Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

😂Unaongea tafkiri we jirani yangu vile...endelea kujikosha
Ndio maana nakuambia tutumie akili tu wewe uko limited huwezi kufirikia zaidi ya kufuata mawazo ya wanasayansi ambao hata kesho yao hawaijui😂😂.
 
Mungu hawezi kuwa katili kwa vile ana samehe...

Pia Mungu anaongoza nafsi ya mwanadamu ndio maana kuwa wabaya na watu wema ila wote anawapa riziki ,ukitaka kujua ukweli basi Mungu ataongoza nafsi yako utajua ila kama hutaki basi..

Wangapi walipinga wakaja kuamini uwepo wa Mungu.
Mkuu unaijua biblia yako kweli??
Biblia imeonyesha mara nyingi sana Mungu akiwa katili ntakukumbusha Sehemu chache...
  • Sodoma na Gomora
  • Wakati wa nuhu
  • WAKATI wa Musa na Herodi ( Kuacha watoto wote wauwawe na kupreserve only Musa na Yesu)
  • Na nyakati zingine zozote...
Pia naomba nikukumbushe hata yesu mwenyewe alikiri kuleta ubaya duniani...

Mathayo 10:34-35
"Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga.
Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu;"

tukiachana na hapo Mungu mwenyew kajinasini kuleta huo uovu..

Soma Isaya 45:7
"Mimi niliumba nuru, na kuliumba giza; mimi nafanya suluhu, na kutengeneza ubaya; Mimi ni Bwana, niyatendaye hayo yote."

MAOMBOLEZO 3:37-38
"Ni nani asemaye neno nalo likafanyika, Ikiwa Bwana hakuliagiza? J
e! Katika kinywa chake Aliye juu Hayatoki maovu na mema?"

hivyo ni vichache tu ila viko Vingi sana vinaonyesha ulichokataa
 
Mkuu unaijua biblia yako kweli??
Biblia imeonyesha mara nyingi sana Mungu akiwa katili ntakukumbusha Sehemu chache...
  • Sodoma na Gomora
  • Wakati wa nuhu
  • WAKATI wa Musa na Herodi ( Kuacha watoto wote wauwawe na kupreserve only Musa na Yesu)
  • Na nyakati zingine zozote...
Pia naomba nikukumbushe hata yesu mwenyewe alikiri kuleta ubaya duniani...

Mathayo 10:34-35
"Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga.
Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu;"

tukiachana na hapo Mungu mwenyew kajinasini kuleta huo uovu..

Soma Isaya 45:7
"Mimi niliumba nuru, na kuliumba giza; mimi nafanya suluhu, na kutengeneza ubaya; Mimi ni Bwana, niyatendaye hayo yote."

MAOMBOLEZO 3:37-38
"Ni nani asemaye neno nalo likafanyika, Ikiwa Bwana hakuliagiza? J
e! Katika kinywa chake Aliye juu Hayatoki maovu na mema?"

hivyo ni vichache tu ila viko Vingi sana vinaonyesha ulichokataa
Sijaongelea bible wala dini pia soma jina langu sijawahi kuwa mkristo ....Tufikirie kwa akili.

Tuweke dini pembeni na wewe uweke elimu yako ya kukariri pembeni maana wameandika binadamu kama wewe ,tutumie akili za binadamu ili tuende sawa.
 
Sijaongelea bible wala dini pia soma jina langu sijawahi kuwa mkristo ....Tufikirie kwa akili.

Tuweke dini pembeni na wewe uweke elimu yako ya kukariri pembeni maana wameandika binadamu kama wewe ,tutumie akili za binadamu ili tuende sawa.
Ok nimeweka pembeni vyote nakusikiliza lakini nikiweka vyote pembeni unakumbuka hata kuongea Ni matokeo ya mazingira na mafunzo uliyopata ukiwa mtoto...
Tabia ulonayo ni matokeo ya mazingira ilokulia ...
Sasa niliweka vyote nitajitambulisha mimi ni nani wakato hata lugha sikuja nayo nilifundishwa...
Sometimes you have to be stupid to learn not to be stupid
 
Ok nimeweka pembeni vyote nakusikiliza lakini nikiweka vyote pembeni unakumbuka hata kuongea Ni matokeo ya mazingira na mafunzo uliyopata ukiwa mtoto...
Tabia ulonayo ni matokeo ya mazingira ilokulia ...
Sasa niliweka vyote nitajitambulisha mimi ni nani wakato hata lugha sikuja nayo nilifundishwa...
Sometimes you have to be stupid to learn not to be stupid
Kama uliona sehemu niliquote hata mstari wa kitabu ,nataka utumie akili sio elimu ambayo hata kinjiti ya kibiriti huwezi kuunda.

Nimekumbia hata jamii zote zinatambua uwepo wa Mungu ndio maana kuna wanaabudu mzimu hata hapa Tanzania ni maprofessor ila wanafanya kafara kweny mizimu yao ,wanaheshimu mila na tamaduni zao katika kuamini na kutukuza mizimu yao na maisha yanaenda..

Huo ni mfano kuna kitu nje ya uwezo wa binadamu kinaratibu mambo ya dunia ndio maana nikakupa ishu ya mizimu pia wapo wanaoabdu miti ...Hapa nimekuwa hisia za binadamu juu ya uwepo wa Mungu sio dini wala sijaandikq maandiko nimetumia akili ya kuzaliwa...

Binadamu kama binadamu kiumbe chenye akili kinajipenda na kuweka ubinafsi ,jaalia leo binadamu anapanga yeye maisha yake (kuwa tajiri au laah) au anapanga muda wq kuishi ,anapanga kuzaliwa jamii fulani au hata jinsiq gani aww akiwa hapa duniani..

Katika mambo yote duniani yanayotokea licha ya tofauti zetu kiuchumi, akili ,elimu ,asili hata utaifa na vingine ....Kuna mambo yanatufanya tuwe sawa kwa tabia za binadamu sasa sana ni kuhsu hatma ya maisha yetu ndio maana sote tuna furaha na huzuni pia hakuna anayejua kesho yake katika viumbe wote hakuna mweny uwezo huo isipokuwa Mungu pekee.
 
Kama uliona sehemu niliquote hata mstari wa kitabu ,nataka utumie akili sio elimu ambayo hata kinjiti ya kibiriti huwezi kuunda.

Nimekumbia hata jamii zote zinatambua uwepo wa Mungu ndio maana kuna wanaabudu mzimu hata hapa Tanzania ni maprofessor ila wanafanya kafara kweny mizimu yao ,wanaheshimu mila na tamaduni zao katika kuamini na kutukuza mizimu yao na maisha yanaenda..

Huo ni mfano kuna kitu nje ya uwezo wa binadamu kinaratibu mambo ya dunia ndio maana nikakupa ishu ya mizimu pia wapo wanaoabdu miti ...Hapa nimekuwa hisia za binadamu juu ya uwepo wa Mungu sio dini wala sijaandikq maandiko nimetumia akili ya kuzaliwa...

Binadamu kama binadamu kiumbe chenye akili kinajipenda na kuweka ubinafsi ,jaalia leo binadamu anapanga yeye maisha yake (kuwa tajiri au laah) au anapanga muda wq kuishi ,anapanga kuzaliwa jamii fulani au hata jinsiq gani aww akiwa hapa duniani..

Katika mambo yote duniani yanayotokea licha ya tofauti zetu kiuchumi, akili ,elimu ,asili hata utaifa na vingine ....Kuna mambo yanatufanya tuwe sawa kwa tabia za binadamu sasa sana ni kuhsu hatma ya maisha yetu ndio maana sote tuna furaha na huzuni pia hakuna anayejua kesho yake katika viumbe wote hakuna mweny uwezo huo isipokuwa Mungu pekee.
Hapa kidogo nimeona Umeandika Point yenye maana sana...
Na yenye nguvu sana na ndo Maana ukisoma Mystery za Wamisri waliwaita Mungu watawala wao
 
😂😂😂okay naona Iran Ina ustawi kuliko Sweden sawa...

Countries with Highest Rape Rates​

1. Botswana – 96.87
2. Lesotho – 89.29
3. Grenada – 88.87
4. Sweden – 87.97
5. Eswatini – 82.73
6. South Africa – 70.22
7. Saint Kitts and Nevis – 56.4
8. Panama – 53.98
9. Iceland – 46.3
10. Suriname – 43.3

 
Hakuna ujasiri wowote mkuu

Dhana nzima ya Mungu does not make sense at all
Hao make sense kivipi ?

Fafanua tuone, maana sisi wengine wengine tunaona hilo haliwezekani.
 
Sasa Mungu hayupo kwa namna yeyote ile, Haonekani, Hashikiki wala Hasikii.
Swali la msingi, umejuaje kama hayupo ?

Shida yenu wakana Mungu huwa mnaona jukumu la uthibitisho lipo kwa wale wanao kiri, wakati kiuhalisia nyinyi ndio mnatakiwa muanze kuthibitisha ya kuwa umejuaje kama Mungu hayupo ?

Na utuambie kitu ambacho hakipo kina sifa gani ? Na je kitu ambacho hakipo na hakijawahi kuwepo umekidiriki vipi kama hakipo ?

Msikimbie hili swali la msingi.
 
Wewe unamuamini Mungu kwasababu umelelewa na kukuzwa kuamini hivyo

Ila Mungu hayupo
Ila akili iliyo salama inakiri uwepo wa Mungu. Ukiona unakana uwepo wa Mungu ujue akili yako ina shida au unafikiria mambo kitoto sana au juu juu sana.

Mimi nataka utuambie umejuaje kama Mungu hayupo ?
 
Nimezaliwa na kulelewa kidini
Niliamini kila kitu kuhusu Mungu toka nikiwa mdogo

Lakini kadiri nilivyokua nazidi kukua na akili kuzidi kupata ufahamu zaidi dhana nzima ya Mungu ikaanza kuwa inatia mashaka..... yaani maswali mengi majibu blah blah
Ikafika mahali dhana nzima ya Mungu ikakosa kabisa mantiki akilini mwangu


Nikaona nijishughulishe kumjua zaidi huyu Mungu nikiwa na AKILI ZANGU TIMAMU na sio kutishwa na viongozi wangu wa dini ambao nilipokua nawadadisi waliishia kunitisha NAKUFURU, mara shetani kaniingia, mara nimuombe sana Mungu, mara sijui nizame kiroho nk nk

Bandiko langu ni sehemu tu ya niliobaini kuhusu dhana ya Mungu
Onyesha wapi dhana ya uwepo wa Mungu ina mashaa, kisha nikuulizie maswali kadhaa ujibu.
 
Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu

Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea

Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata

Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje

Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake

Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair

Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu

Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk

Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi

Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa

This is the biggest scam ever
Nimeipenda hii, watu tunaangamizwa na wachungaji wengi ndio wavunja ndoa za watu, hasa wanawake wamekuwa kama mazombie hawaelewi cha mume wala nini wao wanamsikiliza Nabii Tu, ukija Kwa masheikh nako balaa, watu wanfundishwa karate na majambia Tu, eti wampiganie Allah, hivi Mungu gani hawezi kujilinda mwenyewe???
 
Unapoandika ..."nazijua vizuri hizi dini"... ndiyo sehemu uliyojikaanga kwa mate yako.Lazima uungue tu.Nakudokeza,huna ujualo.Na kama kuna uliyofundishwa basi ulikuwa unapewa simulizi bila kupewa maelezo sahihi ya kiimani na uelewa thabiti.
USHAURI:Kama dini hizo zimekuwa ngumu sana kwako kueleweka ni vema uachane nazo na utafute mbadala uupendao na kuuhitaji.Ni rahisi tu!
Dini ni usanii tu wa Muddy na Issa wake, hakuna lolote
 
Swali la msingi, umejuaje kama hayupo ?
Hayupo kwa sababu haonekani, Hashikiki, Hasikiki wala Haisiki.

Hayupo kwa namna yeyote ile, zaidi ya mawazo ya kufikirika tu.

Mungu huyo Hayupo katika uhalisia bali ni dhana ya kufikirika tu, imaginations just an illusion.
Shida yenu wakana Mungu huwa mnaona jukumu la uthibitisho lipo kwa wale wanao kiri, wakati kiuhalisia nyinyi ndio mnatakiwa muanze kuthibitisha ya kuwa umejuaje kama Mungu hayupo ?
Kitu kinaweza kuwepo angalau kwa namna mojawapo ya kuonekana, kusikika, kushikika au kuhisika.

Sasa, Mungu huyo Hayupo kwa namna yoyote ile.
Na utuambie kitu ambacho hakipo kina sifa gani ? Na je kitu ambacho hakipo na hakijawahi kuwepo umekidiriki vipi kama hakipo ?
Kitu ambacho hakipo, Kina sifa ya kutokuwepo katika uhalisia wa kuonekana, kushikika, kusikika au kuhisika.

Sifa yake ni mawazo ya kufikirika tu imaginations.

Hivyo hakipo kwa namna yoyote ile.

Msikimbie hili swali la msingi.
Sasa kama unajua Mungu yupo,

Niambie Mungu huyo yupo katika namna gani?

Kama unajua Mungu yupo Niambie ana umbo gani?

Kama umeweza kujua Mungu yupo elezea, umewezaje kujua yupo elezea yupo kwa namna gani, Na si mawazo yako ya kufikirika tu.
 
Hivi,huwa unasoma biblia Kama wewe ni mkristo?Umewahi kupata miongozo ya namna ya kuisoma?Huwa unauliza unapotatizika au huwa unakimbilia kulalama tu?Unaamini katika lipi hadi sasa?
Acha kuamini mavitabu yanayokinzana yenyewe Kwa yenyewe, Aya Kwa aya,mavitabu yenyewe yameletwa kwenye majahazi na walewale waliowatesa babu na Bibi Zetu, waliwalawiti, waliwauza kama maboga, eti hao hao ndio wageuke Leo watuletee kitu Cheney faida kweli?
 
Back
Top Bottom