Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Mungu muweza wa yote, Alishindwaje kuumba Binadamu wema tu wasio na uwezo wa kutenda mabaya?

Kwa nini awa angamize wabaya? Wakati uwezo wa kuwafanya watende mema alikuwa nao, na anao?

Kama Mungu hapendi mabaya, kwa nini Aumbe binadamu na dunia yenye mabaya?

Wakati uwezo wa kuumba Binadamu wema tu na dunia Isiyo na mabaya anao na alikuwa nao?
Wewe unaweza kumtengeneza Mke wako ili awe kama ndondocha ili awe anakutii tu?
 
Mungu siyo katili kiasi hicho, hiki kipindi chote amemuacha Shetani ili watu wachague sides zao. Lakini mwisho wa siku bado atamuangamiza.
Kama Mungu huyo anataka watu wote wachague "side" yake kwa nini ana mwacha shetani awepo?

Kama Mungu hataki sisi tuchague "side" ya shetani kwa nini aendelee kumwacha shetani?
Jehanamu iliumbwa kwa ajili ya Shetani na wale wote walioasi. Sisi wanadamu tukawa deceived na Shetani hivyo haya majanga na magonjwa tunayopata ni kwa sababu ya uasi wetu pia.
Mungu mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Je Hakujua kwamba Shetani atakuja kuwepo duniani amdhibiti na kumzuia mapema?
Walikuwa na ugeni upi wakati Mungu aliwaweka wazi juu ya mti wa Ujuzi wa mema na mabaya?



Hii migawanyiko ni kwa sababu watu wameacha kufuata biblia takatifu wanafuata mafundisho ya watu.
Mungu muweza wa yote na mwenye kujua yote, Je Hakujua kwamba Adamu atakula tunda la mti wa ujuzi wa mema na mabaya amzuie na kumdhibiti mapema?
Haya yote manabii walishayatabiri na tunakoenda mambo yatakuwa worse zaidi.


Mungu azidi kukupa neema ya uhai labda kuna siku utaunderstand hivi vitu better.

Sisi wengine tumeshatendewa miujiza katika maisha yetu. Kwa hiyo kuturudisha ambako umechagua wewe kuwepo ni ngumu.
 
Shida sio kutoa mfano, toa mfano hai unaoendana na jambo husika au unao karibiana. Tatizo kubwa mnalo shindwa nyinyi ni katika kutoa mifano na hii ni kutokana na uwezo wenu mdogo wa kufikiri.

Mfano nilisema fulani kama Simba, lazima katika huu mfano ukaribie ukweli sifa Moja aliyo kuwa nayo huyo muhusika inakaribiana na hicho kinachosifiwa kwacho. Sasa wewe unatoa tu mfano ilimradi umetoka huu utoto, na unapoteza muda sababu huo mfano haugusi hoja iliyopo.

Nacheka sana, hatulei wajinga na wavivu wa kufikiri, yaani hata kutoa mifano mnashindwa, utapatia vipi katika kujenga hoja ?

Nasubiri uthibitishe ya kuwa Mungu hayupo.
Mfano nliokupa haujaendana na jambo..!? Au ni kwamba wewe tu umeshindwa kuelewa dhana nliyoiwasilisha.

Unaelewa hata nlikupa mfano kuonesha nini?
 
Kwaio unaamini Big bang theory na theory of evolution si ndio??
Hapana mkuu.

Maana ukianza kusema hivi ni vyanzo vya ulimwenguni.

Lazima maswali yataibuka kwamba

Big bang yenyewe ilianzia wapi?

Huko ilikotoka "Big bang" kulianza vipi.

Hatuwezi kujua, tusicho kijua.

Ila tunapunguza tusivyo vijua kadiri muda unavyokwenda.

Na amini Dunia ipo tu, Haina mwanzo wala mwisho.

Theory zote za kidini na kisayansi HAZINA chanzo halisi cha ulimwengu.

Maana kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na chanzo, Basi muundo
huu huu wa "ulazima wa vyanzo" lazima u apply kwa vitu vyote.

Pasiwepo kitu chochote kilicho jitokeza chenyewe tu, Pasipo mwanzo. Maana kitavuruga muundo mzima wa ulazima huu.
 
Kwa nini unadhani binadamu alitokea?

Binadamu yupo tu, Hajatokea.

Ukianza kuweka ulazima wa kila kitu kilichopo lazima kiwe na chanzo, Basi Hata Mungu lazima ueleze aliko tokea.

Unavyo weza kuamini Mungu usiyemjua Hana chanzo Basi hata binadamu hana chanzo.
Hujajibu swali, Au unakwepa swali

Binadamu wa kwanza alizaliwa na nani ?
Yani alikuwepo kutokea wapi ?
 
Hapana mkuu.

Maana ukianza kusema hivi ni vyanzo vya ulimwenguni.

Lazima maswali yataibuka kwamba

Big bang yenyewe ilianzia wapi?

Huko ilikotoka "Big bang" kulianza vipi.

Hatuwezi kujua, tusicho kijua.

Ila tunapunguza tusivyo vijua kadiri muda unavyokwenda.

Na amini Dunia ipo tu, Haina mwanzo wala mwisho.

Theory zote za kidini na kisayansi HAZINA chanzo halisi cha ulimwengu.

Maana kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na chanzo, Basi muundo
huu huu wa "ulazima wa vyanzo" lazima u apply kwa vitu vyote.

Pasiwepo kitu chochote kilicho jitokeza chenyewe tu, Pasipo mwanzo. Maana kitavuruga muundo mzima wa ulazima huu.
Kuna sehemu umeandika "Ila tunapunguza tusivyo vijua kadiri muda unavyokwenda".

Sasa kwanini hili swala linalohusu Mungu haujalipa mda kulijua ila umeshahitimisha kwenye akili yako kuwa hayupo ?
 
Hujajibu swali, Au unakwepa swali

Binadamu wa kwanza alizaliwa na nani ?
Yani alikuwepo kutokea wapi ?
Binadamu wa kwanza Hayupo.

Binadamu wapo tu, kama walivyo.
Hawana mwanzo wala mwisho.

Hakuna Binadamu wa kwanza, Na Hakutakuwa binadamu wa mwisho.

Ndio maana kila siku watu wanakufa, na watoto wana zaliwa.

Ukianza kuweka ulazima wa kwamba kila kitu kilichopo lazima kiwe na chanzo. Basi hata "chanzo" lazima kiwe na chanzo,
Na "chanzo cha chanzo" kiwe na chanzo.

Na "chanzo cha vyanzo" kiwe na chanzo,
Na chanzo cha "chanzo cha vyanzo" kiwe na chanzo.

Yaani, Pasiwepo kitu chochote kilicho jitokeza chenyewe pasipo mwanzo maana kitavuruga muundo wa "ULAZIMA AWEPO CHANZO" na kitakuwa kime enda kinyume na ulazima huo.

Hivyo Dunia si lazima iwe na chanzo.

Dunia Haina chanzo. Ipo tu.
 
Binadamu wa kwanza Hayupo.

Binadamu wapo tu, kama walivyo.
Hawana mwanzo wala mwisho.

Hakuna Binadamu wa kwanza, Na Hakutakuwa binadamu wa mwisho.

Ndio maana kila siku watu wanakufa, na watoto wana zaliwa.

Ukianza kuweka ulazima wa kwamba kila kitu kilichopo lazima kiwe na chanzo. Basi hata "chanzo" lazima kiwe na chanzo,
Na "chanzo cha chanzo" kiwe na chanzo.

Na "chanzo cha vyanzo" kiwe na chanzo,
Na chanzo cha "chanzo cha vyanzo" kiwe na chanzo.

Yaani, Pasiwepo kitu chochote kilicho jitokeza chenyewe pasipo mwanzo maana kitavuruga muundo wa "ULAZIMA AWEPO CHANZO" na kitakuwa kime enda kinyume na ulazima huo.

Hivyo Dunia si lazima iwe na chanzo.

Dunia Haina chanzo. Ipo tu.
Chenga tupu, Hauna point kabisa.

Uwe na mchana mwema chief.
 
Kuna sehemu umeandika "Ila tunapunguza tusivyo vijua kadiri muda unavyokwenda".

Sasa kwanini hili swala linalohusu Mungu haujalipa mda kulijua ila umeshahitimisha kwenye akili yako kuwa hayupo ?
Swala la uwepo wa Mungu ni dhana ya kufikirika tu. Haina uthibitisho wowote ule.

Maana wanasema Mungu yupo, ila hamjui yupo kwa namna gani?
Alianzaje kuwa Mungu?
Huko aliko anzia kuliumbwa na nani?

Zaidi ya mawazo ya kufikirika tu, kwamba yupo.
 
Kila mtu atahukumika kulingana na uelewa wake wa sheria, hata kama injili haijakufikia kujua kwamba "kuua", "kuiba" na "kusema uongo" ni vitu ambavyo vilikuwa vinapingwa kweny jamii zetu hata kabla injili kufika....hivohivo vitu ambavyo ulikuwa unauelewa navyo kuwa havifai kumfanyia mwanadamu mwenzako hivohivo ukahukumiwa navyo sio lazima uisikie injili ndo uwe na moral conviction, kila binadamu amezaliwa na moral conviction, kwasababu mungu ameweka kwa kila binadamu uwezo wa kutambua mema na baya mioyoni mwetu. Nadhani nimeeleweka?
🤣Bac sihitaji kujua sheria zenu za kutokula nguruwe au kutokuvaa material tofauti Kama naturally naweza kuwa nice bila kuimpose supernatural bullshit
 
Swala la uwepo wa Mungu ni dhana ya kufikirika tu. Haina uthibitisho wowote ule.

Maana wanasema Mungu yupo, ila hamjui yupo kwa namna gani?
Alianzaje kuwa Mungu?
Huko aliko anzia kuliumbwa na nani?

Zaidi ya mawazo ya kufikirika tu, kwamba yupo.
Okay.
 
Kila mtu atahukumika kulingana na uelewa wake wa sheria, hata kama injili haijakufikia kujua kwamba "kuua", "kuiba" na "kusema uongo" ni vitu ambavyo vilikuwa vinapingwa kweny jamii zetu hata kabla injili kufika....hivohivo vitu ambavyo ulikuwa unauelewa navyo kuwa havifai kumfanyia mwanadamu mwenzako hivohivo ukahukumiwa navyo sio lazima uisikie injili ndo uwe na moral conviction, kila binadamu amezaliwa na moral conviction, kwasababu mungu ameweka kwa kila binadamu uwezo wa kutambua mema na baya mioyoni mwetu. Nadhani nimeeleweka?
Halafu how do u know God did it...huoni ni jau kusuggest kwamba tunafanya wema because of god na kufanya mabaya kwa sababu yetu wenyewe au shetani ambae Mungu kamuumba. Yaani unampa sifa nzuri Mungu afu mbaya unajipa mwenyewe. Don't u think that's a dangerous way of thinking
 
Chenga tupu, Hauna point kabisa.

Uwe na mchana mwema chief.
Wewe mwenye point,

Thibitisha Mungu yupo kwa namna gani?

Eleza, Mungu huyo aliwezaje kuwepo bila chanzo?

Kama huwezi, wewe ndio "chenga" unaye amini Mungu usiyemjua Hana chanzo ila una lazimisha Dunia na Binadamu viwe na chanzo.
 
Safi sana mkuu.
Kifupi bible inaposema, "Hapo mwanzo, mungu aliumba mbingu na nchi" inachomaanisha ni kwamba
Hapo mwanzo=Time, God created time
Mbingu= Space, God created space(the thing that holds/occupies all the matter in the universe)
Nchi= Matter, God created matter(stars, planets, comets etc)
These are the basic things our universe is made up from.
So if "God" created these things he is not bound by them, its very simple to understand, if he is God he has to be boundless.
He does not follow our timeline, he is not bound to our timeline.
He is not bound to our space, he can go in and out of our space.
Things like space and time mean nothing to him.

Nitoe mfano mmoja, sisi binadamu tumetengeneza computer, computer ina uzito(matter) na inachukua nafasi(occupies Space) na ina mwanzo wake(tulipoitengeneza ndo mwanzo wake(time)), sasa niulize swali, sisi binadamu kama mungu wa computer......
Je tuko ndani ya hio computer??
Je sisi binadamu lazima tuwe ndani ya hio computer ili ifanye kazi??
Je sisi binadamu tunaweza kutafsiriwa na hio computer tulio itengeneza(computer inaweza kweli ikachambua ubinadamu wetu wakati tulikuwepo kabla yake na sisi ndio tuliofanya iwe kitu)??
Mi naweza interpret mbingu Kama sky na nchi Kama land as they who wrote it meant. Kila mtu anaweza kutunga interpretation zake za Bible so at this point usiquote hiki kitabu Kama utamake ur own interpretation kujikosha
 
Wewe mwenye point,

Thibitisha Mungu yupo kwa namna gani?

Eleza, Mungu huyo aliwezaje kuwepo bila chanzo?

Kama huwezi, wewe ndio "chenga" unaye amini Mungu usiyemjua Hana chanzo ila una lazimisha Dunia na Binadamu viwe na chanzo.
Duh!
 
Back
Top Bottom