Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Wewe hunaga hoja zaidi ya Ubishi ubishi tu.

Maswali magumu yanayo kushinda unaya undia kanuni za uongo uongo tu zisizo na Logic yeyote.

Nakwambia kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na chanzo hata huyo Allah wenu lazima awe na chanzo.

Wewe una unda kanuni ya uongo, eti ooh! Allah huyo kanuni hiyo amekuwa Excluded.

Kama amekuwa Excluded basi Allah huyo SI KITU na HAYUPO.

Kama Allah huyo ni kitu kilichopo, Na kila kitu kilichopo lazima kiwe na chanzo basi hata huyo Allah wenu lazima awe na chanzo.

Acha ubishi wa kuunda kanuni zisizo na mantiki wala logic.
Onyesha uongo wa hiyo kanuni, na ujibu swali la kunipa sababu 3 tu ambazo zina lazimisha chanzo Cha kila kitu lazima kiwe na chanzo ? Huelewi wapi kijana ?

Sasa anaingiaje hapo na ameshatoka ? Kwani nilisema "Wamekuja wote ila Kisai". Hapa Kisai atakuwa sio au sio Mtu kisa tu yeye hajaja ?

Sasa ndio uonyeshe uongo wa hizo kauli. Halafu wenzenu kina Aristoto walivyo kuwa Wana asisi hizi kanuni zao walijatihidi sana kuijua lugha, tofauti na nyinyi ambao hata mambo ya lugha hamshughuliki nayo.
 
Je hoja hizo ulizoleta zinamaana!?

Sasa kama mtu unafikia kusema kuwa "hata usemaje Mungu yupo tu"
Hii inaonesha kuwa umeishiwa hoja.

Yani unaniambia imani yako unayoilazimisha kuwa uhalisia?

Umeweza kuthibitisha Mungu yupo!?
MKUU Wakikupa Jibu nje ya Vitabu vyao na Hizo Illusion za ng'ombe kutaga mayai na kifaranga kuahidiwa kunyonya maziwa kwa mama ake...
Niite niko pale Zaidi watakuambia believe....
Wamesahau kwenye Believe kuna lie....
Hskuna atakayekupa Jibu kaka
 
Huna maelezo yoyote zaidi ya blah blah na kukwepa msingi wa swali

Jua lina mulika dunia muda wote, ukiona hapa Tz ni usiku wa saa 8 basi ujue huko somewhere bara amerika jua linawaka mchana wa saa 8

Muda unao ona jua linazama hapa Tz ujue kuna sehemu huko ndio linachomoza

Umaamuma wa Mudi kuhusu sayansi ndio ulimfanya aropoke hayo , aliona maajabu sana jua linachomoza mashariki halafu “linatembea” hadi magharibi na kuzama
Akaona awapige kamba eti linaomba ruhusa kwa Allah [emoji23]
Kosoa ninacho kiandika. Swali Jua halitembei ?
 
Kama lengo la kuumba watu ni wamuabudu,

Kwanini kaumba na wasiomuabudu?

Kwanini Mungu mwenye upendo wote kaumba ulimwengu huu wenye kuwezekana mabaya!?
Kutokuabudu na kuabudu ni matokeo, kwahiyo ukiona mtu anaabudu huyo amefanya hivyo kwa hiari yake na asiye abudu ni kwa hiari yake.

Ila ukaambiwa lengo la wewe kuumbwa ni kumiabudu yeye, kwahiyo ni hiari yako kuchagua lipi ni lipi, na ukiabudu ukaambiwa utalipwa pepo na usipo abudu utalipwa moto.

Sababu ametaka yote yatokee, kwa ajili ya kuwatahini waja wake, kuwaadhibu ili walifikie lile lengo la wao kuumbwa kwao.
 
Niyakosoe mara ngapi!?

Hayo yamekosolewa na geography na fizikia tangu zamani tu.

Kwahyo milima iliwekwa ili dunia iliyo flat isiyumbe yumbe!?
Sasa hiyo Geography iliyo kosoa iweke hapa, kama hauta kimbia huu uzi.

Vijana shida yenu nyinyi ni mashabiki wa kauli za wajinga fulani.

Leta hizo hoja za Jiografia iliyo kosoa. Kisha nikuulize maswali ya kiuchunguzi ukijibu maswali yangu, naacha kujadiliana katika huu uzi.
 
Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu

Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea

Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata

Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje

Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake

Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair

Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu

Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk

Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi

Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa

This is the biggest scam ever
Dunia imeonyesha wala wema sio wale wenye kufanya wema wakitegemea malipo ya peponi. Wema ni wale hawaamini uwepo wa pepo ya mbinguni ila wanafanya wema. Mtenda wema kwa kuogopa mungu ni mnafiki tu ila mtenda wema kwa kuamini ubinadamu tu ndio mwema.
 
Onyesha uongo wa hiyo kanuni, na ujibu swali la kunipa sababu 3 tu ambazo zina lazimisha chanzo Cha kila kitu lazima kiwe na chanzo ? Huelewi wapi kijana ?
Thibitisha Mungu huyo hana chanzo.
Sasa anaingiaje hapo na ameshatoka ? Kwani nilisema "Wamekuja wote ila Kisai". Hapa Kisai atakuwa sio au sio Mtu kisa tu yeye hajaja ?

Sasa ndio uonyeshe uongo wa hizo kauli. Halafu wenzenu kina Aristoto walivyo kuwa Wana asisi hizi kanuni zao walijatihidi sana kuijua lugha, tofauti na nyinyi ambao hata mambo ya lugha hamshughuliki nayo.
 
1.Radi
2.Kutokea kwa Usiku na mchana
3.Mechanism za mwili (ikiwemo sperm zinapotoka)
4.Tetemeko la ardhi
5. Sayari kuzunguka jua

We bro unachekesha sana Yani hayo ndio mamba ambayo binadamu ameweza kuyafahamu na kuyaelezea pasipo dhana ya uwezo wangu ? Nani aliyekudanganya? Wewe Wala haujasoma Sayansi hayo mambo uliyoyataja hapo yote wanasayansi wamechemka
Mpumbavu ukimchekecha kichwa anacheka na kicheko chake kiko chakachaka.

Tatzo hapa ni illusion of knowledge

Kwanza hujaweza kuthibitisha Mungu yupo!!

KUTOKEA USIKU NA MCHANA
Usiku na mchana unatokea Kwa sababu Dunia inajizungusha yenyewe

Wanasayansi wanasema Ili kitu kimuvu lazima kuwe na external force
External force inayoifanya Dunia uzunguke ni ipi Hadi Leo wanasayansi hawana majibu na kwanini rotation speed ya Dunia ipo constant pia wanasayansi hawana majibu
Zamani si ilikuwa usiku na mchana ni kwamba jua linaenda kwa Mungu kusujudu!?

Vitabu vyako vya dini vinajua jua lilipokuwa linaenda usiku?

Si ilikuwa fix za kwamba kuna li Mungu!?

Nkuulize tena, Je unauhakika sayansi haina majibu ya madai yako!?

3) MECHANISM ZA MWILI
Mechanism zote za mwili zinatumia umeme Hadi Leo hii wanasayansi hawajui source ya huo umeme Nini
Unafahamu kuwa elements zilizo ndani ya miili yetu kama sodium, potassium, calcium, na magnesium, zina electrical charge?

4) TETEMEKO LA ARIDHI
Hadi Sasa wanachujua wanasayansi ni kupima ukubwa wa tetemeko yaliyobakia yote wanabahatisha na ndio maana nchi kama Uturuki Wana wanasayansi wengi lakini walishindwa kujua tetemeko litatokea LIni , saa ngapi na Lina ukubwa gani
Lakini wanaweza kuelezea nini kinasababisha tetemeko pasipo kuweka kisingizio kuwa ni Mungu au.. !?
5) SAYARI KUZUNGUKA JUA
Ingia katika website ya NASA Kila siku wanagundua vitu vipya maana yake ni kwamba hawana majibu sahihi kuhusu mfumo wa ulimwengu
Logical non sequitur
Yani kama Kuna mtu amekuambia wanasayansi wanajua Kila kitu kuhusu huu ulimwengu na viumbe wake basi amekudanganya

We endelea tu kukaa na ujinga wako kuwa hakuna Mungu

Mbona hazizuki Sayari nyingine na viumbe vingine vipya kama Kila kitu kimezuka
Hakuna sehemu sayansi imesema inajua kila kitu

Mpumbavu ni yule ambae analazimisha kuwa kuna Mungu na kashindwa kuthibitisha!!

Unaweza kuniambia kwanini ulimwengu unatanuka kabla haujathibitisha kuwa Mungu yupo!?

1) RADI
Radi inatokana na mvutano wa electron zenye chaji zinazofana either zote ni +ve au zote ni -ve

Nani aliyetengeneza hizo electron wanasayansi hawana majibu

Nani amezifanya hizo electron zibebe change wanasayansi hawana majibu

Umeme wa radi wanasayansi wameshindwa kuuchukua na kutumia pia Wanashangaa jinsi ulivyo na mamilioni ya voltage

Katika hili Mungu amebaki kuwa Mungu
Umeeleza hapo nlipobold vizuri Sana, na hapo ndiyo ulikuwa kwenye sayansi, sehemu ambapo nmekwambia kuwa radi inaelezeka pasipo haja ya kuweka limungu hapo

Huko ulipoanza kuuliza ni nani anaweka hzo electron unakuwa unaingia kwenye upotofu.

Who told you kuwa hzo electron ziliwekwa na kitu/mtu/jitu.

Ni nini msingi wa kuuliza "nani" kwenye uwepo wa electron na si kuuliza "nini"!!???

Unafahamu kuwa maada yeyote ina sub atomic hzo!!?

Halafu na ulivyo huna unachojua unakuja na madai kuwa wameshindwa kuvuna umeme wa radi,
kama wameshindwa inahusiana vipi na Mungu hapo?

Kumbe usipoelewa kitu unatia limungu hapo!?

Umeweza kuthibitisha uwepo wa Mungu!?
 
Ukishaingiza mambo ya logic nakuona una uwezo mdogo sana wa kufikiri, sababu logic haitoki nje ya akili yako na mawazo ya wale walio asisi logic kama fani.

Hapa tunaongelea uhalisia, onyesha kosa katika nilicho kiandika.

Unaposema lazima kiwe na chanzo lazima uonyeshe ulazima wa kuwa na hicho chanzo. Na uje uthibitishe hapa je "Infinity" ina exist ? Utuonyeshe iko wapi ?

Sasa inakuwaje unaisha na unashindwa kuonyesha udhaifu wa hichi ninacho kiandika, nani mbishi kati yangu na wewe ?
Wewe unayesema huyo Allah yupo mthibitishe muonekano wake.

Usilete ngonjera za Quran ambazo ni fictions stories.
 
Kwanini mlazimishe Watu kutoamini uwepo wa Mungu?

Mkikataa ninyi uwepo wa Mungu basi inatosha wala si lazima muaminishe mawazo yenu yakubaliwe na wengine Mleta mada na wanaokubaliana na wewe.
 
Haya yote unayoyasema na unayoyafikiria na unatamani yawe kama wewe unavyotaka hizo zote ni sifa ambazo binadamu ameumbwa nazo

Yani kama usingekuwa na hivyo vitu akili mwako basi wewe usingekuwa binadamu ungekuwa ni kiumbe mwingine labda Ndege au Mbuzi hiyo inaitwa nafsi/matamanio ni viumbe wawili tu wamepewa binadamu na majini na ndio maana wamewekewa moto na pepo chaguo ni lao wapi wanataka waende

Malaika hawana nafsi/ matamanio na ndio maana wao wanaishi peponi na wataishi huko milele

Malaika anafanya Yale tu aliyoamlishwa na Mungu afanye asiyoamlishwa na Mungu hafanyi

Ila binadamu amepewa option

Kumbukumbu la Torati 11:26
Angalieni, nawawekea mbele yenu hivi leo baraka na laana;

Kumbukumbu la Torati 11:27
baraka ni hapo mtakapoyasikiza maagizo ya Bwana, Mungu wenu, niwaagizayo leo;

Kumbukumbu la Torati 11:28
na laana ni hapo msiposikiza maagizo ya Bwana, Mungu wenu, mkikengeuka katika njia niwaagizayo leo, kwa kuandama miungu mingine msiyoijua.

Sasa huyo mungu mwenye upendo wote kwetu kwanini asingetuumba kama malaika akatuondolea “option” ya kufanya dhambi? (Kwanini awapendelee malaika na sio sisi?)

Hiyo option ndio imemfanya akaumba na moto wa jehanamu kabisa kwasababu alijua kabisa hawa wajinga lazima watakosea nije niwatie kibiriti

Hebu pata picha ya kijana wa kihundu aliyezaliwa na kulelewa kihindu, anachojua yeye toka utotoni anafundishwa Mungu wao ndio sahihi na anatolewa mifano mibaya kuhusu Allah na Jehova kuwa ni miungu hewa(kama vile kijana wa kitaliban hana option ya kujua dini nyingine)
Kijana huyu anapata scholarship kwenda kusoma USA, ile anatua tu kimbunga katarina kinapita naye anapotea mazima

Huyu Mungu anakwenda kumchoma moto milele wakati ni muathirika wa kijiografia na historia
 
Mungu muweza wa yote na kama ana upendo kweli, Alishindwaje kuumba Dunia isiyo na hayo majanga?


Basi Mungu huyo ni mkatili sana.

Hao walio kufa je walikuwa hawana haki ya kuishi?.

Halafu wengi wao ni watoto wadogo na vichanga visivyokuwa na hatia yeyote.

Mungu huyo anayedai ni mwema Hana hata huruma kwa watoto wachanga wanao kufa na mafuriko ambayo angeweza kuyazuia?

Mungu huyo, Hakujua kwamba hakuna binadamu anaye penda majanga hayo yatokee, Aumbe dunia isiyo na hayo majanga?

Kwani kuna anaye penda kuwa kilema au mlemavu?
Watoto wachanga wanao zaliwa na matatizo kama unjiti, vichwa vikubwa,uchizi na utahira na kasoro nyingine nyingi za kimwili na kiakili, je wanapenda kuzaliwa hivyo?

Mungu huyo haoni, kwamba watoto hawa wachanga wanapaswa kuzaliwa wakiwa wazima wa afya kimwili na kiakili?

Hapa ni uthibitisho tosha kwamba Mungu huyo ni mkatili sana na Hana upendo wowote ule.

Je waliokwisha kufa, Mungu huyo Hakujua kwamba watu hao wanahitaji uhai?

Uovu wa Mungu ni countless.
Binadamu kaumbwa kuhangaika mpaka kufa huo ndio mfumo wake yeye sio wwe unavyotaka.😂😂
 
Ndo uthibitishe sasa kama Mungu huyo yupo!

Yaani ili jibu lako liwe valid, lazima uthibitishe Mungu huyo yupo.

Je waweza kuthibitisha hilo nje ya mawazo yako tu na hadithi za uongo za dini!?
Mungu katuumba ndio ukafuatia uzo endelevu ...

Sasa niambie wewe jibu lako?
 
Je hoja hizo ulizoleta zinamaana!?

Sasa kama mtu unafikia kusema kuwa "hata usemaje Mungu yupo tu"
Hii inaonesha kuwa umeishiwa hoja.

Yani unaniambia imani yako unayoilazimisha kuwa uhalisia?

Umeweza kuthibitisha Mungu yupo!?
Wwe haujatoa hoja hata moja zaid ya suggestions..

Mungu yupo ndio katuumba na mjuzi wa yote haoa duniani 😂.

Unavyotaka labda watu wawe sawa hilo haliwezekani pangeanza kuwa na jinsiaoja tu ya kiume au kike, kila kitu kina sababu kaweka utofauti wa jinsia ili watu wazaane ...pia kuna majukumu baina ya jinsia


Kawapa watu akili na uwezo ili hawa wawasaidie wengine katika jamii ...

All in all , binadamu wote ni sawa kwa vile watakufa.
 
Mi sio maskini hali yangu ya kiuchumi ni nzuri tu na sio eti kwasababu mungu alitaka ni kwasababu nilisoma, nikapata kazi na nafanya kazi yangu kwa weledi na pengine nina pesa kuliko diamond sema diamond ndiyo tajiri uliyemkariri.

Vipi waliotajirika Kwa kudhulumu na kuibia watu, kuuza madawa nao mungu aliwapangia watajirike hivyo?

Mzazi haombi msamaha Kwa maana hakosei? Kuna wengine wamelelewa kizungu bwana. Pole Kwa kulelewa na gaidi unaloita mzazi [emoji23][emoji23]

Sema hivi mfumo wa dunia ndo ulivyo kuna majanga, lazima ufanye kazi upate kipato. Hiyo ya kusema dunia "ya mungu" unaichomeka ya nini?

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Hauna hali nzuri mjomba acha uongo ,wewe ni wakawaida sana na Mungu hajakupa neema kubwa ya kiuchumi ndio maana unapiga kelele.

😂😂Pambana na umaskini hilo ndio fungo lako unayo nafasi ya Mungu ni mengi
 
Kwanini mlazimishe Watu kutoamini uwepo wa Mungu?

Mkikataa ninyi uwepo wa Mungu basi inatosha wala si lazima muaminishe mawazo yenu yakubaliwe na wengine Mleta mada na wanaokubaliana na wewe.

Hakuna mtu amelazimishwa kuamini jambo lolote

Kuna watu imani ya Mungu ikiwa challenged wanaumia kweli
 
Back
Top Bottom