Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Basi Mungu huyo ni sawa na kujitekenya na kujicheka mwenyewe.Anajua akili zake ndio maana anampa mitihani kwa vile kampa akili[emoji1787].Hilo ndio jibu .!!
Sasa nijibu mara ngapi na hakuna hata swali langu moja umejibu...
Swali nalijibu unarudia