Chosen Rich
JF-Expert Member
- Jan 7, 2019
- 1,467
- 989
Kwasababu wewe ndio umewasilisha hoja ya hakuna mungu,Toka utotoni nimelishwa kuna Mungu lakini HAKUNA hata mtu mmoja aliyewahi KUNITHIBITISHIA uwepo wa Mungu...... sio Askofu, shekh, mitume na manabii
Halafu mimi ninaye ambiwa kuna Mungu toka utotoni ndio natakiwa nithibitishe HAYUPO [emoji23]
Jaaa, tuonyeshe huyo mungu Yuko wapi sasa
Wewe unaamini ili uishi ni lazima uvute hewa safi ya Oxygen.Jaaa, tuonyeshe huyo mungu Yuko wapi sasa
Tunauhifadhi kwenye mitungiWewe unaamini ili uishi ni lazima uvute hewa safi ya Oxygen.
Kwa macho yako ushawahi kuiona hewa ya Oxygen?
Nimekuuliza tokea umezaliwa ushawahi kuiona kwa macho yako hewa ya Oxygen?Tunauhifadhi kwenye mitungi
Oxygen ni colorless Kwa macho ya kawaida ya binadamu, Ila kama ukitumia vifaa maalumu cha kielektroniki ambacho hutumia mwanga wa ultraviolet ili kugundua uwepo wa oksijeni .Nimekuuliza tokea umezaliwa ushawahi kuiona kwa macho yako hewa ya Oxygen?
Hivi wewe una akili kweli?Oxygen ni colorless Kwa macho ya kawaida ya binadamu, Ila kama ukitumia vifaa maalumu cha kielektroniki ambacho hutumia mwanga wa ultraviolet ili kugundua uwepo wa oksijeni .
Umenielewa?
Kwasababu wewe ndio umewasilisha hoja ya hakuna mungu,
Wewe unaamini ili uishi ni lazima uvute hewa safi ya Oxygen.
Kwa macho yako ushawahi kuiona hewa ya Oxygen?
Haya majibu uswazi zaidi kwa hoja ngumu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kama MUNGU hayupo ile chumvi iliyopo kwenye maji ya bahari ameweka babu yako?
Na ile sukari iliyomo kwenye nanasi kaweka mjomba wako?
Kwenye hio Quran unayoibeza Allah amezungumzia miaka 1400 iliyopita mambo haya hapa ya Kisayansi ambayo wanasayansi wa karne hii ya 21 baada ya mapinduzi makubwa ya teknolojia wamekuja kuthibitisha kua mambo yote hayo ni ukweli mtupu.
View attachment 2826737View attachment 2826738View attachment 2826739View attachment 2826740View attachment 2826741View attachment 2826742View attachment 2826743View attachment 2826744
Post yangu No 1 nimeeleza unayoniuliza
Post yangu No 1 nimeeleza unayoniuliza
Pole ila kama unachosema hakitokani na kiburi cha moyo wako ila ni ufahamu hafifu unaopelekea imani ndogo kwa Mungu nakuombea wewe na mimi pia Mungu atuguse kwa namna ya kipekee ile tuweze kumfahamu japo katika mipaka hii hi ya uelewa wetu... Mungu na akubarikiNdio ushangae sasa huyu Mungu kwanini aoteshe mibangi
Mwezi uliopita nilikua Muhimbili wodi za watoto wa saratani
Yaani niliwaangalia wale watoto wadogo kweli jinsi wanavyopata tabu ya kansa na matibabu yake
Machozi yalinilenga aisee, unabaki unajiuliza kuhusu Mungu unakosa majibu
Acha blah blah THIBITISHA UWEPO WA MUNGU
Kwasababu mimi ni muumini wa SAYANSI na nikikwambia nithibitishie kisayansi utaanza porojo zingine [emoji23]
Sayansi gani kwanza? sayansi halisi hapana, labda pseudoscience [emoji23]Kwasababu mimi ni muumini wa SAYANSI [emoji23]
nikikwambia nithibitishie kisayansi utaanza porojo zingine[emoji23]
Toka utotoni nimelishwa kuna Mungu lakini HAKUNA hata mtu mmoja aliyewahi KUNITHIBITISHIA uwepo wa Mungu...... sio Askofu, shekh, mitume na manabii
Halafu mimi ninaye ambiwa kuna Mungu toka utotoni ndio natakiwa nithibitishe HAYUPO [emoji23]
Unajisumbua bure tu, nahisi ndonga lake limejaa TROJAN [emoji23]Kwasababu wewe ndio umewasilisha hoja ya hakuna mungu,