Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Kanuni yako hii ni ya UONGO na mimi nai prove wrong hapa.

Ukishasema kila kitu na Allah pia anabeba sifa za "kitu" ana jumlishwa huko kwenye vitu vyote. Na kanuni ni hivi 👇

Kama kila kitu kilichopo na Allah huyo unakiri yupo kwa sababu ni kitu kilichopo kwamba Lazima kiwe na chanzo, Basi hata huyo "Allah" Lazima awe na chanzo, Na chanzo chake Allah kiwe na chanzo chake, Na chanzo chake Allah chanzo chake Lazima kiwe na chanzo chake.

Ili muundo wa Kanuni hii ya kwamba "Lazima kuwepo chanzo cha kila kitu kilichopo" uwe na muundo ule ule wa kuonesha ulazima huo, to infinity (Endless)
Hii kanuni huwezi kuikosoa ndio maana hata hapa umeshindwa pia. Kanuni imemtoa Allah Japo na yeye ni kitu.

Kanuni inasema kila kitu isipokuwa Allah, hapo tayari imeshamtoa Allah, Sasa uongo uko wapi na kanuni Iko wazi ? Uwe unasomwa kwa kuelewa usisome ilimradi.

Nilikupa kazi hapa uje uthibitishe ukweli wa "Infinity" naona unaruka ruka tu.
 
Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote kuumba ulimwengu wenye kuruhusu mabaya(uovu+Majanga n. K)

Ni contradiction ama siyo contradiction?
Hii si Contradictions sababu yeye ni muweza wa yote. Hivi hiki mnachokoandika huwa mnakofikiria ?

Yaani anafanya Yale ambayo akili yako haiwezi kuyadiriki.

Onyesha Contradictions Iko wapi hapo ?
 
Nataka ukosoe hayo kwa elimu na hoja.

Jua linatembea au halitembei ?

Suala la kuzama matopeni hili limeshaelezwa zaidi ya mara moja humu ndani.

Naam jua linaomba ruhusu, sababu ni kiumbe.

Hivyo vitu huvijui wewe, na hakuna zaidi ya Allah.

Nitakuuliza hivyo vitu vinaweza kuwa na sifa gani ?
Aibu ya dini yako hii ambayo bado inafundisha jua linazama kwenye matope. (Quran 18:86)

Mara sperm zinatoka kwenye uti wa mgongo.

Kwamba jua linaenda kusujudu, mara mpaka liruhusiwe na Allah ndo lichomoze.

Kwamba milima imewekwa ili kufanya dunia iliyoflat isiyumbe yumbe.(21:31)

Kwamba kuna sehemu jua huwa linachomoza na huko Mungu hajawawekea hata pazia la kuwakinga nalo (18:90)

Katika karne hii, kung'ang'ania haya ni Upumbavu na si ujinga
 
Ameweza vipi kuwepo bila kuumbwa?

Nkikwambia dunia na watu hawajaumbwa bali wapo utasemaje!?

Kwanini unaongea as if tushakubaliana kuwa yupo kweli!?

Umethibitisha uwepo wa huyo Allah!?
Nani alikwambia kila kilichopo lazima kiwe kimeumbwa ?

Nilikuuliza swali, nipe sababu tatu au mbili zinazo onyesha ulazima wa kuumbwa yule ambaye ni chanzo Cha kila kitu ?

Sasa unashindwa nini kuthibitisha ya kuwa hayupo ?
 
Hii si Contradictions sababu yeye ni muweza wa yote. Hivi hiki mnachokoandika huwa mnakofikiria ?

Yaani anafanya Yale ambayo akili yako haiwezi kuyadiriki.

Onyesha Contradictions Iko wapi hapo ?
Uweza wake wote ungemfanya aumbe ulimwengu usio na mabaya.

Kama Mungu ni mwenye upendo wote kwanini anaruhusu tetemeko liue watu!?
 
Aibu ya dini yako hii ambayo bado inafundisha jua linazama kwenye matope. (Quran 18:86)

Mara sperm zinatoka kwenye uti wa mgongo.

Kwamba jua linaenda kusujudu, mara mpaka liruhusiwe na Allah ndo lichomoze.

Kwamba milima imewekwa ili kufanya dunia iliyoflat isiyumbe yumbe.(21:31)

Kwamba kuna sehemu jua huwa linachomoza na huko Mungu hajawawekea hata pazia la kuwakinga nalo (18:90)

Katika karne hii, kung'ang'ania haya ni Upumbavu na si ujinga
Sasa kosoa hayo ili tukuone wewe ni mkweli ?

Usiruke ruke, nipo hapa nataka ianze kukosoa nukta baada ya nukta.
 
Uweza wake wote ungemfanya aumbe ulimwengu usio na mabaya.

Kama Mungu ni mwenye upendo wote kwanini anaruhusu tetemeko liue watu!?
Huo ni udhaifu, sababu anakuwa na uwezo wenye ukomo.

Ushawahi kufikiria hiki kitu ?

Sababu anataka liwe na ndio maana anaruhusu tetemeko litokee, na linatokea kwa sababu ya kuwapa adhabu au kuwakumbusha.

Ukifatilia katika haya majanga, yanayo tokea utakuta watu husika Kuna makosa wanayafanya, kwahiyo inakuja kama adhabu au uzinduo kwa yale wanayo yafanya, na huu ndio utaratibu alio uweka Allah na haubadiliki.
 
Tunarudi pale pale kwenye concept ya Russle

Nikikwambia Kuna kibuyu cha kinyiramba kinazunguka kwenye orbt ya jua utaamini?

Ofcoz hutaamini lakini pia huwezi kuprove kama sio kweli
Ni wajibu wangu kujuthibitishia

Sasa kazi kwako kuthibitisha ukweli huu
Hili nimeshalielezea Jana rejea nilicho kiandika. Nilimaliza kila kitu kuhusu hili.
 
Nani alikwambia kila kilichopo lazima kiwe kimeumbwa ?

Nilikuuliza swali, nipe sababu tatu au mbili zinazo onyesha ulazima wa kuumbwa yule ambaye ni chanzo Cha kila kitu ?

Sasa unashindwa nini kuthibitisha ya kuwa hayupo ?
Kuna ambae ni chanzo cha kila kitu!?
 
Wewe ni mbinafsi sana, na inaonyesha Mungu huyo pia ni mbinafsi sana na mwenye upendeleo kwa kutoa Afya na uzima kwa upendeleo.

Maelfu ya watu wamekufa kwa tetemeko la ardhi huko Morocco, ila Mungu huyo mtoa Afya na uzima sijui alikuwa amesinzia wakati wa tetemeko hilo akashindwa kuwa okoa watu hao wasi angamie?

Kama ni Mungu mwema, Alishindwaje kuzuia tetemeko hilo lisitokee?

Haya, Yani hata Vilio vya watu wa Morocco havijaisha kwa tetemeko baya sana, Lililo shindwa kuzuiliwa na Mungu huyo,👇

Jana nchi ya Libya ikapigwa na Mafuriko yaliyo Ua tena maelfu ya watu, Mungu huyo nadhani ana jisahau sana....!!!

Yani juzi tu Mungu kashindwa kudhibiti tetemeko la Morocco, jana tena mafuriko yakaja aka sahau kuyadhibiti yasitokee...!!!!

Halafu unasema Mungu huyo ni mwema sana anatoa Afya na uzima?

Yani kashindwa kudhibiti tetemeko la ardhi na mafuriko yasitokee na kuua watu, Wewe unakuja kumtetea eti, ana toa Afya...!!!

Nakwambia hivi 👇

Mungu huyo ni mkatili sana.View attachment 2747686
😂😂Yanatokea majanga wengine wanakufa ni njia tu ya kifo ,ila hata ukiumwa utakufa hata bila ya majnga na magonjwa utakufa.


Mungu huyo kapendelea Tanzania isipate hayo majanga makubwa mbona husemi kwamba kapendelea.

Mungu sio kwamb hawezi kuzuia ila yeye ndio kapanga hta katika hayo mafuriko sio wote wamekufa ni baadhi, majanha kama hayo yapo nje ya uwezo wetu hakuna anayependa yatokeee ila ni Mungu muweza na hakuna jinsi unaweza kuzuia.

Mungu huyo kakupendelea wewe usiwe mlemavu na kakupa akili ni neema jaribu kushuruku ,huwezi kuonq neema mpaka yakufike..

Huoni hapo umeona umuhimu wa uhai basi unapumua bure mpaka uumwe ukapewe mtungi wa oxygen uanze kulipia ndio utajua kwambq kupumua tu ni upendeleo.


Neema za Mungu ni countless na huwezi kuzijua mpaka ziondoke na ni nyingi kuliko mjanga.
 
😂😂Yanatokea majanga wengine wanakufa ni njia tu ya kifo ,ila hata ukiumwa utakufa hata bila ya majnga na magonjwa utakufa.


Mungu huyo kapendelea Tanzania isipate hayo majanga makubwa mbona husemi kwamba kapendelea.

Mungu sio kwamb hawezi kuzuia ila yeye ndio kapanga hta katika hayo mafuriko sio wote wamekufa ni baadhi, majanha kama hayo yapo nje ya uwezo wetu hakuna anayependa yatokeee ila ni Mungu muweza na hakuna jinsi unaweza kuzuia.

Mungu huyo kakupendelea wewe usiwe mlemavu na kakupa akili ni neema jaribu kushuruku ,huwezi kuonq neema mpaka yakufike..

Huoni hapo umeona umuhimu wa uhai basi unapumua bure mpaka uumwe ukapewe mtungi wa oxygen uanze kulipia ndio utajua kwambq kupumua tu ni upendeleo.


Neema za Mungu ni countless na huwezi kuzijua mpaka ziondoke na ni nyingi kuliko mjanga.
Je unapenda kumuona mwanao unayempenda sana akiwa anataabika na magonjwa, akiwa anapatwa na ajali hadi kuwa kilema,

Unapenda wale uwapendao wafe!?
 
Je unapenda kumuona mwanao unayempenda sana akiwa anataabika na magonjwa, akiwa anapatwa na ajali hadi kuwa kilema,

Unapenda wale uwapendao wafe!?
Wewe ulitaka apate mtoto wa jirani tu sio wako.!!

Katika Dunia hii Mungu anaweza kuleta janga kwa yeyote yule na mda wowote ,mimi na wewe wote ni sawa tu ..
 
Unaweza kuwa bingwa wa kutukana,
Lakini ukweli ni kwamba definition ya ujinga ni kutokufahamu mambo kwa usahihi.

Ni kheri kuwa mjinga kuliko mpumbavu.

Hekima imekuwa ikikufuata lakini wewe umekuwa na kasi kubwa.

Hasira hazitokusaidia

Relax

Mambo mazito yaliyosumbua watu na yalielezewa kwa dhana ya miungu ni kama yafuatayo

1.Radi
2.Kutokea kwa Usiku na mchana
3.Mechanism za mwili (ikiwemo sperm zinapotoka)
4.Tetemeko la ardhi
5. Sayari kuzunguka jua

Je wewe waweza thibitisha Mungu yupo nje ya kwamba unaamini tu.!?

Kwenye dhana tu ya kuwepo huyo Mungu, msingi wake ni tata sana kiasi cha dhana hiyo kuanguka vibaya.

Can you refute those contradiction!!?
1.Radi
2.Kutokea kwa Usiku na mchana
3.Mechanism za mwili (ikiwemo sperm zinapotoka)
4.Tetemeko la ardhi
5. Sayari kuzunguka jua

We bro unachekesha sana Yani hayo ndio mamba ambayo binadamu ameweza kuyafahamu na kuyaelezea pasipo dhana ya uwezo wangu ? Nani aliyekudanganya? Wewe Wala haujasoma Sayansi hayo mambo uliyoyataja hapo yote wanasayansi wamechemka

1) RADI
Radi inatokana na mvutano wa electron zenye chaji zinazofana either zote ni +ve au zote ni -ve

Nani aliyetengeneza hizo electron wanasayansi hawana majibu

Nani amezifanya hizo electron zibebe change wanasayansi hawana majibu

Umeme wa radi wanasayansi wameshindwa kuuchukua na kutumia pia Wanashangaa jinsi ulivyo na mamilioni ya voltage

Katika hili Mungu amebaki kuwa Mungu

2) KUTOKEA USIKU NA MCHANA
Usiku na mchana unatokea Kwa sababu Dunia inajizungusha yenyewe

Wanasayansi wanasema Ili kitu kimuvu lazima kuwe na external force
External force inayoifanya Dunia uzunguke ni ipi Hadi Leo wanasayansi hawana majibu na kwanini rotation speed ya Dunia ipo constant pia wanasayansi hawana majibu

3) MECHANISM ZA MWILI
Mechanism zote za mwili zinatumia umeme Hadi Leo hii wanasayansi hawajui source ya huo umeme Nini

4) TETEMEKO LA ARIDHI
Hadi Sasa wanachujua wanasayansi ni kupima ukubwa wa tetemeko yaliyobakia yote wanabahatisha na ndio maana nchi kama Uturuki Wana wanasayansi wengi lakini walishindwa kujua tetemeko litatokea LIni , saa ngapi na Lina ukubwa gani

5) SAYARI KUZUNGUKA JUA
Ingia katika website ya NASA Kila siku wanagundua vitu vipya maana yake ni kwamba hawana majibu sahihi kuhusu mfumo wa ulimwengu

Yani kama Kuna mtu amekuambia wanasayansi wanajua Kila kitu kuhusu huu ulimwengu na viumbe wake basi amekudanganya

We endelea tu kukaa na ujinga wako kuwa hakuna Mungu

Mbona hazizuki Sayari nyingine na viumbe vingine vipya kama Kila kitu kimezuka
 
[emoji23][emoji23]Yanatokea majanga wengine wanakufa ni njia tu ya kifo ,ila hata ukiumwa utakufa hata bila ya majnga na magonjwa utakufa.


Mungu huyo kapendelea Tanzania isipate hayo majanga makubwa mbona husemi kwamba kapendelea.

Mungu sio kwamb hawezi kuzuia ila yeye ndio kapanga hta katika hayo mafuriko sio wote wamekufa ni baadhi, majanha kama hayo yapo nje ya uwezo wetu hakuna anayependa yatokeee ila ni Mungu muweza na hakuna jinsi unaweza kuzuia.

Mungu huyo kakupendelea wewe usiwe mlemavu na kakupa akili ni neema jaribu kushuruku ,huwezi kuonq neema mpaka yakufike..

Huoni hapo umeona umuhimu wa uhai basi unapumua bure mpaka uumwe ukapewe mtungi wa oxygen uanze kulipia ndio utajua kwambq kupumua tu ni upendeleo.


Neema za Mungu ni countless na huwezi kuzijua mpaka ziondoke na ni nyingi kuliko mjanga.
Kapendelea Tanzania isipate majanga au sio [emoji23][emoji23] maana yake nifurahi majanga yamepelekwa nchi zingine kwa wanadamu wengine ambao sio mimi si ndio?

Kapanga mafuriko ambayo yataua hadi watoto, majengo yatabomoka yatadondokea wamama wajawazito yataua watoto ambao hawajazaliwa ila anatupenda sana na ana huruma na sisi [emoji1787][emoji1787].

Kanipendelea mimi sio mlemavu; kwanini hata yule mlemavu asingempendelea kama mimi? kinachomshinda nini? au atapungukiwa nini binadamu wote akiwafanya wazima bila ulemavu?

Conclusion rahisi tu hapa yaani huyu mungu katuumba sisi kama vifaa vya kuonyeshea uwezo wake anaumiza wengine Ili wengine tuone tumependelewa halafu bado anataka tuamini anatupenda sana na anatuwazia mema kiukweli tukionana naye sio sisi wakumuomba msamaha yeye ndo anatakiwa atuombe sisi msamaha.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom