Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

🤣🤣🤣sababu ni moja .. according to u kila kitu lazma kiwe na mwanzo...so ukisema Allah Hana mwanzo tayari umejicontradict...umefanya special pleading
Wapi nimeandika kila kitu lazima kiwe na chanzo ?

Ndio maana nikakwambia unipe sababu ambazo yule muumba wa ulimwengu na vilivyomo vipi awe chanzo wakati yeye ni chanzo ?

Onyesha nime jicontradict wapi ?
 
Uislam umeanza lini....tuanzie hapo..
Ndio tujue nabii muislam alitokea lini
 

Kwamba jua ni kiumbe kinatembea na kila siku linaomba rukhusa kwa Allah lichomoze?........ mkuu are you serious?

Kwamba vimondo tunavyo viona huwa vinampiga shetani?

Wakati mwingine kuamini na kutetea hizi imani inabidi ujitie uchizi kidogo kwa matumaini ya kuja kula bata milele huko peponi
 
Jifunze kunukuu, sijasema Jua linazunguka. Nimekuuliza Jua linatembea au halitembei ? Unakuja kusema nimeandika linazunguka ?

Sasa Qur'aan itaje Milk Way ili iweje ? Yaani ifate mawazo ya Wajinga ?

Qur'an siyo kitabu Cha Sayansi kijana, kile ni kitabu Cha muongozo kinasema ya kweli na haki.

Sasa thibitisha ya kuwa Jua halitembei, Jua halisujudu Jua halifanyi hayo yote ?
 
Nakuuliza hivi nipe sababu tatu ambazo zinalazimisha ya kuwa Muumba wa Mbingu na ardhi na vilivyomo lazima awe na chanzo au lazima awe ameumba ?

Kanuni inasema hivi "Kila kitu kina chanzo isipokuwa Allah". Sababu Allah ndio chanzo chenyewe.

Unakubali kuna "Infinity Series" ? Kama inakubali ya kuwa kuna "Infinity" wewe huna akili, na ni makosa kuendelea kujadiliana na wewe.

Hao Wanasayansi mnao waamini wenyewe wanapinga ya kuwa hakuna Infinity series. Fatilia ishu za Entropy au fatilia Ile Second Law of Thermodynamics.
 
Naam, Sasa wewe onyeshe ya kuwa ni uongo.

Usilete stori za kijiweni.

Naam vinampiga Shetani.

Sasa unachotakiwa wewe ufanye hapa, ni kuwa uonyeshe ya kuwa haya ni uongo mtupu.

Nimekaa hapa nasubiri hilo.
 
Jana niliku uliza swali lakini bado hujajibu,

Naku uliza tena hivi[emoji116]

Ulisema kwamba "Quran" ya Allah mnaweza kuifanyia tasfiri (translation) kwa lugha zingine.

Sasa, idhini na ruhusa ya kufanya tasfiri ya Quran aliwapa nani?

Au ni maamuzi yenu ya kibinadamu kufanya tasfiri ya Quran ya "Allah" aliyo ileta kwa kiarabu?

Kama "Allah" alitaka binadamu wote tuijue Quran hiyo, Alishindwaje kuileta kwa lugha zote ulimwenguni za binadamu wote?

Kwa nini Allah huyo alete Quran kwa lugha moja tu ya kiarabu, Kisha ninyi muanze kuifanyia tafsiri kwa niaba yake?

Kama Allah huyo alifahamu binadamu tupo kwa lugha tofauti, Kwa nini alete Quran hiyo kwa lugha ya kiarabu?
 
N
Na wewe kabla ya yote leta Unachokijua kuhusu 'JUA' limetoka wapi na siyo Mungu aliyelileta?
Mbona nimeandika kila kitu kwenye bandiko langu uliloliquote!!?

Nmekwambia sijui.

Nakutokujua kwangu haimaanishi ni Mungu ndiyo kalileta jua.

Hivi wewe ukiamka asbuhi ukakuta majani mlangoni kwako, ukaanza kujiuliza ni nani kaleta majani hayo hadi mlangoni kwako.

Ukiwa haujui nani kayaleta hapo mlangoni kwako utasema ni Mungu ndiye kayaleta!?

Kama ww unajua kwamba Jua limewekwa na Mungu, bhasi thibitisha kuwa huyo Mungu wako yupo kwenye uhalisia ili jibu lako likubalike.

Tofauti na hapo wewe hujui jua limetoka wapi, zaidi unajua jibu la uongo tu.

"" Adui mkubwa wa maendeleo ya mwanadamu sio ujinga (ukosefu wa maarifa)
Bali ni illusion ya knowledge
""
 
Pia ni muovu na mkatili sana.

Sifa zote ni zake.

Acha kumtetea kwenye upande mmoja wa mazuri tu, na kujifanya kwamba huoni upande wa pili.
Mungu anasamehe hata wanaomini mizimu wanadai inakasirika na kuleta maafa...Ila ukiomba msahama unasamehewa.
 
Naam, Sasa wewe onyeshe ya kuwa ni uongo.

Usilete stori za kijiweni.

Naam vinampiga Shetani.

Sasa unachotakiwa wewe ufanye hapa, ni kuwa uonyeshe ya kuwa haya ni uongo mtupu.

Nimekaa hapa nasubiri hilo.

Mimi siwezi kuthibitisha kama ni UONGO ingawaje sitaamini

Tunarudi pale pale kwenye concept ya Russle

Nikikwambia Kuna kibuyu cha kinyiramba kinazunguka kwenye orbt ya jua utaamini?

Ofcoz hutaamini lakini pia huwezi kuprove kama sio kweli
Ni wajibu wangu kujuthibitishia

Sasa kazi kwako kuthibitisha ukweli huu
 
N
Na wewe kabla ya yote leta Unachokijua kuhusu 'JUA' limetoka wapi na siyo Mungu aliyelileta?
Kanuni ipo hivi, [emoji116]

Kama kila kitu kilichopo kinahitaji chanzo chake, Basi hata huyo Mungu lazima awe na chanzo chake, Na chanzo chake Mungu lazima kiwe na chanzo chake, Na chanzo chake Mungu chanzo chake, Lazima kiwe na chanzo chake.

Sasa hapa kutakuwa na Vyanzo vingi visivyokuwa na mwisho (Endless), ili kanuni hii ifuate muundo huo huo wa [emoji116]

"Lazima kuwepo chanzo cha kila kitu"

Huwezi kuamini Mungu huyo hana chanzo, Halafu uanze kulazimisha Jua [emoji3508] na Ulimwengu mzima uwe na chanzo.

Utakuwa unaenda kinyume na kanuni ya "Lazima kuwepo chanzo cha kila kitu".

Do You get the point?

Think big...!!!
 
Mungu anasamehe hata wanaomini mizimu wanadai inakasirika na kuleta maafa...Ila ukiomba msahama unasamehewa.
Acha kuzunguka zunguka kwenye maelezo yako uliyo yatoa mwenyewe kwamba,

Mungu ana sifa zote.

Kama ana sifa zote, Pia Mungu huyo ni mkatili na muovu sana.

Maana yeye ana sifa zote.

Acha kuzunguka zunguka na kukwepesha maneno yako mwenyewe ya kwamba Mungu ana sifa zote.
 
Sasa mbona unaeleza sifa mbaya tu ...Wewe leo mzima huoni kakupa afya ,hauna ulemavu kwa nn usishukuru.

Akili ndogo unaangalia maovu ila sio mema uliyopewa ,binafsi nashukuru leo ni mzima na Mungu ni mwema.


Ngoja siku upate kilema ndio utaelewa .
 
Huo ni mfano dhahania ili ujaribu kupima dhana hii ya Mungu mwenye upendo wote.

Wewe ambae huna upendo wote umedai huwezi kumchoma mwanao.

Je huyo Mola mwenye upendo wote kitendo cha kuchoma watu moto kutamfanya aendelee kuwa wa upendo wote!!?
 
Dahhh! Umeongea mambo mazito sana yanayotokana na ujinga wa akili yako

Niambie bro ni mambo gani hayo Kwa Sasa mliyoweza kuyaelewa na kuyaelezea bila ya haja ya kuweka dhana ya Mungu

Nitajie 5 tu Ili nikuonyeshe kuwa wewe ni mjinga
 
Mimi sina upendo wote kwahyo hata nkimuadhibu mimi sijajipinga.

Sifa ya Mungu ni upendo wote.

Yaani hakuna gape hata kidogo la upendo.

Ingekuwa upendo huo unapimwa kwenye kikombe, bhasi upendo wa mungu ni wote unajaa hadi pale alipoishia fundi.

Yaani upendo uliokamilika, hata kama nkikosea ni kwamba hawezi kunidhuru kabisa!!!

Mimi upendo wangu kwa mwanangu sio wote.
Hivyo nkimuadhibu hakuna shida kwamaana upendo sio wote.

Mfano wako ni batili.

Sasa Mungu huyu mwenye upendo uliokamilika/wote inakuwaje adhibu viumbe vyake!?

Tena pamoja na upendo wote uliokamilika ametengeneza hadi matetemeko na vimbunga vikali vinaangamiza hadi watoto wachanga.

Huyo Mungu hayupo in real dimensions.

Ni utapeli tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…