Mimi nakuonesha contradiction kwenye hyo imani yenu, wewe umeshindwa hata kunielewa.Wewe umemfanyia nini Mungu aliyekuumba, akakujaalia uhai, chakula, malazi, afya, pumzi and all you have!??? Zaidi ya kukufuru tu na kukithirisha UASI!!!!!
Mazingira yako wazi sana. Uwepo wa usiku na mchana unathibitisha ya kuwa yupo aliye uweka tena mwenye ujuzi na mpangiliaji wa mambo.Nasubiri mazingira na akili mkuu
Sasa kwanini unasema hakipo na umekiri ya kuwa huwezi kuthibitisha ? Unatumia nini kufikiri ?Kwahiyo wewe unakubaliana kwamba kuna kibuyu cha kinyiramba kinazunguka kwenye orbit ya jua?
By default huwezi kuamini hadi uthibitishiwe
Siamini Mungu by default hadi nithibitishiwe
Kwanini unalazimisha uwepo wake kwasababu siwezi kuthibitisha uwepo wake?
MIMI SIWEZI KUTHIBITISHA KUTU AMBACHO HAKIONEKANI, HAKIHISIKI, HAKITHIBITIKI, HAKINUSIKI yaani HAKIPO
Kinasemwa tu kwenye vitabu kuna Mungu
WEWE NI BIGGEST LOSER IN THE HISTORY OF LOSERS!!!Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu
Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea
Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata
Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje
Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake
Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair
Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu
Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk
Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi
Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa
This is the biggest scam ever
Kwanza Allah ndio ameumba ndimi za watu, katika surat al Insaan amegusia hilo, ya kuwa ameumba mataifa na makabila mbali mbali lengo tupate kujuana.@Kisai nakuuliza hivi,[emoji116]
Kwa nini Mungu wenu huyo "Allah" ana Zungumza kwa kiarabu tu?
Duniani kuna Lugha nyingi sana kijapani,kichina, kijerumani, kiingereza,kifilipino, kigiriki, kiswahili, n.k
Kuna lugha mbalimbali za makabila mengi sana ulimwenguni kote.
Sasa kwa nini Mungu wenu huyo "Allah" ana eleweka kwa kiarabu tu?
Na unadai Mungu wenu huyo "Allah" wa ninyi waislamu ndio Mungu wa kweli duniani kote.
Kama Mungu wenu Allah ndio wa ukweli kwa nini aeleweke kwa lugha moja tu ya kiarabu?
Yani kumjua Mungu huyo lazima umjue kwa kiarabu?
Mungu wenu huyo Allah, Alishindwaje kujidhihirisha kwa binadamu wote wa Lugha zote duniani aka eleweka?
Fafanua kinaga ubaga [emoji3516][emoji3516]
Nini maana ya neno GunduaYamekuwa hayo tena....roho mbaya...umejuajae kuwa binadam ana roho mbaya au nzuri wakati sayansi imeshindwa kuthibitisha uwepo wa roho.
..kutumia vifaa vya kisayansi na kuvikubali sio sababu ya kuviabudu na kuwa mjinga hadi nijitoe ufaham kuwa hakuna Mungu....
Kufahamik kwa kitu sio kugundua ....unapoenda shuleni ukafundisha kusoma ukazijua herufi hakukufanyi uwe mgunduzi wa herufi ila kunakufanya uzifahamu herufi....madini yaliyotengeneza hizi simu yalikuwepo before hujakuwepo hukuyatengeneza umeyakuta....ubongo uliotumika kufikiri na kuchanganya madini haya haya hata ukasema leo hakuna Mungu hukuutengeneza umejikuta unao na aliyekupa ndio huyo unasema hayupo....
Namjua kama mhusika wa kutungwa wa kwenye tamthilia ambae ni sawa na Mungu ambae ni mhusika wa vitabu vya hadithi.Kwani humjui!?
Hakuna Sayansi inayosema binadamu ni nyani au alitokana na nyaniBinadamu wanasema ni nyani kwa sayansi uliyodanganywa ,sasa nakupa kazi ukiniambia nakulipa mil 10 ....Niambie chanzo cha binadamu kuwepo hapa duniani?
Wapi nimesema hewa ni upepo!?Masahihisho hewa sio upepo......kwenye sayari nyingine upepo upo ndio maana tunashudia vimbunga kwenye sayari kama mars, jupiter lakini sio hewa ile... ufafanuzi zaidi next time.
Lakini unaelewa kuwa ukiongea upepo unakuwa unaelezea hewa (Air) !?Kama hauamini uwepo wa Mungu Kwa sababu haumuoni basi hamini pia kutokuwepo kwa hewa au upepo kwa kuwa hauuoni wala uwezi kuushika, pumbavu.
Unavyosema sayansi je unajua ina maana gani au unajua sayansi ni biology, chemistry na physics.Hakuna Sayansi inayosema binadamu ni nyani au alitokana na nyani
Rudi tena kahakiki ulichokisoma kwanza
Mazingira yako wazi sana. Uwepo wa usiku na mchana unathibitisha ya kuwa yupo aliye uweka tena mwenye ujuzi na mpangiliaji wa mambo.
Jua kuzama Magharibi na kuchomoza Mashariki, uwepo wa Mwezi kadhalika, mabadiliko ya majira hivi haviwezi kuwepo pasi na kupangiliwa. Hii tunaita "Self evident Truth".
Akili iliyo salama, inakataa ya kuwa Dunia Haina mwenyewe, akili iliyo salama ina hoji kwanini tupo duniani ? Je tupo ili tuoshi tu kisha iwe basi ? Akili iliyo salama inakusukuma wewe kujua lengo la kuishi kwako, hapo lazima utakiri ya kuwa yupo aliye tuumba tena kwa malengo.
Akili iliyo salama, inatafuta lengo la maisha, inakataa ya kuwa, iweje muovu adhulumu halafu iwe basi tu, au fisadi afisidi halafu iwe basi. Lazima kutakuwa na ukomo na siku ya malipo.
Mambo yako mengi sana yanayo onyesha uwepo wa Mungu.
Sijui ina maana ganiUnavyosema sayansi je unajua ina maana gani au unajua sayansi ni biology, chemistry na physics.
Kweny historia tumesona na pale waliofanya uchunguzi za hatua za ukuaji ni sehemu ya kisayansi ..Sijui ina maana gani
Ila najua haijawahi kutoa madai yeyote kuwa binadamu alitokana na nyani au alikuwa nyani
Historia hiyo ya uchunguzi ndio ilileta majibu kuwa binadamu alitokana na nyani?Kweny historia tumesona na pale waliofanya uchunguzi za hatua za ukuaji ni sehemu ya kisayansi ..
Carbon 14 zilizotumika na pamoja uchunguzi wa fuvu ni sehemu ya sayansi.
Kama hukusoma hiyo syllabus sawa..
Kwanini unaandika uongo ? Mara ngapi nimewakosoa kuhusu logic na mkashindwa kutetea utoto wenu ?Unahangaika na Kisai ambae hata hajui logic ni kitu gani?
Kama kaitukana logic unadhani hata ataelewa kuwa Mungu wake hayupo!?
Chochote unachokif ER by bd do my.. Umm xxx cc GG v fun zzz zzz bbanya bila kuwa na logic, ni kama ukichaa tu.
Una Assume vipi kwa jambo ambalo lipo tayari ?(Tu assume Allah yupo kweli)
Kama huu ndio ushahidi wa uwepo wa Allah basi huyu Allah alikusudia kwa makusudi mazima kuwa changanya binaadam ili apate sababu ya kuwachoma moto alio uumba kabla hata hajaatuumba wanaadam
Allah ni jitu katili
Haya maelezo hayana mantiki.Nakuja kwenye kuumba Moto, Mola wetu ametuumba kwa malengo, na akaweka utaratibu ya kuwa watakao faulu watalipwa pepo na watakao feli wataingizwa motoni, hili alilijua na anajua fulani wa motoni na fulani wa peponi.
Una Assume vipi kwa jambo ambalo lipo tayari ?
Badilisha namna ya ujengaji hoja.
Ukisoma vitabu kila kitu ameandika na amefafanua, shida yenu hamsomi hivi vitabu, hasa Qur'aan. Jaribuni kutenga muda msome haya mambo.
Shida nyingine ni kuwa hamsomi.