Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Mbona kila kitu kipo wazi, tuliza akili tu

God is eternal and not bound by time or space. Hivyo basi, the concept of "where was God" "before" creation, in the sense of a linear timeline, doesn't not apply to God.

wewe unaamini Ili kitu kiweze kuwepo inahitaji space& time na ndiyo maana unakua obsessed na hilo swali la "Wapi" kwa Mungu haipo hivyo.
Safi sana mkuu.
Kifupi bible inaposema, "Hapo mwanzo, mungu aliumba mbingu na nchi" inachomaanisha ni kwamba
Hapo mwanzo=Time, God created time
Mbingu= Space, God created space(the thing that holds/occupies all the matter in the universe)
Nchi= Matter, God created matter(stars, planets, comets etc)
These are the basic things our universe is made up from.
So if "God" created these things he is not bound by them, its very simple to understand, if he is God he has to be boundless.
He does not follow our timeline, he is not bound to our timeline.
He is not bound to our space, he can go in and out of our space.
Things like space and time mean nothing to him.

Nitoe mfano mmoja, sisi binadamu tumetengeneza computer, computer ina uzito(matter) na inachukua nafasi(occupies Space) na ina mwanzo wake(tulipoitengeneza ndo mwanzo wake(time)), sasa niulize swali, sisi binadamu kama mungu wa computer......
Je tuko ndani ya hio computer??
Je sisi binadamu lazima tuwe ndani ya hio computer ili ifanye kazi??
Je sisi binadamu tunaweza kutafsiriwa na hio computer tulio itengeneza(computer inaweza kweli ikachambua ubinadamu wetu wakati tulikuwepo kabla yake na sisi ndio tuliofanya iwe kitu)??
 
Kama hakuna anaye fahamu Mungu alitengenezewa na nani,

Aliyesema Mungu yupo alifahamu vipi Mungu huyo yupo?

Alifanya utafiti gani na uchunguzi upi, Akafahamu Mungu yupo?

Kama Mungu aliweza kufahamika yupo, Inashindikana nini kujua yeye alitengenezewa na nani?

Kama mmeweza kujua Mungu huyo yupo, Mnashindwa vipi kujua alitengenezewa na nani?

Una uthibitisho wa kwamba tuliumbwa?

Kuna ulazima gani wa sisi kuwa tumeumbwa?

Kama ni lazima kwamba sisi tuwe tume umbwa, Mungu huyo na yeye aliumbwa na nani?

Kama Mungu haku umbwa, unashindwaje kuamini dunia Haiku umbwa?

Kama hujui Mungu alitengenezwa na nani, ume juaje yupo?

Ila mnashindwa kumthibitisha yupo.
Akili yako ipo limited kujua mambo, Hautokaa ujue mpaka unatoweka kwenye uso huu wa dunia usipoifungua.

Labda nkuulize kwa ufahamu wako, Binadamu wa kwanza ilitokeaje akawa ni binadamu ?
 
Akili yako ipo limited kujua mambo, Hautokaa ujue mpaka unatoweka kwenye uso huu wa dunia usipoifungua.

Labda nkuulize kwa ufahamu wako, Binadamu wa kwanza ilitokeaje akawa ni binadamu ?
Kwa nini unadhani binadamu alitokea?

Binadamu yupo tu, Hajatokea.

Ukianza kuweka ulazima wa kila kitu kilichopo lazima kiwe na chanzo, Basi Hata Mungu lazima ueleze aliko tokea.

Unavyo weza kuamini Mungu usiyemjua Hana chanzo Basi hata binadamu hana chanzo.
 
Imani ni kitu cha ajabu sana kaka, believing in God and to be a believer is to be naive, you believe in something that you didn't see and you can't see but you just believe it's there regardless, that's what it means to be a believer, to be naive.
Mkuu, Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika.

Na ukweli Hauendani na imani, ukweli una endana na kujua, uwepo wa proofs, evidences, Logic na facts.

Mtu akisema ana "imani" ,Maana yake ni kwamba hana uhakika wa kitu hicho kwamba ni kweli kipo au hakipo

Ana bahatisha tu.
 
Unathibitishaje kwamba God is not bound by time or space?
Siwezi kukuthibitishia kwa kukufanya uone, usikie lakini unaweza ku feel kwa kwa kutumia akili yako na Ina make sense.
Tuanze na suala la kutokua limited by space., Ipo hivi najua unafahamu kwamba Mchoraji hahitaji mchoro wake Ili aweze ku exist., So Let's assume the whole universe ime vanish hiyo inamaanisha hakuna space tena as per our knowledge, Lakini Hiyo haimaanishi kwamba Muumbaji atakua hayupo eti kisa Space haipo tena,
So, Just as an artist exists independently of the canvas they paint on, God exists independently of the space that makes up the universe.

Tuje upande wa kutokua limited by time,.. Just as an author's thoughts persist even when they pause from writing. Even if time were to stop, God would remain unaffected and continue to exist,
 
Safi sana mkuu.
Kifupi bible inaposema, "Hapo mwanzo, mungu aliumba mbingu na nchi" inachomaanisha ni kwamba
Hapo mwanzo=Time, God created time
Mbingu= Space, God created space(the thing that holds/occupies all the matter in the universe)
Nchi= Matter, God created matter(stars, planets, comets etc)
These are the basic things our universe is made up from.
So if "God" created these things he is not bound by them, its very simple to understand, if he is God he has to be boundless.
He does not follow our timeline, he is not bound to our timeline.
He is not bound to our space, he can go in and out of our space.
Things like space and time mean nothing to him.

Nitoe mfano mmoja, sisi binadamu tumetengeneza computer, computer ina uzito(matter) na inachukua nafasi(occupies Space) na ina mwanzo wake(tulipoitengeneza ndo mwanzo wake(time)), sasa niulize swali, sisi binadamu kama mungu wa computer......
Je tuko ndani ya hio computer??
Je sisi binadamu lazima tuwe ndani ya hio computer ili ifanye kazi??
Je sisi binadamu tunaweza kutafsiriwa na hio computer tulio itengeneza(computer inaweza kweli ikachambua ubinadamu wetu wakati tulikuwepo kabla yake na sisi ndio tuliofanya iwe kitu)??
Umeelezea vizuri sana Mkuu,.. mtu asipoelewa na hapa sasa itakua ni ubishi tu,

Well said kaka 🤝🏼
 
Mkuu, Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika.

Na ukweli Hauendani na imani, ukweli una endana na kujua, uwepo wa proofs, evidences, Logic na facts.

Mtu akisema ana "imani" ,Maana yake ni kwamba hana uhakika wa kitu hicho kwamba ni kweli kipo au hakipo

Ana bahatisha tu.
Yes ni kweli, umeongea kilekile nilicho ongea but kwa kutumia maneno mengine.
Imani ni kubahatisha sawa, lakini je maisha haya si ni kubahatisha tuu?
Unalala usiku Huna uhakika kama utaamka asubuhi but you hope kwamba mambo yataenda sawa na utaamka asubuhi, maisha ni kama ku-bet kuna mambo tunafanya hatujui yataleta matunda gani but we do it anyway, si ndio? We are not sure of anything.
Maisha yetu yanaweza kuondoka muda wowote lakini bado tunapambana kila siku kuboresha yetu kwa sababu tuna imani we will live but we are not sure.

SHIDA YA KIBADANAMU SIO KWAMBA ANATAKA KUJUA MUNGU YUPO AU HAYUPO, SHIDA YA BINADAMU HATAKI MUNGU AWEPO KWA SABABU KAMA MUNGU KWELI YUPO, MAANA YAKE YEYE SIO MKUU TENA, KUJUA KWAMBA KUNA AMBAYE NI MKUU ZAIDI YAKE SIO KITU AMBACHO BINADAMU ATAFURAHI KUGUNDUA.
BINADAMU ANA TAMANI YEYE NDO AWE MUNGU ILI AWE FREE KUFANYA ANACHOTAKA NA ANACHOPENDA NDO MAANA ANAPOTEZA MUDA BUILDING LOGIC AND CRAFTING SCIENTIFIC FACTS ILI APPROVE KWAMBA MUNGU AYUPO ILI YEYE AWE MUNGU.
 
Safi sana mkuu.
Kifupi bible inaposema, "Hapo mwanzo, mungu aliumba mbingu na nchi" inachomaanisha ni kwamba
Hapo mwanzo=Time, God created time
Mbingu= Space, God created space(the thing that holds/occupies all the matter in the universe)
Nchi= Matter, God created matter(stars, planets, comets etc)
These are the basic things our universe is made up from.
So if "God" created these things he is not bound by them, its very simple to understand, if he is God he has to be boundless.
Kabla ya "Hapo mwanzo" Mungu huyo alikuwa wapi?

Huko alikokuwa kabla ya
"Hapo mwanzo" kulitoka wapi?

Unataka kusema Mungu huyo alitokea tu, Vuuuuuuuuuuh! 😄😄 Akaanza uumbaji?
He does not follow our timeline, he is not bound to our timeline.
He is not bound to our space, he can go in and out of our space.
Things like space and time mean nothing to him.

Nitoe mfano mmoja, sisi binadamu tumetengeneza computer, computer ina uzito(matter) na inachukua nafasi(occupies Space) na ina mwanzo wake(tulipoitengeneza ndo mwanzo wake(time)), sasa niulize swali, sisi binadamu kama mungu wa computer......
Je tuko ndani ya hio computer??
Je sisi binadamu lazima tuwe ndani ya hio computer ili ifanye kazi??
Computer ili ifanye kazi lazima binadamu aamue ifanye kazi.

Computer iko Programmed kufuata matakwa ya binadamu kufanya kazi yake.

Computer Haiwezi kujiamulia kitu yenyewe, Pasipo command ya mwanadamu.

Sasa niambie, Je na Binadamu yuko programmed kama computer?

Kama Binadamu yuko programmed, Mbona Mungu huyo anashindwa kumzuia binadamu huyo asifanye uovu na mabaya?

Ilhali yeye Mungu muumbaji hapendi uovu na mabaya?

Je yeye Mungu mtengenezaji wa Binadamu, Hakujua binadamu aliye mtengeneza atakuja kufanya uovu na mabaya?
Je sisi binadamu tunaweza kutafsiriwa na hio computer tulio itengeneza(computer inaweza kweli ikachambua ubinadamu wetu wakati tulikuwepo kabla yake na sisi ndio tuliofanya iwe kitu)??
Computer Haiwezi kujiamulia mambo yenyewe tu, pasipo mwanadamu kui process na kuipa command.

Sasa Mungu huyo aliumba ulimwengu na Binadamu ambao Hawezi kuwa control, Hadi wakaweza kufanya dhambi na mabaya?

Mungu huyo yupo kweli?
 
Naona unajikosha unataka Arusha na wapi cjui... na private na government inategemea ni wapi ila sometimes tofauti ni ndogo sana... wewe Kama baba Leo hii umsomeshe mtoto secondary Dubai afu mwingine st kayumba just coz umeamua hautakuwa a fair parent kwa mtu yoyote afu hapo nimegusa tu elimu...sijaenda mambo mengine ya chakula nguo malazi etc huwezi kusema una mapenzi na wote wakati clearly mmoja anapendelewa
Kwa hiyo ulitaka binadamu wote wawe sawa🤣🤣logic ya Mungu haipo hivyo matabaka ndio mfumo kaweka .

Nimekupa mfano wa binadamu ila Mungu hayupo hivyo na wala huwezi kufananisha kwa matamanio ya mwanadamu anayejipendelea ,hata binadamu angekuwa anatoa riziki angependelea hata viongozi tunaona wanavyojilimbikizia mali wakati wengine wanapata tabu.

Logic ya Mungu kwa mifano ya binadamu haviendani kabisa jaribu kutumia akili then uliza tena!?
.
 
Kabla ya "Hapo mwanzo" Mungu huyo alikuwa wapi?

Huko alikokuwa kabla ya
"Hapo mwanzo" kulitoka wapi?

Unataka kusema Mungu huyo alitokea tu, Vuuuuuuuuuuh! 😄😄 Akaanza uumbaji?

Computer ili ifanye kazi lazima binadamu aamue ifanye kazi.

Computer iko Programmed kufuata matakwa ya binadamu kufanya kazi yake.

Computer Haiwezi kujiamulia kitu yenyewe, Pasipo command ya mwanadamu.

Sasa niambie, Je na Binadamu yuko programmed kama computer?

Kama Binadamu yuko programmed, Mbona Mungu huyo anashindwa kumzuia binadamu huyo asifanye uovu na mabaya?

Ilhali yeye Mungu muumbaji hapendi uovu na mabaya?

Je yeye Mungu mtengenezaji wa Binadamu, Hakujua binadamu aliye mtengeneza atakuja kufanya uovu na mabaya?

Computer Haiwezi kujiamulia mambo yenyewe tu, pasipo mwanadamu kui process na kuipa command.

Sasa Mungu huyo aliumba ulimwengu na Binadamu ambao Hawezi kuwa control, Hadi wakaweza kufanya dhambi na mabaya?

Mungu huyo yupo kweli?
Maswali yote hayo uliyoniuliza yana majibu, sema nimechoka kutype mzee na yanahitaji ufafanuzi mkubwa sana na sidhani kama nina hizo nguvu za kuandika majibu unayotaka.
Na cha muhimu zaidi sidhani kama kweli unataka kujua au unataka kubishana tuu😅
 
Yes ni kweli, umeongea kilekile nilicho ongea but kwa kutumia maneno mengine.
Imani ni kubahatisha sawa, lakini je maisha haya si ni kubahatisha tuu?
Unalala usiku Huna uhakika kama utaamka asubuhi but you hope kwamba mambo yataenda sawa na utaamka asubuhi, maisha ni kama ku-bet kuna mambo tunafanya hatujui yataleta matunda gani but we do it anyway, si ndio? We are not sure of anything.
Maisha yetu yanaweza kuondoka muda wowote lakini bado tunapambana kila siku kuboresha yetu kwa sababu tuna imani we will live but we are not sure.

SHIDA YA KIBADANAMU SIO KWAMBA ANATAKA KUJUA MUNGU YUPO AU HAYUPO, SHIDA YA BINADAMU HATAKI MUNGU AWEPO KWA SABABU KAMA MUNGU KWELI YUPO, MAANA YAKE YEYE SIO MKUU TENA,

Kama Mungu alitaka binadamu wote tumjue yeye yupo, Alishindwaje kuumba Binadamu wenye UFAHAMU wa kumtambua yeye yupo kwa wakati wote?

Na kutu ondolea, kufuta na kudhibiti UFAHAMU wa sisi Binadamu Kutomtambua yeye hayupo?
KUJUA KWAMBA KUNA AMBAYE NI MKUU ZAIDI YAKE SIO KITU BINADAMU AMBACHO BINADAMU ATAFURAHI KUGUNDUA.
BINADAMU ANA TAMANI YEYE NDO AWE MUNGU ILI AWE FREE KUFANYA ANACHOTAKA NA ANACHOPENDA NDO MAANA ANAPOTEZA MUDA BUILDING LOGIC AND CRAFTING SCIENTIFIC FACTS ILI APPROVE KWAMBA MUNGU AYUPO ILI YEYE AWE MUNGU.
 
Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu
Kama kitu hukielewi huna justification ya kuita utapeli.
Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata
Mungu hajakuumba ukosee lakini ili akuangamize ndio maana kuna room ya kuomba msamaha, Pia Mungu asingeweza kutuumba kama Maroboti tuwe tu tunamtii, Ni sawa na wale wanawake wanaowatengeneza wake au waume zao kiuchawi, hapo ndoa inakuwa na raha gani? Unaishi na lijitu ndani kama ndondocha,

Mungu ametupa uhuru tuchague mema tuishi milele au tuchague mabaya atuangamize.

Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje
Unahitaji kuomba ndio upewe, hii ni kanuni ya Dynasties zote Duniani, hata kwa Mungu iko hivo.
 
Kama hakuna anaye fahamu Mungu alitengenezewa na nani,

Aliyesema Mungu yupo alifahamu vipi Mungu huyo yupo?

Alifanya utafiti gani na uchunguzi upi, Akafahamu Mungu yupo?

Kama Mungu aliweza kufahamika yupo, Inashindikana nini kujua yeye alitengenezewa na nani?

Kama mmeweza kujua Mungu huyo yupo, Mnashindwa vipi kujua alitengenezewa na nani?

Una uthibitisho wa kwamba tuliumbwa?

Kuna ulazima gani wa sisi kuwa tumeumbwa?

Kama ni lazima kwamba sisi tuwe tume umbwa, Mungu huyo na yeye aliumbwa na nani?

Kama Mungu haku umbwa, unashindwaje kuamini dunia Haiku umbwa?

Kama hujui Mungu alitengenezwa na nani, ume juaje yupo?

Ila mnashindwa kumthibitisha yupo.
Broo naomba nikuulize swali, ww unaamini katika nn?
Kwamba hakuna mungu au mungu wapo wengi, atheism or polytheism??
 
Maswali yote hayo uliyoniuliza yana majibu,

Yalete hayo majibu na uya thibitishe.
Mungu huyo aliwezaje kutokea tu Vuuuuuuuuuuh! 🤣🤣Akaanza uumbaji?

Kwamba hakuna sehemu yeyote aliyo kuwepo kabla ya uumbaji.
sema nimechoka kutype mzee na yanahitaji ufafanuzi mkubwa sana na sidhani kama nina hizo nguvu za kuandika majibu unayotaka.
Na cha muhimu zaidi sidhani kama kweli unataka kujua au unataka kubishana tuu😅
 
Kama kitu hukielewi huna justification ya kuita utapeli.

Mungu hajakuumba ukosee lakini ili akuangamize ndio maana kuna room ya kuomba msamaha, Pia Mungu asingeweza kutuumba kama Maroboti tuwe tu tunamtii, Ni sawa na wale wanawake wanaowatengeneza wake au waume zao kiuchawi, hapo ndoa inakuwa na raha gani? Unaishi na lijitu ndani kama ndondocha,

Mungu ametupa uhuru tuchague mema tuishi milele au tuchague mabaya atuangamize.
Mungu muweza wa yote, Alishindwaje kuumba Binadamu wema tu wasio na uwezo wa kutenda mabaya?

Kwa nini awa angamize wabaya? Wakati uwezo wa kuwafanya watende mema alikuwa nao, na anao?

Kama Mungu hapendi mabaya, kwa nini Aumbe binadamu na dunia yenye mabaya?

Wakati uwezo wa kuumba Binadamu wema tu na dunia Isiyo na mabaya anao na alikuwa nao?
Unahitaji kuomba ndio upewe, hii ni kanuni ya Dynasties zote Duniani, hata kwa Mungu iko hivo.
 
Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake
Mungu siyo katili kiasi hicho, hiki kipindi chote amemuacha Shetani ili watu wachague sides zao. Lakini mwisho wa siku bado atamuangamiza.

Jehanamu iliumbwa kwa ajili ya Shetani na wale wote walioasi. Sisi wanadamu tukawa deceived na Shetani hivyo haya majanga na magonjwa tunayopata ni kwa sababu ya uasi wetu pia.
Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair
Walikuwa na ugeni upi wakati Mungu aliwaweka wazi juu ya mti wa Ujuzi wa mema na mabaya?


Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu
Hii migawanyiko ni kwa sababu watu wameacha kufuata biblia takatifu wanafuata mafundisho ya watu.

Haya yote manabii walishayatabiri na tunakoenda mambo yatakuwa worse zaidi.

Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously
emoji15.png
?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani
emoji15.png

Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk
Mungu azidi kukupa neema ya uhai labda kuna siku utaunderstand hivi vitu better.

Sisi wengine tumeshatendewa miujiza katika maisha yetu. Kwa hiyo kuturudisha ambako umechagua wewe kuwepo ni ngumu.
 
Back
Top Bottom