Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

🤣🤣🤣So ukiumwa ndo unafurahi dhambi zinapungua...duu mpo serious, yaani dini ni watu wengi kuwa machizi
 
🤣🤣🤣 Nyie si ndo mlisema day, night, jua na mwezi vinazunguka dunia, jua linazama kwenye tope, jua linaomba ruhsa kwa Allah kuchomoza asubuhi....na siku ya mwisho litaambiwa lirudi lilipotoka ndo litachomoza magharibi...🤣🤣🤣🤣all this is primitive knowledge...yaani huyo mtume wenu alikuwa hajui lolote kuhusu dunia na Sayansi halisi alikuwa anatoa vitu akilini anasema Allah's knows best ..kingine hayo maswali unayouliza don't prove the existence of a god and also don't prove the existence of Allah...it proves kwamba Kuna vitu hatuvijui...hizi zingine ni imagination tu kujikosha unataka watu unaowachukia waumie na wewe ule bata...ni mentality ya kimaskini 🤣🤣🤣all in all ni utoto na ujinga...no proof
 
Huyo Allah nae katokeaje bila kuumbwa?
 
Swali la kwanza kwa Nini katumia means ya communication ambayo ni ngumu...lyk kwa Nini kila mtu asingezaliwa anamjua Allah lazma afundishwe na mama ake muislam na Kama Hana wazazi waislamu coz of geography labda anakuwa dini nyingine. Why religion is just an accident of history and geography?
 
🤣Unajua ungekuwa mkristo ungekuwa unamtetea Yesu hapa afu unasema sisi ndo mashabiki
 
🤣Quran inayosema nyota zipo anga ya karibu ili ziwapige mashetani wasikaribie kitu Cha Allah
 
🤣🤣🤣🤣Acha uwongo ...Quran inasema all non Muslims wanaenda hell forever ..afu waislamu ndo wanachaguliwa according to behavior...so automatically Mungu ameumba watu billions ambao hawajazaliwa waislamu ili awachome
 
Kuna watu hawaamini kabisa kwamba inawezekana akawepo mtu haamini katika uwepo wa Mungu, yani katika akili zao, hicho kitu hakiwezekani.

Kwa sababu ya udogo wa mawazo yao.

Kwahiyo unaona watu wote tuna amini Mungu tuna mawazo madogo?

Unapata faida gani kutumia nguvu kumpiga Mungu
Bora utumie muda huo kuzidi kumtafuta na hakika utamjua
 

Unapata faida gani kukomaa kumpinga Mungu?

Nakushauri tumia muda wako kuzidi kumtafuta na utamjua bila shaka
 
Kwahiyo unaona watu wote tuna amini Mungu tuna mawazo madogo?

Unapata faida gani kutumia nguvu kumpiga Mungu
Bora utumie muda huo kuzidi kumtafuta na hakika utamjua
Wapi nimesema watu wote mnao amini Mungu mna mawazo madogo?

Unaweza kunionesha hiyo sehemu?

Unajua kusoma kwa ufahamu?

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
 
😂😂Kwa nn wwe hauna majibu na hutaki kuelewa?

Nimekuuliza haujawahi kujibu hata mara moja .!
Mkuu, eleza chanzo cha binadamu na utoe facts kama ulivyosema.

Hayo mengine unayoyafanya hapa ni uhuni tu.

Sijui kila kitu, ndo maana nakwambia unipe hizo facts za chanzo cha binadamu.
 
Safi kabisa, uje tena kusema ya kuwa mantiki ni jambo la msingi. Nitakuuliza swali kwanini umefikia hitimisho la juu ya kuwa watu kuingia motoni ni kwamba Allah Hana upendo wowote ?
Je unaweza kuwa na upendo wote na ukamchoma mwanao kwenye moto hata kama kaua!?

Haijalishi kwamba kakosea nini.

Kwasifa za Mungu huyo zinazotajwa inaonesha kabisa jinsi alivyo na upendo wa hali ya juu.

Kitendo cha kiumbe wake kukosea haimfanyi Mungu mwenye upendo wote kumuadhibu kwa kumchoma moto.

Je Mungu muweza wa yote angeshindwa kuumba ulimwengu ambao hauwezekani kutendeka uovu wa aina yeyote ile ili kusiwe na watakaoenda motoni?

Kwanini Mungu mwenye upendo wote kaumba ulimwengu huu wenye matetemeko yanayoua maelfu kwa maelfu?
Kwanini Mungu atake kututest wakati anajua yote hata matokeo ya mtihani huo?
Usiseme yanakosa mantiki kwa kuhitimisha juu juu na kutoangalia mchakato mzima.

Sasa nataka uje hapa uonyeshe kutokuwa na maana kwa maneno haya.
Psychology ya theist sku zote ilijengwa ili kusifu,

yani ni kwamba unahisi kuwa huyo Mungu anafuatilia hata unavyopost hapa JF

Kwaakili yako kwakuwa unadhani hivyo, unajaribu kupambana kwa hali na mali ili upate nafasi ya kuhesabiwa haki mbinguni.

Hilo ni tatzo la psychology tu, ndiyo maana unakataa contradiction za wazi kabisa.
 
Kwahiyo unaona watu wote tuna amini Mungu tuna mawazo madogo?

Unapata faida gani kutumia nguvu kumpiga Mungu
Bora utumie muda huo kuzidi kumtafuta na hakika utamjua
Mna mawazo madogo sana kwa vile mna amini kisicho kuwepo.

Mungu huyo kama yupo anacho jifichia ni nini?

Kwani ange jitokeza tumjue, inge badilisha nini yeye kuwa Mungu?

Kama yeye ni muweza wa yote, Anaogopa nini kuonekana hadharani?
 
Haya mambo ya imani ni ya kuwaachia waliiamini tu, we imagine kuna binaadamu wanajua story za mbinguni , wanajua hata ukifa utafikia wapi 🤣🤣🤣
 
Mungu yupo hata utoe mifano ambayo haipo ila ukweli Mungu yupo mratibu wa mambo yote...
Basi tukubaliane hivi,

Kama Mungu huyo Yupo na ndiye mratibu wa mambo yote,

Basi Mungu huyo pia ni mratibu wa Uovu wote, Ubaya wote, Mateso yote, Ukatili wote, Unyama wote, na makosa yote.

Mungu huyo hana huruma na ni mkatili sana

Maana yeye ndiye mratibu wa mambo yote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…