Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Onyesha uongo wa hiyo kanuni, na ujibu swali la kunipa sababu 3 tu ambazo zina lazimisha chanzo Cha kila kitu lazima kiwe na chanzo ? Huelewi wapi kijana ?

Sasa anaingiaje hapo na ameshatoka ? Kwani nilisema "Wamekuja wote ila Kisai". Hapa Kisai atakuwa sio au sio Mtu kisa tu yeye hajaja ?

Sasa ndio uonyeshe uongo wa hizo kauli. Halafu wenzenu kina Aristoto walivyo kuwa Wana asisi hizi kanuni zao walijatihidi sana kuijua lugha, tofauti na nyinyi ambao hata mambo ya lugha hamshughuliki nayo.
 
Je hoja hizo ulizoleta zinamaana!?

Sasa kama mtu unafikia kusema kuwa "hata usemaje Mungu yupo tu"
Hii inaonesha kuwa umeishiwa hoja.

Yani unaniambia imani yako unayoilazimisha kuwa uhalisia?

Umeweza kuthibitisha Mungu yupo!?
MKUU Wakikupa Jibu nje ya Vitabu vyao na Hizo Illusion za ng'ombe kutaga mayai na kifaranga kuahidiwa kunyonya maziwa kwa mama ake...
Niite niko pale Zaidi watakuambia believe....
Wamesahau kwenye Believe kuna lie....
Hskuna atakayekupa Jibu kaka
 
Kosoa ninacho kiandika. Swali Jua halitembei ?
 
Kama lengo la kuumba watu ni wamuabudu,

Kwanini kaumba na wasiomuabudu?

Kwanini Mungu mwenye upendo wote kaumba ulimwengu huu wenye kuwezekana mabaya!?
Kutokuabudu na kuabudu ni matokeo, kwahiyo ukiona mtu anaabudu huyo amefanya hivyo kwa hiari yake na asiye abudu ni kwa hiari yake.

Ila ukaambiwa lengo la wewe kuumbwa ni kumiabudu yeye, kwahiyo ni hiari yako kuchagua lipi ni lipi, na ukiabudu ukaambiwa utalipwa pepo na usipo abudu utalipwa moto.

Sababu ametaka yote yatokee, kwa ajili ya kuwatahini waja wake, kuwaadhibu ili walifikie lile lengo la wao kuumbwa kwao.
 
Niyakosoe mara ngapi!?

Hayo yamekosolewa na geography na fizikia tangu zamani tu.

Kwahyo milima iliwekwa ili dunia iliyo flat isiyumbe yumbe!?
Sasa hiyo Geography iliyo kosoa iweke hapa, kama hauta kimbia huu uzi.

Vijana shida yenu nyinyi ni mashabiki wa kauli za wajinga fulani.

Leta hizo hoja za Jiografia iliyo kosoa. Kisha nikuulize maswali ya kiuchunguzi ukijibu maswali yangu, naacha kujadiliana katika huu uzi.
 
Dunia imeonyesha wala wema sio wale wenye kufanya wema wakitegemea malipo ya peponi. Wema ni wale hawaamini uwepo wa pepo ya mbinguni ila wanafanya wema. Mtenda wema kwa kuogopa mungu ni mnafiki tu ila mtenda wema kwa kuamini ubinadamu tu ndio mwema.
 
Onyesha uongo wa hiyo kanuni, na ujibu swali la kunipa sababu 3 tu ambazo zina lazimisha chanzo Cha kila kitu lazima kiwe na chanzo ? Huelewi wapi kijana ?
Thibitisha Mungu huyo hana chanzo.
 
Mpumbavu ukimchekecha kichwa anacheka na kicheko chake kiko chakachaka.

Tatzo hapa ni illusion of knowledge

Kwanza hujaweza kuthibitisha Mungu yupo!!

Zamani si ilikuwa usiku na mchana ni kwamba jua linaenda kwa Mungu kusujudu!?

Vitabu vyako vya dini vinajua jua lilipokuwa linaenda usiku?

Si ilikuwa fix za kwamba kuna li Mungu!?

Nkuulize tena, Je unauhakika sayansi haina majibu ya madai yako!?

3) MECHANISM ZA MWILI
Mechanism zote za mwili zinatumia umeme Hadi Leo hii wanasayansi hawajui source ya huo umeme Nini
Unafahamu kuwa elements zilizo ndani ya miili yetu kama sodium, potassium, calcium, na magnesium, zina electrical charge?

4) TETEMEKO LA ARIDHI
Hadi Sasa wanachujua wanasayansi ni kupima ukubwa wa tetemeko yaliyobakia yote wanabahatisha na ndio maana nchi kama Uturuki Wana wanasayansi wengi lakini walishindwa kujua tetemeko litatokea LIni , saa ngapi na Lina ukubwa gani
Lakini wanaweza kuelezea nini kinasababisha tetemeko pasipo kuweka kisingizio kuwa ni Mungu au.. !?
5) SAYARI KUZUNGUKA JUA
Ingia katika website ya NASA Kila siku wanagundua vitu vipya maana yake ni kwamba hawana majibu sahihi kuhusu mfumo wa ulimwengu
Logical non sequitur
Yani kama Kuna mtu amekuambia wanasayansi wanajua Kila kitu kuhusu huu ulimwengu na viumbe wake basi amekudanganya

We endelea tu kukaa na ujinga wako kuwa hakuna Mungu

Mbona hazizuki Sayari nyingine na viumbe vingine vipya kama Kila kitu kimezuka
Hakuna sehemu sayansi imesema inajua kila kitu

Mpumbavu ni yule ambae analazimisha kuwa kuna Mungu na kashindwa kuthibitisha!!

Unaweza kuniambia kwanini ulimwengu unatanuka kabla haujathibitisha kuwa Mungu yupo!?

Umeeleza hapo nlipobold vizuri Sana, na hapo ndiyo ulikuwa kwenye sayansi, sehemu ambapo nmekwambia kuwa radi inaelezeka pasipo haja ya kuweka limungu hapo

Huko ulipoanza kuuliza ni nani anaweka hzo electron unakuwa unaingia kwenye upotofu.

Who told you kuwa hzo electron ziliwekwa na kitu/mtu/jitu.

Ni nini msingi wa kuuliza "nani" kwenye uwepo wa electron na si kuuliza "nini"!!???

Unafahamu kuwa maada yeyote ina sub atomic hzo!!?

Halafu na ulivyo huna unachojua unakuja na madai kuwa wameshindwa kuvuna umeme wa radi,
kama wameshindwa inahusiana vipi na Mungu hapo?

Kumbe usipoelewa kitu unatia limungu hapo!?

Umeweza kuthibitisha uwepo wa Mungu!?
 
Wewe unayesema huyo Allah yupo mthibitishe muonekano wake.

Usilete ngonjera za Quran ambazo ni fictions stories.
 
Kwanini mlazimishe Watu kutoamini uwepo wa Mungu?

Mkikataa ninyi uwepo wa Mungu basi inatosha wala si lazima muaminishe mawazo yenu yakubaliwe na wengine Mleta mada na wanaokubaliana na wewe.
 

Sasa huyo mungu mwenye upendo wote kwetu kwanini asingetuumba kama malaika akatuondolea “option” ya kufanya dhambi? (Kwanini awapendelee malaika na sio sisi?)

Hiyo option ndio imemfanya akaumba na moto wa jehanamu kabisa kwasababu alijua kabisa hawa wajinga lazima watakosea nije niwatie kibiriti

Hebu pata picha ya kijana wa kihundu aliyezaliwa na kulelewa kihindu, anachojua yeye toka utotoni anafundishwa Mungu wao ndio sahihi na anatolewa mifano mibaya kuhusu Allah na Jehova kuwa ni miungu hewa(kama vile kijana wa kitaliban hana option ya kujua dini nyingine)
Kijana huyu anapata scholarship kwenda kusoma USA, ile anatua tu kimbunga katarina kinapita naye anapotea mazima

Huyu Mungu anakwenda kumchoma moto milele wakati ni muathirika wa kijiografia na historia
 
Binadamu kaumbwa kuhangaika mpaka kufa huo ndio mfumo wake yeye sio wwe unavyotaka.😂😂
 
Ndo uthibitishe sasa kama Mungu huyo yupo!

Yaani ili jibu lako liwe valid, lazima uthibitishe Mungu huyo yupo.

Je waweza kuthibitisha hilo nje ya mawazo yako tu na hadithi za uongo za dini!?
Mungu katuumba ndio ukafuatia uzo endelevu ...

Sasa niambie wewe jibu lako?
 
Je hoja hizo ulizoleta zinamaana!?

Sasa kama mtu unafikia kusema kuwa "hata usemaje Mungu yupo tu"
Hii inaonesha kuwa umeishiwa hoja.

Yani unaniambia imani yako unayoilazimisha kuwa uhalisia?

Umeweza kuthibitisha Mungu yupo!?
Wwe haujatoa hoja hata moja zaid ya suggestions..

Mungu yupo ndio katuumba na mjuzi wa yote haoa duniani 😂.

Unavyotaka labda watu wawe sawa hilo haliwezekani pangeanza kuwa na jinsiaoja tu ya kiume au kike, kila kitu kina sababu kaweka utofauti wa jinsia ili watu wazaane ...pia kuna majukumu baina ya jinsia


Kawapa watu akili na uwezo ili hawa wawasaidie wengine katika jamii ...

All in all , binadamu wote ni sawa kwa vile watakufa.
 
Hauna hali nzuri mjomba acha uongo ,wewe ni wakawaida sana na Mungu hajakupa neema kubwa ya kiuchumi ndio maana unapiga kelele.

😂😂Pambana na umaskini hilo ndio fungo lako unayo nafasi ya Mungu ni mengi
 
Kwanini mlazimishe Watu kutoamini uwepo wa Mungu?

Mkikataa ninyi uwepo wa Mungu basi inatosha wala si lazima muaminishe mawazo yenu yakubaliwe na wengine Mleta mada na wanaokubaliana na wewe.

Hakuna mtu amelazimishwa kuamini jambo lolote

Kuna watu imani ya Mungu ikiwa challenged wanaumia kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…