SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
🤣Si DNA mbwa wewe, au binadamu nae ana metamorphosis...mbona unauliza maswali ya kitoto sana...Kuna binadamu anabadilika kuwa species nyingine...🤣Aaaah kweli ukiwa mdini inabidi uvute kidogoNi nini kinachokuthibitishia kwamba ulimwengu upo tu hauna Mwanzo Wala mwisho?
Kwa ivo hofu yako ni kushindwa kuelezea mwanzo wa chanzo??
Jee Kwa mnatiki yako hii unaweza kumuelezeaje Popo?
Kitu gani kinachokuaminisha kwamba kesho ikifika huwezi kuwa Ng'ombe? Fikra kwamba ukiwa binadamu utabakia binadamu daima umeitoa wapi?
Poa poa....🤣Kwa kheri.Kwani hayo uliyoyaorodhesha ni mambo mabaya!!??
Hakuna shida kuua, kumfanya mtu mtumwa, kuwa na Vita au kunyanyasa wengine
🤣🤣🤣Yaani maswali mengine asa apo unataka ujibiwe Nini...Aya kwa Nini mchwa wanaongezeka... 🤣Mshaanza kuwa watotoKimantiki Kwa fikra zako unataka kusema ulimwengu una umri Gani?
Wewe unaweza kusema tu ya umri wako.jee kabla yako hakukuwa na watu ambao wanaweza kuchukuliwa kama rejea Kwa mambo yaliyotokea katika zama zao?
Jee idadi ya watu ulimwenguni miaka 3,000 iliyopita ilikuwa sawa na Sasa na nini kinafanya watu waongezeke na dunia kuonekana kuchakaa Kwa kadri miaka inavyopita?
Huoni Kama umeharibumtoto mdogo wa kiislam alikufa Muhammad alienda kwenye msiba , Aisha alamwambia Muhammad huyu mtoto mchanga ataenda mbinguni maana ni muislamu na hajawahi kufanya dhambi , Muhammad akamwambia inaweza kuwa tofauti na akaenda motoni kwani Allah anapanga wa motoni na WA peponi kabla hawajazaliwa
- A'isha, said Allah's Messenger, there is happiness for this child who is a bird from the birds of Paradise for it committed no sin nor has he reached the age when one can commit sin. He said: 'A'isha, it may be otherwise, because Allah created for Paradise those who are fit for it while they were yet in their father's loins and created for Hell those who are to go to Hell. He created them for Hell while they were yet in their father's loins. Sahih Muslim 2662c
So ma mia wanapigwa Risasi kila siku Mungu hawapendi😂😂Unaweza kumlenga mpqkq akakimbiq na usimpate... Angalia bastola na nafasi wapo karibu sio labda kumpiga mpaka akafa ni kiasi cha kumpata haijampata yaani hata kutoka risasa.
Nina hakika hiyo risasi ingetoka asingekuwa mzima tena kama alivyopigwa AKA kule south Africa.
🤣Haya maswali ya kitoto mtakuja kupigwaNamba saba haionekani haishikiki na haishikiki, je namba saba haipo?
🤣Hata brahma kasema ameumba mbingu ardhi na kila mtu...hata Zeus pia...so lazma mmoja awe mkweli au wote wawe wanadanganyaInasibitisha uwepo wake sababu amekuumba wewe, wazazi na wengine wote kadhalika.
Naam, Ardhi imeumbwa na yeye Allah.
Sasa kama humjui mbona unasema hayupo ? Kijana una matatizo ya akili.
Mtu akishiba sawasawa ,anajiona mjuaji wakati hiyo simu anayotumia wenzake wametengeneza kwa kuomba MUNGU muumbaji nawanatoa sadakaDunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu
Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea
Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata
Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje
Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake
Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair
Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu
Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk
Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi
Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa
This is the biggest scam ever
Mm nakuongezea ww ni mwendawazimuInafikirisha kiukweli tulipigwa na kitu kizito na hawa matapeli,ma ndio bas tena ,ukiongea hivyo utaambiwa we ni kafiri wa motoni
🤣🤣🤣Watu washakuchoka wewe...Kama unatetea ujinga eti jua linaenda kuomba ruhsa kwa Allah usiku ili lichomoze... unategemea nani atakaa kubishana na wewe...we pekee ndo unabaki kutetea dini yako ya mchongo... wenzako wanatetea uumbaji something outside religion we bado unakomaa na pedophile mudiJifunzeni kujenga hoja na kukosoa hoja. Unaposema zimekosea unatakiwa uweke lilo sahihi kwa ithibati na ujibu maswali utakayo ulizwa, unaposema hivi mara vile unakuwa unapoteza muda tu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wenzetu hawatengenezi Simu tu wanatengeneza na rocket wameenda mpaka mwezini mpaka Pluto huyo Mungu wa mawinguni hawajamwona...hio sehemu Yesu alipaa na kufika au Muhammad alienda na farasi anaepaa hawakuiona afu useme wanasali ndo wanatengeneza Simu ..bac bongo tuchukue manabii wote Hawa wasali viwanda vya magari Simu etc vitokee mnadhani maisha marahisi hivyoMtu akishiba sawasawa ,anajiona mjuaji wakati hiyo simu anayotumia wenzake wametengeneza kwa kuomba MUNGU muumbaji nawanatoa sadaka
Tofautisha Muhammad aliyejua jua linazunguka dunia afu nyota ni mapambo na silaha za kupiga mashetani wasikaribie the throne of allah na wanasayansi waliothibitisha jua ni nyota. Wewe na elimu yako ya 690 AD huwezi elewa ukiambiwa nyota zile zipo mbali sana ndo maana zinaonekana vile na kuwa jua ni dogo compared to hizo nyotaNani alikwambia Jua ni nyota ? Ndio huwa mnasema Jua ni "Nyota kubwa" sio ?
Vitafungwa ...🤣viongozi wanategemea dini kuliko kitu chochote nchini, we mwenyewe si unaona saa hiviWajuvi mkimaliza tafiti muandike vitabu watu wanifaike.
Dini ni utapeli tu.Hata mm nimewahi kufikiria sana hiki kitu, sababu mzungu alileta ukridto na mwarabu akaleta uisilamu nani alikuwa na dini sahihi? Na wakaweza kuharibu kabisa utamaduni wa mwafrika na ibada zake zilizokuwa na mafanikio kabla ya wao kija. Zote zilikuwa ni mbinu za kuja kitawala africa tu hakuna kingine.
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana.Wajuvi mkimaliza tafiti muandike vitabu watu wanifaike.
Wewe unaye mtumikia Mungu na kutoa sadaka, Umegundua nini kwenye hii dunia?Mtu akishiba sawasawa ,anajiona mjuaji wakati hiyo simu anayotumia wenzake wametengeneza kwa kuomba MUNGU muumbaji nawanatoa sadaka
Ngoja nifanye refrence ya hio hadithi kuihakiki isije ikawa imechakachuliwa
Huoni Kama umeharibu
Jifunze kujibu hoja.🤣🤣🤣Yaani maswali mengine asa apo unataka ujibiwe Nini...Aya kwa Nini mchwa wanaongezeka... 🤣Mshaanza kuwa watoto
Mungu hakupanga jamaa apigwe bastola.So point yako ni bunduki hazigomi au?