Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Ni nini kinachokuthibitishia kwamba ulimwengu upo tu hauna Mwanzo Wala mwisho?

Kwa ivo hofu yako ni kushindwa kuelezea mwanzo wa chanzo??

Jee Kwa mnatiki yako hii unaweza kumuelezeaje Popo?

Kitu gani kinachokuaminisha kwamba kesho ikifika huwezi kuwa Ng'ombe? Fikra kwamba ukiwa binadamu utabakia binadamu daima umeitoa wapi?
🤣Si DNA mbwa wewe, au binadamu nae ana metamorphosis...mbona unauliza maswali ya kitoto sana...Kuna binadamu anabadilika kuwa species nyingine...🤣Aaaah kweli ukiwa mdini inabidi uvute kidogo
 
Kimantiki Kwa fikra zako unataka kusema ulimwengu una umri Gani?

Wewe unaweza kusema tu ya umri wako.jee kabla yako hakukuwa na watu ambao wanaweza kuchukuliwa kama rejea Kwa mambo yaliyotokea katika zama zao?



Jee idadi ya watu ulimwenguni miaka 3,000 iliyopita ilikuwa sawa na Sasa na nini kinafanya watu waongezeke na dunia kuonekana kuchakaa Kwa kadri miaka inavyopita?
🤣🤣🤣Yaani maswali mengine asa apo unataka ujibiwe Nini...Aya kwa Nini mchwa wanaongezeka... 🤣Mshaanza kuwa watoto
 
mtoto mdogo wa kiislam alikufa Muhammad alienda kwenye msiba , Aisha alamwambia Muhammad huyu mtoto mchanga ataenda mbinguni maana ni muislamu na hajawahi kufanya dhambi , Muhammad akamwambia inaweza kuwa tofauti na akaenda motoni kwani Allah anapanga wa motoni na WA peponi kabla hawajazaliwa
  • A'isha, said Allah's Messenger, there is happiness for this child who is a bird from the birds of Paradise for it committed no sin nor has he reached the age when one can commit sin. He said: 'A'isha, it may be otherwise, because Allah created for Paradise those who are fit for it while they were yet in their father's loins and created for Hell those who are to go to Hell. He created them for Hell while they were yet in their father's loins. Sahih Muslim 2662c
Huoni Kama umeharibu
 
😂😂Unaweza kumlenga mpqkq akakimbiq na usimpate... Angalia bastola na nafasi wapo karibu sio labda kumpiga mpaka akafa ni kiasi cha kumpata haijampata yaani hata kutoka risasa.

Nina hakika hiyo risasi ingetoka asingekuwa mzima tena kama alivyopigwa AKA kule south Africa.
So ma mia wanapigwa Risasi kila siku Mungu hawapendi
 
Inasibitisha uwepo wake sababu amekuumba wewe, wazazi na wengine wote kadhalika.

Naam, Ardhi imeumbwa na yeye Allah.

Sasa kama humjui mbona unasema hayupo ? Kijana una matatizo ya akili.
🤣Hata brahma kasema ameumba mbingu ardhi na kila mtu...hata Zeus pia...so lazma mmoja awe mkweli au wote wawe wanadanganya
 
Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu

Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea

Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata

Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje

Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake

Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair

Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu

Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk

Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi

Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa

This is the biggest scam ever
Mtu akishiba sawasawa ,anajiona mjuaji wakati hiyo simu anayotumia wenzake wametengeneza kwa kuomba MUNGU muumbaji nawanatoa sadaka
 
Jifunzeni kujenga hoja na kukosoa hoja. Unaposema zimekosea unatakiwa uweke lilo sahihi kwa ithibati na ujibu maswali utakayo ulizwa, unaposema hivi mara vile unakuwa unapoteza muda tu.
🤣🤣🤣Watu washakuchoka wewe...Kama unatetea ujinga eti jua linaenda kuomba ruhsa kwa Allah usiku ili lichomoze... unategemea nani atakaa kubishana na wewe...we pekee ndo unabaki kutetea dini yako ya mchongo... wenzako wanatetea uumbaji something outside religion we bado unakomaa na pedophile mudi
 
Mtu akishiba sawasawa ,anajiona mjuaji wakati hiyo simu anayotumia wenzake wametengeneza kwa kuomba MUNGU muumbaji nawanatoa sadaka
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wenzetu hawatengenezi Simu tu wanatengeneza na rocket wameenda mpaka mwezini mpaka Pluto huyo Mungu wa mawinguni hawajamwona...hio sehemu Yesu alipaa na kufika au Muhammad alienda na farasi anaepaa hawakuiona afu useme wanasali ndo wanatengeneza Simu ..bac bongo tuchukue manabii wote Hawa wasali viwanda vya magari Simu etc vitokee mnadhani maisha marahisi hivyo
 
Nani alikwambia Jua ni nyota ? Ndio huwa mnasema Jua ni "Nyota kubwa" sio ?
Tofautisha Muhammad aliyejua jua linazunguka dunia afu nyota ni mapambo na silaha za kupiga mashetani wasikaribie the throne of allah na wanasayansi waliothibitisha jua ni nyota. Wewe na elimu yako ya 690 AD huwezi elewa ukiambiwa nyota zile zipo mbali sana ndo maana zinaonekana vile na kuwa jua ni dogo compared to hizo nyota
 
Hata mm nimewahi kufikiria sana hiki kitu, sababu mzungu alileta ukridto na mwarabu akaleta uisilamu nani alikuwa na dini sahihi? Na wakaweza kuharibu kabisa utamaduni wa mwafrika na ibada zake zilizokuwa na mafanikio kabla ya wao kija. Zote zilikuwa ni mbinu za kuja kitawala africa tu hakuna kingine.
Dini ni utapeli tu.

Rais wa Kenya jomo Kenyatta alisema kwamba 👇

"When the Missionaries came to Africa, They had a Bible we had the Land. They said let us pray we closed our eyes when we opened them, They had the land we had the Bible"
 
Mtu akishiba sawasawa ,anajiona mjuaji wakati hiyo simu anayotumia wenzake wametengeneza kwa kuomba MUNGU muumbaji nawanatoa sadaka
Wewe unaye mtumikia Mungu na kutoa sadaka, Umegundua nini kwenye hii dunia?

Simu haitengenezwi kwa kuomba Mungu, Simu ime tengenezwa na watu walio fanya utafiti na kuumiza vichwa vyao kurahisisha mawasiliano.

Ume unda dhana mbili zisizo na uhusiano wowote, kupata jibu potofu.

Logical non sequitur.
 
Ngoja nifanye refrence ya hio hadithi kuihakiki isije ikawa imechakachuliwa
  • Kuna kisa Al Khidr alimuua Mtoto wa kiume , Muhammad kaelezea wazi huyu mtoto alipangiwa na Allah atakuwa Kafir, allah alimpangia atakuwa Kafir na akapanga auliwe kwa sababu kampangia hivyo, na dogo akachinjwa kikatili
    • Koran 18:80. Na ama yule kijana, wazazi wake walikuwa ni Waumini. Tukakhofu asije watia mashakani kwa uasi na ukafiri.
      • Prophet (ﷺ) said: "The boy that Al-Khidr killed was destined to be a disbeliever the day he was created.'" Jami` at-Tirmidhi 3150
 
Huoni Kama umeharibu
  • Kuna kisa Al Khidr alimuua Mtoto wa kiume , Muhammad kaelezea wazi huyu mtoto alipangiwa na Allah atakuwa Kafir, allah alimpangia atakuwa Kafir na akapanga auliwe kwa sababu kampangia hivyo, na dogo akachinjwa kikatili
    • Koran 18:80. Na ama yule kijana, wazazi wake walikuwa ni Waumini. Tukakhofu asije watia mashakani kwa uasi na ukafiri.
      • Prophet (ﷺ) said: "The boy that Al-Khidr killed was destined to be a disbeliever the day he was created.'" Jami` at-Tirmidhi 3150
 
🤣🤣🤣Yaani maswali mengine asa apo unataka ujibiwe Nini...Aya kwa Nini mchwa wanaongezeka... 🤣Mshaanza kuwa watoto
Jifunze kujibu hoja.

Jee hakuna sababu maalum ya watu kuongezeka?

Mnasema Kila kitu Lazima kiwe na chanzo, au siyo?

Kwa miaka Mingi wapinga Mungu walikuwa wanajadili kati ya Yai na kuku kipi kimetangulia?

Mwisho Wa siku wamekuja kusema kuwa Yai ndio limetangulia. Wakiulizwa Yai nalo limetoka wapi Wanasema eti lilikuwepo tu!!!

Hivi siyo utoto kudhani kuwa dunia ipo tu haina Mwanzo Wala mwisho??

Hofu ni kusema kama Ina Mwanzo basi Lazima isemwe ilianzaje, na ukisema ilianzaje itabidi ukiri yupo aliyeanzisha na kama Ina mwisho mwisho wake utakuwaje.

Nadharia nyingi mnazotumia kupinga kwamba Kuna Mungu ni za kukariri toka watu wengine na ndiyo maana mkiulizwa maswali rahisi mnasema ni maswali ya kitoto.
 
Back
Top Bottom