na warabu kufika bas wakaja na upako na uponyaji
 
Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu

Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea

Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata

Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje

Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake

Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair

Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu

Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk

Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi

Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa

This is the biggest scam ever
Epicurean paradox
Screenshot_20230811-175147.jpg
 
Hii sio kweli, bali hiki ni kichaka ambacho huwa mnajifichia wakana Mungu na hii inaonyesha ya kuwa mnapinga mambo ambayo hamna elimu nayo.

Mara nyingi anae kanusha ndio hutangulizwa sababu hudhaniwa ya kuwa ana elimu zaidi juu ya jambo hilo, na mara chache anaye kiri hutangulizwa.

Sisi tunakiri ya kuwa Mola yupo kwa sababu nyingi sana, zipo sababu za kiakili, za kimazongira na ufunuo. Sasa wewe ambaye unakuja na kusema ya kuwa "Mungu hayupo" unapewa nafasi kubwa ya kuthibitisha sababu unakuwa unaenda kinyume na Uhalisia, yaani unapingana na akili, unapingana na mazingira na unapingana na ufunuo.

Sasa hakuna mlango wa nyinyi kutoka katika kuwajibika kuthibitisha juu ya kutokuwepo kwa Mola.

Twende kazi.
@Kisai nakuuliza hivi,[emoji116]

Kwa nini Mungu wenu huyo "Allah" ana Zungumza kwa kiarabu tu?

Duniani kuna Lugha nyingi sana kijapani,kichina, kijerumani, kiingereza,kifilipino, kigiriki, kiswahili, n.k

Kuna lugha mbalimbali za makabila mengi sana ulimwenguni kote.

Sasa kwa nini Mungu wenu huyo "Allah" ana eleweka kwa kiarabu tu?

Na unadai Mungu wenu huyo "Allah" wa ninyi waislamu ndio Mungu wa kweli duniani kote.

Kama Mungu wenu Allah ndio wa ukweli kwa nini aeleweke kwa lugha moja tu ya kiarabu?

Yani kumjua Mungu huyo lazima umjue kwa kiarabu?

Mungu wenu huyo Allah, Alishindwaje kujidhihirisha kwa binadamu wote wa Lugha zote duniani aka eleweka?

Fafanua kinaga ubaga [emoji3516][emoji3516]
 
Mkuu Abu Dharr alijibu vile kulingana na level yake kwa namna alivyokuwa brainwashed na Mohammed(saw)

Kuna mjinga mmoja aliwashindisha njaa waumini wake hadi kufa achilia mbali aliye wanywesha sumu na wanao jivika mabomu
Sawa. Manual kwa maana ya Mtaala wowote kazi yake ni kukuchonga. Kukutengeneza.

Ni suala la hisia zako iwapo unakubaliana nacho au laa. Kama ninyi mulivyochongwa na kuamua kupinga manual ya maumbile ya yule aliyesababisha tuwepo na viwepo vingine.

Moja ya falsafa ya Uislam ni kutoogopa kifo iwapo unajiamini kuishi kwa kupita kwe njia ya Mungu.

Na kitu kibaya zaidi kuliko vyote ni Fitna.

Na mifumo yote iliyotungwa na wanadamu ni fitna ktk ardhi. Na universal law (uislam) umekuja kupingana na hizo fitna.

Sasa tunapigania ni kutengezwa kwa njia ya Mungu au kukumbatia fitna
 
Back
Top Bottom