Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Hahaha nacheka sana, inaonyesha hauko makini, hujaona kama hapo nimesema nyinyi huwa mnasema ni "Big Star" ?

Unaweza kuthibitisha ya kuwa Jua lipo karibu ndio maana tunaliona kubwa ? Ili upime umbali wa kitu, unatakiwa uwe na nini na nini ?

Nani alipima nusu kipenyo cha jua, nataka uthibitishe ya kuwa Jua Lina nusu kipenyo Cha 696,000km.

Hizi namba nataka uthibitishe ukweli, usilete hizi stori za Wanasayansi.

Ukija nataka uje na tihibati sio hizi stori mara nyota ya Hadar ina nusu kipenyo cha 5.983milion kilometers.

Njoo utuambie nani alipima nusu kipenyo Cha Jua na ilikuwa lini na alikipimaje, bila kuweka "Assumptions" zozote katika huo upimaji, ukiweka "Assumptions" zozote katika hivyo vipimo, ujue wewe huna akili na unafikiria mambo kitoto sana.

Nasubiri uthibitisho wa ukweli wa hivyo vipimo.
 
Uko mentally confused na Quran.

Wala huna hoja nje hapo.

Kujenga hoja na wewe ni sawa na kupaka hewa rangi.
 
Logical non sequitur

Wapi nmesema kifo ni adhabu?
Kwani nimekuambia umesema kifo ni adhabu?

Ishu ni kwamba kifo sio adhabu ila ni wajibu kila binadamu afe so hakuna mateso wlaa adhabu kila mtu atakufa .
 
Sasa hapo unajibu madude gani

Huwezi kujibu maswali kulingana na yalivyoulizwa!?

Your communication skills is below average
You just a weak at reasoning, you are not wllling to learn than develop your own point of view🤣🤣 that's is out of target.


Sama hujui ila hutaki kujua, weww ulitaka jibu la namna gani labda useme.


Kama kuna mtu anafuatilia anjua kabisa wew hata uelewa ni mdogo sijui unasomaje kwa vile unajibiwa unaliza tena ...🤣🤣🤣kama sio jibu sema jibu linatikiwa kuwa hivi ...
 
Uko mentally confused na Quran.

Wala huna hoja nje hapo.

Kujenga hoja na wewe ni sawa na kupaka hewa rangi.
Hivi ndivyo nilivyo mimi.

Nachojua mimi kuhusu nyinyi ni kuwa mnajadili mambo msiyo kuwa na elimu nayo.
 
Mnyiramba wakwanza wa hovyo sana.
Hujui kitu na huna akili hata moja

Huamini kuhusu Mungu ila unaamini uchawi bogus wewe
Badala ya kujibu hoja unakuja unakuja kutukana.

Wewe ndiyo wale ambae akili zenu zishakuwa programmed.

Mjibu mwenzio kwa hoja siyo kutukana.


Mijitu inayojifanyaga inamjua sana Mungu sijui hata akili zao huwa zinapotelea wapi.

Badala umjibu mtu kwa hoja labda na yeye anaweza kuujua ukweli kupitia wewe na akaamini, badala yake mnakimbilia kuwatukana wenye kuuliza kuwa hawana akili.

Mimi naamini Mungu yupo lakini sina akili ya kizuzu kama wewe, badala ya kumjibi mwenzako hoja zake wewe unaishia kutukana.

Shame on you [emoji856]
 
Kinachosikitisha zaidi

Hao Waliotuletea hizi dini ndo hao hao

1.walowatesa Babu zetu kwa vipigo Kisha kuwauza utumwani Kama bidhaa[emoji26]

2. wanaosema sisi waafrika chimbuko letu Ni nyani
Sorry broo but unadanganya umma.
Maneno yako kwamba "Hao Waliotuletea hizi dini" ni uongo, ukristo ulikuwepo africa kabla hata ya ukoloni.
Ethiopian Bible is the older than the king James version, nearly Kama 800 years older than King James version na wakoloni walipofika africa walikuta kuna watu wanamjua yesu na wanazijua amri za mungu.
Kuna facts nyingi tuu but I think hata nikizitaja zote hapa bado hutoniamini.
Utajiuliza swali sasa "Nani alikuwa anahubiri africa kuhusu ukristo kabla ya wakoloni?" Kama ww ni mkristo soma biblia vizur, Kama ni muislamu sijui nisemaje sasa maana hata nikisema uende kusoma biblia wote tunajua hutoenda kusoma😅
Wakoloni hawakutuletea dini africa ila walisaidia kuisambaza zaidi maeneo ambako injili haikufika.
 
Kwani nimekuambia umesema kifo ni adhabu?

Ishu ni kwamba kifo sio adhabu ila ni wajibu kila binadamu afe so hakuna mateso wlaa adhabu kila mtu atakufa .
Kwa maelezo nliyokupa na ulivyoanza kujibu, no dhahiri shahiri ulikuwa ukimaanisha kwamba nmesema kifo ni adhabu.

Nlikuwa naongelea ghadhabu ya Mungu wako hadi akaua watu kwenye gharika.
Je kitendo hicho kinadefine upendo wote!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…