Science never claims can solve everything
...... NOT IN SCIENCE
Vya Mungu vimeandikwa na Mungu au hao hao wazungu waliokutawala na kukutumikishaKwhyo ww unawawmini hao wwwnasayans wako wanaokuandikia vitabu kusoma na kupaste ya mungu uyaamini unasmini ya mzungu akiri fup San na hao wanaokusupport wewe usiamini ss tunaamini endelea kuamini wachawi na wazungu
Science doesn't logically support atheism, it is methodologically neutral. I hope this is clear to everyone now.
I'm out for a while, carry on with your discussion.
[emoji4]
Well, let's remove conflexion and be clear on this issue; science neither require nor entails atheism, science deals with empiricism and so can never ask metaphysical questions such as: do GOD exist?. Hence, atheism is not born out of science but philosophically view
@karangaSadly you know nothing about theology though you pretend to know, no darkness like ignorance
[emoji4]
Mnategemea elimu ( science ) uliyoipata pekee kujenga hoja,Science never claims can solve everything
Yaani kichaa mmoja ajiite Mayu aanze kusema anaongea na Mungu na kumpa muongozo wa binadamu uweje halafu tukubali tu...... NOT IN SCIENCE
1. Je, unaweza kumtibia mtu mwenye kipindupindu (cholera) kwa maombi ya kiimani?
2. Je, unaweza kumtibia mtu aliyepandisha majini (mapepo) kisayansi?
[emoji4]
Bro, sentensi ikiishia na alama ya kuuliza au mshangao neno linalofuata lazima lianze na herufi kubwa. Usione jamaa mkosefu sana kwenye kuandika wakati wewe pia ni walewale tu.Umeibua makosa ya tahajia kwa mara nyingine na nyingine; ni UGOMVI na si UGONVI, ni SIYO na siyo SIO, napaswa kuomba msamaha kwa kukukosoa kwa namna hiyo? pole, jikaze, nivumilie ndivyo nilivyo
Mnategemea elimu ( science ) uliyoipata pekee kujenga hoja,
kudadavua mambo, kuchimba na kutafiti mambo tofauti.
First you have to unlearn everything unapotakafakari jambo ili uwe huru kifikra,, hasa haya yenye utata kwenu.
Hawa ni watu wenye depression, ni changamoto ya AFYA ya Akili TuMajini(mapepo) ni kitu Gan? Naomba kujua jini ni Nini na anatoka wapi? Kupandisha mapepo ndio kufanyaje? Je, hayo majini yanahusiana nini na watu? Na kwanini 'mtu' halafu apandishe mapepo, kwanini mapepo yasijipandishe yenyewe Hadi yamtegee mtu huko kupanda?
Kama umeshindwa kunielewa nini namaanisha haswa, Huwezi kuelewa mambo magumu..Mkuu more than 99% ya maisha yako unaishi logically according to science kasoro imani yako tu
Fikra huru zinatumika KUCHAGUA na sio kubadili ukweli
Hakuna namna fikra zako zinaweza kubadili matokeo ya kisayansi
Matokeo ya kisayansi yatabadilika kisayansi
Ndg tusaidie hapo. hao wako wapi kwa sasa???Huu ujasiri unautoa wapi ndugu yangu?
Mungu yupo na hakika wakati ukifika utajutia haya uliondika
Walikuwepo wengi waliompinga lakini sasa wako wapi?
Hata wewe utapita lakini Neno la MUNGU litasimama daima hadi ukamilifu wa dahari
Watu wote tunafanya mambo ambayo logically yapo supported na science including Theists.
Science deals with the natural not the supernatural ... hichi ndio kitu Atheist wanakisimamia na ndio sayansi yenyewe
.
... hichi ndio kitu Atheist wanakisimamia na ndio sayansi yenyewe