Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Weka ushahidi wapi kwenye Uislamu hili limeruhusiwa ?

Achani uzushi na uzandiki, muwe mnasoma mnatupa tabu sana kwa ujinga wenu.
🤣🤣🤣So muislam akikuta mwanamke amezini, huyo mwanamke anapewa adhabu gani? Na niambie muislam akibadili dini anapewa adhabu gani?
 
Sio hajaamini, sababu umepewa akili na moyo kwa ajili ya kutambua mambo, na kuhifadhi mambo na kujua ukweli na uongo.

Lazima utaadhibiwa sababu unakuwa umekaidi kwa makusudi na kufata upotevu.

Hilo haliwezekani sababu Yesu hawezi kuwa Mungu Wala hakuwahi kuwa Mungu. Nilikwambia huko mwanzo kwamba hatuishi kwa kubahatisha.
🤣🤣🤣Bac naona huna hoja...yaani we ni mtoto ambae anasema "my father is always right, because he says so" so hatuwezi kuwa na logical convo... thank u
 
Akili ya kawaida inakubali ya kuwa kama Mungu ni mmoja basi dini ya Mungu lazima itakuwa Moja, mitume wote na manabii walikuwa Waislamu.

Sababu nyinyi sio wasomaji mnasikia sikia tu, ukisoma Historia ya hizo dini nyingine utaona uongo wake wa wazi.

Mbinguni huendi kwa kubahatisha, bali kwa elimu na kuitendea kazi elimu husika.
🤣🤣🤣Asa ni sawa nitengeneze kampuni yangu ya superheroes tuiite Simba chama afu niseme superheroes wote kina Superman spider wote walikuwa Simba chama ila marvel na DC wamekosea tu ila ni WA kwetu ..🤣Hivi hamjiulizi why watu ambao sio waislamu hata Kama ni wakristo wanawaonaga mna Imani za ajabu sana
 
1.Radi
2.Kutokea kwa Usiku na mchana
3.Mechanism za mwili (ikiwemo sperm zinapotoka)
4.Tetemeko la ardhi
5. Sayari kuzunguka jua

We bro unachekesha sana Yani hayo ndio mamba ambayo binadamu ameweza kuyafahamu na kuyaelezea pasipo dhana ya uwezo wangu ? Nani aliyekudanganya? Wewe Wala haujasoma Sayansi hayo mambo uliyoyataja hapo yote wanasayansi wamechemka

1) RADI
Radi inatokana na mvutano wa electron zenye chaji zinazofana either zote ni +ve au zote ni -ve

Nani aliyetengeneza hizo electron wanasayansi hawana majibu

Nani amezifanya hizo electron zibebe change wanasayansi hawana majibu

Umeme wa radi wanasayansi wameshindwa kuuchukua na kutumia pia Wanashangaa jinsi ulivyo na mamilioni ya voltage

Katika hili Mungu amebaki kuwa Mungu

2) KUTOKEA USIKU NA MCHANA
Usiku na mchana unatokea Kwa sababu Dunia inajizungusha yenyewe

Wanasayansi wanasema Ili kitu kimuvu lazima kuwe na external force
External force inayoifanya Dunia uzunguke ni ipi Hadi Leo wanasayansi hawana majibu na kwanini rotation speed ya Dunia ipo constant pia wanasayansi hawana majibu

3) MECHANISM ZA MWILI
Mechanism zote za mwili zinatumia umeme Hadi Leo hii wanasayansi hawajui source ya huo umeme Nini

4) TETEMEKO LA ARIDHI
Hadi Sasa wanachujua wanasayansi ni kupima ukubwa wa tetemeko yaliyobakia yote wanabahatisha na ndio maana nchi kama Uturuki Wana wanasayansi wengi lakini walishindwa kujua tetemeko litatokea LIni , saa ngapi na Lina ukubwa gani

5) SAYARI KUZUNGUKA JUA
Ingia katika website ya NASA Kila siku wanagundua vitu vipya maana yake ni kwamba hawana majibu sahihi kuhusu mfumo wa ulimwengu

Yani kama Kuna mtu amekuambia wanasayansi wanajua Kila kitu kuhusu huu ulimwengu na viumbe wake basi amekudanganya

We endelea tu kukaa na ujinga wako kuwa hakuna Mungu

Mbona hazizuki Sayari nyingine na viumbe vingine vipya kama Kila kitu kimezuka
Je nikikwambia vyote hivi vilikuwepo tu na vitaendelea kuwepo havina mwanzo wala mwisho na havina mtengenezaji utaniamini?

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Wapo ambao wamezaliwa na wazazi ambao si Waislamu na Sasa ni Waislamu. Unaandika nini kijana ?

Hata hiyo means, Allah angetaka wote tuwe Waislamu tungekuwa ila hajafanya hivyo kwa hekima zake na taratibu zake kwa makusudi ili tufikie lengo la sisi kutuumba.

Kingine ametoka hiyo means na akaweka hali wezekano ya kuimudu hiyo means ndio maana hata sisi tusio Waarabu tumesoma na Tunaendelea kusoma na tunakijua.

Sasa kwa utaratibu wa Allah ni kuwa lazima uweke juhudi katika kuliendea jambo fulani na hapendi watu wazembe.
Asa Kuna vitabu vingapi...afu why the almighty creator of the universe ana communicate through an ancient book. Yaani hizi ni evidence to kwamba hii ni ancient tribalism tu hamna lolote...
 
Wapi nimeandika kila kitu lazima kiwe na chanzo ?

Ndio maana nikakwambia unipe sababu ambazo yule muumba wa ulimwengu na vilivyomo vipi awe chanzo wakati yeye ni chanzo ?

Onyesha nime jicontradict wapi ?
🤣Mi sijasema ulimwengu umeumbwa
 
Jifunze kunukuu, sijasema Jua linazunguka. Nimekuuliza Jua linatembea au halitembei ? Unakuja kusema nimeandika linazunguka ?

Sasa Qur'aan itaje Milk Way ili iweje ? Yaani ifate mawazo ya Wajinga ?

Qur'an siyo kitabu Cha Sayansi kijana, kile ni kitabu Cha muongozo kinasema ya kweli na haki.

Sasa thibitisha ya kuwa Jua halitembei, Jua halisujudu Jua halifanyi hayo yote ?
🤣Si lipo Brazil huko wakati waarabu hawalioni...ndo mtume wenu akazani linazama kwenye tope
 
1.Radi
2.Kutokea kwa Usiku na mchana
3.Mechanism za mwili (ikiwemo sperm zinapotoka)
4.Tetemeko la ardhi
5. Sayari kuzunguka jua

We bro unachekesha sana Yani hayo ndio mamba ambayo binadamu ameweza kuyafahamu na kuyaelezea pasipo dhana ya uwezo wangu ? Nani aliyekudanganya? Wewe Wala haujasoma Sayansi hayo mambo uliyoyataja hapo yote wanasayansi wamechemka

1) RADI
Radi inatokana na mvutano wa electron zenye chaji zinazofana either zote ni +ve au zote ni -ve

Nani aliyetengeneza hizo electron wanasayansi hawana majibu

Nani amezifanya hizo electron zibebe change wanasayansi hawana majibu

Umeme wa radi wanasayansi wameshindwa kuuchukua na kutumia pia Wanashangaa jinsi ulivyo na mamilioni ya voltage

Katika hili Mungu amebaki kuwa Mungu

2) KUTOKEA USIKU NA MCHANA
Usiku na mchana unatokea Kwa sababu Dunia inajizungusha yenyewe

Wanasayansi wanasema Ili kitu kimuvu lazima kuwe na external force
External force inayoifanya Dunia uzunguke ni ipi Hadi Leo wanasayansi hawana majibu na kwanini rotation speed ya Dunia ipo constant pia wanasayansi hawana majibu

3) MECHANISM ZA MWILI
Mechanism zote za mwili zinatumia umeme Hadi Leo hii wanasayansi hawajui source ya huo umeme Nini

4) TETEMEKO LA ARIDHI
Hadi Sasa wanachujua wanasayansi ni kupima ukubwa wa tetemeko yaliyobakia yote wanabahatisha na ndio maana nchi kama Uturuki Wana wanasayansi wengi lakini walishindwa kujua tetemeko litatokea LIni , saa ngapi na Lina ukubwa gani

5) SAYARI KUZUNGUKA JUA
Ingia katika website ya NASA Kila siku wanagundua vitu vipya maana yake ni kwamba hawana majibu sahihi kuhusu mfumo wa ulimwengu

Yani kama Kuna mtu amekuambia wanasayansi wanajua Kila kitu kuhusu huu ulimwengu na viumbe wake basi amekudanganya

We endelea tu kukaa na ujinga wako kuwa hakuna Mungu

Mbona hazizuki Sayari nyingine na viumbe vingine vipya kama Kila kitu kimezuka
Okay tuassume u need a god to set those things in motion...does he have to be all powerful, all knowing, all loving, miraculous, listening and answering prayers, promising ppo heaven and hell, etc hizi sifa hizi ndo za dini. Dini zinasema Mungu wao ndo ana majibu ..Zina sema tu bila evidence fyn.. waishi nae huko huko akilini mwao wasitupangie sisi eti Mungu kanitokea kaniambia sijui usimwage nje heee, wtf
 
Naam !! Yeye ndio muweza na anapnga kila kitu kwa vile hauna cha kumuhonga ilo upate kitu fulani.

Kampa Diamond utajiri wewe umenyimwa na hauna cha kufanya😂😂.

Hata mzazi hawez kukuomba msamaha ,ni matatizo ni tabia ya binadamu karibia wote tuna matatizo na mihangaiko ya maisha ni lqzima ...Haujakuja duniani kulala yaani usifanye kazi upate kila kitu .


Jaalia, duniani hakuna kazi watu wote wana maisha sawa ,hakuna majanga yaani tulale tu ....Huo sio mfumo wa dunia ya Mungu labda ukatafute nyingine baada ya kufa.😂

Kapendelea Tanzania isipate majanga au sio [emoji23][emoji23] maana yake nifurahi majanga yamepelekwa nchi zingine kwa wanadamu wengine ambao sio mimi si ndio?

Kapanga mafuriko ambayo yataua hadi watoto, majengo yatabomoka yatadondokea wamama wajawazito yataua watoto ambao hawajazaliwa ila anatupenda sana na ana huruma na sisi [emoji1787][emoji1787].

Kanipendelea mimi sio mlemavu; kwanini hata yule mlemavu asingempendelea kama mimi? kinachomshinda nini? au atapungukiwa nini binadamu wote akiwafanya wazima bila ulemavu?

Conclusion rahisi tu hapa yaani huyu mungu katuumba sisi kama vifaa vya kuonyeshea uwezo wake anaumiza wengine Ili wengine tuone tumependelewa halafu bado anataka tuamini anatupenda sana na anatuwazia mema kiukweli tukionana naye sio sisi wakumuomba msamaha yeye ndo anatakiwa atuombe sisi msamaha.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Ila hujawahi kujiuliza pamoja na madhambi yako topu yanayojaa kiroba ila Mungu hajakuchukua, amewachukua unaona wema? Umewahi kujiuliza?
That's the point, hayupo au kama yupo kashaweka misingi yake natural ukijirusha ghorofani utakufa, ukiingia barabarani vibaya lorry likakuzoa utakufa usipokufa lucky u ..Ila kusema kwamba Mungu ndo anaamua Leo ateseke huyu kesho huyu wengine wanazaliwa royal family hawajui shida maisha Yao yote na wengine wanazaliwa umaskini mpaka wanakufa kwa mateso afu useme Mungu yupo na ana upendo hapo utakuwa unajikosha tu
 
Swali langu nimekuuliza nani alikwambia maana ya upendo ni kutokuadhibu ?

Naam wewe hauna upendo wote na haiwezi kuwa nao. Sababu katika upendo wa Allah ni kumruzuku hata yule ambaye ana mkana kama wewe, kumpa uhai na mengine, hii bado ni sehemu ya upendo wake.
We ushawahi kuchomwa hata dakika mbili?
 
Sababu Mtume alikuwa Muarabu akaileta kwa Kiarabu,kisha wengine wakajifunza Kiarabu, na uwezo wa kujifunza akauweka ndio maana tunajifunza na tunakijua, maana ukiona hujui Kiarabu ni wewe hujafanya juhudi, kwahiyo hii haiwezi kuwa hoja.
Okay kwa nini muumba wa ulimwengu woooote wenye galaxies billions and billions amtokee mwarabu mmoja pangoni jangwani miaka ambayo hamna tv Wala gazeti
 
Aibu ya dini yako hii ambayo bado inafundisha jua linazama kwenye matope. (Quran 18:86)

Mara sperm zinatoka kwenye uti wa mgongo.

Kwamba jua linaenda kusujudu, mara mpaka liruhusiwe na Allah ndo lichomoze.

Kwamba milima imewekwa ili kufanya dunia iliyoflat isiyumbe yumbe.(21:31)

Kwamba kuna sehemu jua huwa linachomoza na huko Mungu hajawawekea hata pazia la kuwakinga nalo (18:90)

Katika karne hii, kung'ang'ania haya ni Upumbavu na si ujinga
🤣Eeeh ban ee
 
Huo ni udhaifu, sababu anakuwa na uwezo wenye ukomo.

Ushawahi kufikiria hiki kitu ?

Sababu anataka liwe na ndio maana anaruhusu tetemeko litokee, na linatokea kwa sababu ya kuwapa adhabu au kuwakumbusha.

Ukifatilia katika haya majanga, yanayo tokea utakuta watu husika Kuna makosa wanayafanya, kwahiyo inakuja kama adhabu au uzinduo kwa yale wanayo yafanya, na huu ndio utaratibu alio uweka Allah na haubadiliki.
So Tanzania hatuna makosa ndo maana hayatukuti...🤣Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom