Hahaha nacheka sana, inaonyesha hauko makini, hujaona kama hapo nimesema nyinyi huwa mnasema ni "Big Star" ?Nlijua tu kuwa haujui kuwa jua ni nyota.
Hata kitabu cha dini yako hakitambui hilo.
Jua ni moja wapo ya nyota,
Usiseme Jua ni nyota kubwa kuliko zote.
Unaiona kubwa kwasababu iko karibu tu.
Hilo jua lina Radius ya 696,000 kilometers.
Wakati nyota kama Hadar(Beta centauri) ina Radius ya 5.983 million kilometers.
Ni kwamba unadhani ni ndogo kwasababu iko mbali tu (Hadar iko umbali wa miaka ya mwanga 392.02. Kutoka duniani)
Umepata pata kitu sasa Kisai ?
Uko mentally confused na Quran.Sawa Sina hoja ili uonekane uko sahihi kosoa Nina chokiandika.
Subiri Sasa nizaliwa Mkristo ndio uje kuuliza swali au kujenga swali hilo. Hatuishi kwa kubahatisha kijana. Hizi njia ndio zimewafanya muwe wajinga na wavivu wa kufikiria.
Sasa kosoa ninacho kiandika, usiseme tu Qur'an. Kijana unasema Mimi Sina hoja ila wewe unalalama mwanzo mwisho.
Kijana Qur'an yenyewe ni uhalisia unataka nifikirie vipi ? Unataka nikosee katika kufikiri nini ?
Qur'an si kitabu kama vitabu vingine, utakuwa huijui Qur'an unaisikia tu ndio maana unaandika. Katika miujiza aliyo kuja nayo Mtume Muhammad ni hii Qur'an.
Popote pale yupo ..Popote pale wapi?
Kwani nimekuambia umesema kifo ni adhabu?Logical non sequitur
Wapi nmesema kifo ni adhabu?
You just a weak at reasoning, you are not wllling to learn than develop your own point of view🤣🤣 that's is out of target.Sasa hapo unajibu madude gani
Huwezi kujibu maswali kulingana na yalivyoulizwa!?
Your communication skills is below average
nimeshajibiwa huko juu...Uliza mkuu
Hivi ndivyo nilivyo mimi.Uko mentally confused na Quran.
Wala huna hoja nje hapo.
Kujenga hoja na wewe ni sawa na kupaka hewa rangi.
Badala ya kujibu hoja unakuja unakuja kutukana.Mnyiramba wakwanza wa hovyo sana.
Hujui kitu na huna akili hata moja
Huamini kuhusu Mungu ila unaamini uchawi bogus wewe
Wewe tofauti na Quran huna unachojua.Hivi ndivyo nilivyo mimi.
Nachojua mimi kuhusu nyinyi ni kuwa mnajadili mambo msiyo kuwa na elimu nayo.
"Popote pale yupo" wapi?Popote pale yupo ..
Sorry broo but unadanganya umma.Kinachosikitisha zaidi
Hao Waliotuletea hizi dini ndo hao hao
1.walowatesa Babu zetu kwa vipigo Kisha kuwauza utumwani Kama bidhaa[emoji26]
2. wanaosema sisi waafrika chimbuko letu Ni nyani
Jibu hoja za mwenzio ili umkomboe huko anakoona ni uwongo umlete kwenye ukweli, siyo kumjibu vitu visivyoelewekaWatu wakishashiba nyama ya punda (munsuli wa nini sijajua) huwa wanawaza kama wavuta bangi tu.Wanajidai wana hisia kali.Merde![emoji848]
Hata uende Mars yupo kikubwa duniani popte pale yupo..."Popote pale yupo" wapi?
Hata uende Mars yupo kikubwa duniani popte pale yupo..
Yupo kataa sasa🤣🤣Illusion
Hayupo, thibitisha sasa.Yupo kataa sasa🤣🤣
Nikuambie mara ngapi? 🤣Hayupo, thibitisha sasa.
Kwa maelezo nliyokupa na ulivyoanza kujibu, no dhahiri shahiri ulikuwa ukimaanisha kwamba nmesema kifo ni adhabu.Kwani nimekuambia umesema kifo ni adhabu?
Ishu ni kwamba kifo sio adhabu ila ni wajibu kila binadamu afe so hakuna mateso wlaa adhabu kila mtu atakufa .
Mungu huyo ni illusion kwako.Nikuambie mara ngapi? 🤣