Kapendelea Tanzania isipate majanga au sio [emoji23][emoji23] maana yake nifurahi majanga yamepelekwa nchi zingine kwa wanadamu wengine ambao sio mimi si ndio?
Kapanga mafuriko ambayo yataua hadi watoto, majengo yatabomoka yatadondokea wamama wajawazito yataua watoto ambao hawajazaliwa ila anatupenda sana na ana huruma na sisi [emoji1787][emoji1787].
Kanipendelea mimi sio mlemavu; kwanini hata yule mlemavu asingempendelea kama mimi? kinachomshinda nini? au atapungukiwa nini binadamu wote akiwafanya wazima bila ulemavu?
Conclusion rahisi tu hapa yaani huyu mungu katuumba sisi kama vifaa vya kuonyeshea uwezo wake anaumiza wengine Ili wengine tuone tumependelewa halafu bado anataka tuamini anatupenda sana na anatuwazia mema kiukweli tukionana naye sio sisi wakumuomba msamaha yeye ndo anatakiwa atuombe sisi msamaha.
Sent from my M10_Max using
JamiiForums mobile app