Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Toka utotoni nimelishwa kuna Mungu lakini HAKUNA hata mtu mmoja aliyewahi KUNITHIBITISHIA uwepo wa Mungu...... sio Askofu, shekh, mitume na manabii

Halafu mimi ninaye ambiwa kuna Mungu toka utotoni ndio natakiwa nithibitishe HAYUPO [emoji23]
Kwasababu wewe ndio umewasilisha hoja ya hakuna mungu,
 
Attachments zako hazifunguki mkuu
Hizi hapa Mkuu.
1701088779862.jpg
1701088750914.jpg
1701088724709.jpg
1701088701734.jpg
1701088675478.jpg
1701088636353.jpg
1701088605616.jpg
1701088568524.jpg
 
Nimekuuliza tokea umezaliwa ushawahi kuiona kwa macho yako hewa ya Oxygen?
Oxygen ni colorless Kwa macho ya kawaida ya binadamu, Ila kama ukitumia vifaa maalumu cha kielektroniki ambacho hutumia mwanga wa ultraviolet ili kugundua uwepo wa oksijeni .

Umenielewa?
 
Oxygen ni colorless Kwa macho ya kawaida ya binadamu, Ila kama ukitumia vifaa maalumu cha kielektroniki ambacho hutumia mwanga wa ultraviolet ili kugundua uwepo wa oksijeni .

Umenielewa?
Hivi wewe una akili kweli?
 
Kwasababu wewe ndio umewasilisha hoja ya hakuna mungu,

Mkuu nimeandika kwamba nimeanza kuaminishwa uwepo wa Mungu na wazazi wangu ikaja jamii kisha viongozi wangu wa dini...... hawa wote walianzisha wao kuniambia na kuniaminisha kuna Mungu lakini walishindwa kunithibitishia uwepo wake

Labda wewe unao, naomba nisaidie basi [emoji120]
 
Wewe unaamini ili uishi ni lazima uvute hewa safi ya Oxygen.
Kwa macho yako ushawahi kuiona hewa ya Oxygen?

Mkuu kwani uthibitisho wa uwepo wa kitu ni lazima UONEKANE KWA MACHO TU?

Hatuoni Sauti, harufu nk nk lakini tunao uthibitisho kuwa vitu hivyo vipo

Achana na simulizi za Mudi na Fundi kapenta wa Galilaya
THIBITISHA uwepo wa Mungu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kama MUNGU hayupo ile chumvi iliyopo kwenye maji ya bahari ameweka babu yako?
Na ile sukari iliyomo kwenye nanasi kaweka mjomba wako?

Kwenye hio Quran unayoibeza Allah amezungumzia miaka 1400 iliyopita mambo haya hapa ya Kisayansi ambayo wanasayansi wa karne hii ya 21 baada ya mapinduzi makubwa ya teknolojia wamekuja kuthibitisha kua mambo yote hayo ni ukweli mtupu.



View attachment 2826737View attachment 2826738View attachment 2826739View attachment 2826740View attachment 2826741View attachment 2826742View attachment 2826743View attachment 2826744
Haya majibu uswazi zaidi kwa hoja ngumu.
 
Ndio ushangae sasa huyu Mungu kwanini aoteshe mibangi

Mwezi uliopita nilikua Muhimbili wodi za watoto wa saratani
Yaani niliwaangalia wale watoto wadogo kweli jinsi wanavyopata tabu ya kansa na matibabu yake
Machozi yalinilenga aisee, unabaki unajiuliza kuhusu Mungu unakosa majibu
Pole ila kama unachosema hakitokani na kiburi cha moyo wako ila ni ufahamu hafifu unaopelekea imani ndogo kwa Mungu nakuombea wewe na mimi pia Mungu atuguse kwa namna ya kipekee ile tuweze kumfahamu japo katika mipaka hii hi ya uelewa wetu... Mungu na akubariki
 
Kwasababu mimi ni muumini wa SAYANSI na nikikwambia nithibitishie kisayansi utaanza porojo zingine [emoji23]

Unachojinasibu nacho hakikusadifu hakikupendi wala hukifahamu kwa kina, unatuharibia kaa chonjo
 
Toka utotoni nimelishwa kuna Mungu lakini HAKUNA hata mtu mmoja aliyewahi KUNITHIBITISHIA uwepo wa Mungu...... sio Askofu, shekh, mitume na manabii

Halafu mimi ninaye ambiwa kuna Mungu toka utotoni ndio natakiwa nithibitishe HAYUPO [emoji23]

Waliokuaminisha ndo waliyoanzisha hii mada JF?
 
Back
Top Bottom