Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Weka ushahidi wapi kwenye Uislamu hili limeruhusiwa ?

Achani uzushi na uzandiki, muwe mnasoma mnatupa tabu sana kwa ujinga wenu.
🤣🤣🤣So muislam akikuta mwanamke amezini, huyo mwanamke anapewa adhabu gani? Na niambie muislam akibadili dini anapewa adhabu gani?
 
🤣🤣🤣Bac naona huna hoja...yaani we ni mtoto ambae anasema "my father is always right, because he says so" so hatuwezi kuwa na logical convo... thank u
 
🤣🤣🤣Asa ni sawa nitengeneze kampuni yangu ya superheroes tuiite Simba chama afu niseme superheroes wote kina Superman spider wote walikuwa Simba chama ila marvel na DC wamekosea tu ila ni WA kwetu ..🤣Hivi hamjiulizi why watu ambao sio waislamu hata Kama ni wakristo wanawaonaga mna Imani za ajabu sana
 
Jibu swali nililo kuuliza.
🤣Ungekuwa umezaliwa Vatican ungekuwa mkristo...ungezaliwa Korea ungekuwa atheist au Buddha.. ungezaliwa India ungekuwa Mhindu it's an accident of geography tu...
 
Je nikikwambia vyote hivi vilikuwepo tu na vitaendelea kuwepo havina mwanzo wala mwisho na havina mtengenezaji utaniamini?

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Asa Kuna vitabu vingapi...afu why the almighty creator of the universe ana communicate through an ancient book. Yaani hizi ni evidence to kwamba hii ni ancient tribalism tu hamna lolote...
 
Wapi nimeandika kila kitu lazima kiwe na chanzo ?

Ndio maana nikakwambia unipe sababu ambazo yule muumba wa ulimwengu na vilivyomo vipi awe chanzo wakati yeye ni chanzo ?

Onyesha nime jicontradict wapi ?
🤣Mi sijasema ulimwengu umeumbwa
 
🤣Si lipo Brazil huko wakati waarabu hawalioni...ndo mtume wenu akazani linazama kwenye tope
 
Okay tuassume u need a god to set those things in motion...does he have to be all powerful, all knowing, all loving, miraculous, listening and answering prayers, promising ppo heaven and hell, etc hizi sifa hizi ndo za dini. Dini zinasema Mungu wao ndo ana majibu ..Zina sema tu bila evidence fyn.. waishi nae huko huko akilini mwao wasitupangie sisi eti Mungu kanitokea kaniambia sijui usimwage nje heee, wtf
 
Naam !! Yeye ndio muweza na anapnga kila kitu kwa vile hauna cha kumuhonga ilo upate kitu fulani.

Kampa Diamond utajiri wewe umenyimwa na hauna cha kufanya😂😂.

Hata mzazi hawez kukuomba msamaha ,ni matatizo ni tabia ya binadamu karibia wote tuna matatizo na mihangaiko ya maisha ni lqzima ...Haujakuja duniani kulala yaani usifanye kazi upate kila kitu .


Jaalia, duniani hakuna kazi watu wote wana maisha sawa ,hakuna majanga yaani tulale tu ....Huo sio mfumo wa dunia ya Mungu labda ukatafute nyingine baada ya kufa.😂

 
Ila hujawahi kujiuliza pamoja na madhambi yako topu yanayojaa kiroba ila Mungu hajakuchukua, amewachukua unaona wema? Umewahi kujiuliza?
That's the point, hayupo au kama yupo kashaweka misingi yake natural ukijirusha ghorofani utakufa, ukiingia barabarani vibaya lorry likakuzoa utakufa usipokufa lucky u ..Ila kusema kwamba Mungu ndo anaamua Leo ateseke huyu kesho huyu wengine wanazaliwa royal family hawajui shida maisha Yao yote na wengine wanazaliwa umaskini mpaka wanakufa kwa mateso afu useme Mungu yupo na ana upendo hapo utakuwa unajikosha tu
 
We ushawahi kuchomwa hata dakika mbili?
 
Sababu Mtume alikuwa Muarabu akaileta kwa Kiarabu,kisha wengine wakajifunza Kiarabu, na uwezo wa kujifunza akauweka ndio maana tunajifunza na tunakijua, maana ukiona hujui Kiarabu ni wewe hujafanya juhudi, kwahiyo hii haiwezi kuwa hoja.
Okay kwa nini muumba wa ulimwengu woooote wenye galaxies billions and billions amtokee mwarabu mmoja pangoni jangwani miaka ambayo hamna tv Wala gazeti
 
🤣Eeeh ban ee
 
So Tanzania hatuna makosa ndo maana hayatukuti...🤣Sawa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…