Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Science never claims can solve everything

...... NOT IN SCIENCE

Well, let's remove conflexion and be clear on this issue; science neither require nor entails atheism, science deals with empiricism and so can never ask metaphysical questions such as: do GOD exist?. Hence, atheism is not born out of science but philosophically view
 
Science doesn't logically support atheism, it is methodologically neutral. I hope this is clear to everyone now.

I'm out for a while, carry on with your discussion.

[emoji4]
 
Kwhyo ww unawawmini hao wwwnasayans wako wanaokuandikia vitabu kusoma na kupaste ya mungu uyaamini unasmini ya mzungu akiri fup San na hao wanaokusupport wewe usiamini ss tunaamini endelea kuamini wachawi na wazungu
Vya Mungu vimeandikwa na Mungu au hao hao wazungu waliokutawala na kukutumikisha
 
Science doesn't logically support atheism, it is methodologically neutral. I hope this is clear to everyone now.

I'm out for a while, carry on with your discussion.

[emoji4]

Watu wote tunafanya mambo ambayo logically yapo supported na science including Theists.
Theists make it an issue when scientific fact conflicts with theological beliefs based on hearsay not credible evidence.

Science deals with fact not fiction, the natural not the supernatural, reality not the imaginary..... hichi ndio kitu Atheist wanakisimamia na ndio sayansi yenyewe
 
Well, let's remove conflexion and be clear on this issue; science neither require nor entails atheism, science deals with empiricism and so can never ask metaphysical questions such as: do GOD exist?. Hence, atheism is not born out of science but philosophically view


Atheist wanafuata misingi ya kisayansi tu

Sayansi doesn’t give a rat about the supernatural, including God Angels haven rohoni shetani mapepo uchawi..... etc etc

Science deals with the natural world NOT supernatural becoz it is untestable and unscientific.
God existence is not science’s problem, sana sana sayansi would be interested in how religious people behave

Lakini habari ya Mungu? Not science’s problem.

Maybe Mungu yupo..... lakini so far Atheist wanafuata misingi ya sayansi ambayo haitambui UWEPO WA MUNGU
 
Science never claims can solve everything

Yaani kichaa mmoja ajiite Mayu aanze kusema anaongea na Mungu na kumpa muongozo wa binadamu uweje halafu tukubali tu...... NOT IN SCIENCE
Mnategemea elimu ( science ) uliyoipata pekee kujenga hoja,
kudadavua mambo, kuchimba na kutafiti mambo tofauti.
First you have to unlearn everything unapotakafakari jambo ili uwe huru kifikra,, hasa haya yenye utata kwenu.
 
Asili ya binadamu ni kudasisi kutaka kujua kila kitu pembeni yake na ndio tuna angukia hapo

Waliowahi kufanya utafiti wakaleta ya kwao na kupandikiza kwa wengi sababu hizi tafiti kwao zina faida

Ukisema MUNGU hakuna basi tambua kuna nguvu ya asili inayotawala dunia huenda tusilingane dunia nzima kuiita MUNGU lakini hata wasio na dini wana iamini

Kikubwa ni kuwa ufahamu uliotulia ili usilaghaiwe na wenye maarifa zaidi na potofu maana siku zote nafsi zetu zinajua kujituliza penye amani tatizo ni akili zetu lazima zihoji kwa nini kuna hii amani

ENJOY THE WORLD IN A PEACEFUL WAY
 
1. Je, unaweza kumtibia mtu mwenye kipindupindu (cholera) kwa maombi ya kiimani?

2. Je, unaweza kumtibia mtu aliyepandisha majini (mapepo) kisayansi?

[emoji4]

Majini(mapepo) ni kitu Gan? Naomba kujua jini ni Nini na anatoka wapi? Kupandisha mapepo ndio kufanyaje? Je, hayo majini yanahusiana nini na watu? Na kwanini 'mtu' halafu apandishe mapepo, kwanini mapepo yasijipandishe yenyewe Hadi yamtegee mtu huko kupanda?
 
Umeibua makosa ya tahajia kwa mara nyingine na nyingine; ni UGOMVI na si UGONVI, ni SIYO na siyo SIO, napaswa kuomba msamaha kwa kukukosoa kwa namna hiyo? pole, jikaze, nivumilie ndivyo nilivyo
Bro, sentensi ikiishia na alama ya kuuliza au mshangao neno linalofuata lazima lianze na herufi kubwa. Usione jamaa mkosefu sana kwenye kuandika wakati wewe pia ni walewale tu.
 
Mnategemea elimu ( science ) uliyoipata pekee kujenga hoja,
kudadavua mambo, kuchimba na kutafiti mambo tofauti.
First you have to unlearn everything unapotakafakari jambo ili uwe huru kifikra,, hasa haya yenye utata kwenu.

Mkuu more than 99% ya maisha yako unaishi logically according to science kasoro imani yako tu

Fikra huru zinatumika KUCHAGUA na sio kubadili ukweli
Hakuna namna fikra zako zinaweza kubadili matokeo ya kisayansi
Matokeo ya kisayansi yatabadilika kisayansi
 
Majini(mapepo) ni kitu Gan? Naomba kujua jini ni Nini na anatoka wapi? Kupandisha mapepo ndio kufanyaje? Je, hayo majini yanahusiana nini na watu? Na kwanini 'mtu' halafu apandishe mapepo, kwanini mapepo yasijipandishe yenyewe Hadi yamtegee mtu huko kupanda?
Hawa ni watu wenye depression, ni changamoto ya AFYA ya Akili Tu
 
Binadamu anaunganishwa na nguvu katika mazingira ya hapa hapa duniani, zipo kanuni za kimaumbile ukiweza kuzifuata tu na kuzielewa utaelewa namna gan kila kitu kinavyofanya kazi , ili uelewe haya mambo unatakiwa uvunje mipaka yako ya kifikra , ambayo imekufunga sehemu moja tu .

Imani katika dini , Mungu na pesa ni man made ,ili uzidi kukaa kwenye mfumo , wewe jiulize bila Binadamu , pesa, Mungu, na dini zina thamani gani?

Ila asili katika mjumuiko wake haihitaji Binadamu ili kuwepo ila Binadamu yupo kwenye mfumo wa asili .

Umwamni Mungu ,yesu au nan kama haujui namna yakutembea kwenye mifumo ya kiasili utapigwa tu bili kujali unasali sna au hausali kabisa, unaamini uwepo wa mungu au hauamni ,nature itakukataa tu na kukuletea mfadhaiko wa kiakili nakuona mungu kakuacha kumbe hata kiumbe mungu hakipo .

Kwa kuanzia tu tunapaswa kujifunza low of attraction( cause and effect)zinavyofanya kazi , kuliangana na , hisia, matendo na mawazo yetu , ili kuboresha matokea chanya kwanza, then tutapata nguvu hata za kusema nadharia ya mungu kuwa ni muweza wa yote .
 
Mkuu more than 99% ya maisha yako unaishi logically according to science kasoro imani yako tu

Fikra huru zinatumika KUCHAGUA na sio kubadili ukweli
Hakuna namna fikra zako zinaweza kubadili matokeo ya kisayansi
Matokeo ya kisayansi yatabadilika kisayansi
Kama umeshindwa kunielewa nini namaanisha haswa, Huwezi kuelewa mambo magumu..

Niache hayo ila nkurekebishe hapa,

Fikra huru zinatumika KUCHAGUA[emoji777]

Fikra huru zinatumika kukuonyesha ukweli dhahiri[emoji736]
 
Huu ujasiri unautoa wapi ndugu yangu?

Mungu yupo na hakika wakati ukifika utajutia haya uliondika

Walikuwepo wengi waliompinga lakini sasa wako wapi?
Hata wewe utapita lakini Neno la MUNGU litasimama daima hadi ukamilifu wa dahari
Ndg tusaidie hapo. hao wako wapi kwa sasa???
 
Back
Top Bottom