Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Logical non sequitur

Mbona hakuna Mungu wala shetani ila bado tunaweza kupima mema na mabaya!?

Logical non sequitur

Wewe umeathirika na mapokeo ya dini.

Unataka kusema kuwa ubaya ni lazima awepo shetani!?

Habari ya lipi jema lipi baya ni tafsiri ya ubongo tu.

Kigezo cha kujua hayo ni kupima mambo ambayo ukifanyiwa wewe utafurahi ama utachukia.


Logical non sequitur

Ninaweza nikawa siamini na nkauchukia ama nisiuchukie ushoga.

Issue ni tafsiri ya ubongo.!!

Unauhakika na madai haya!?

Kwasababu ulimwengu unatanuka kila siku, inaonesha kabisa kuwa Ulimwengu ulianza katika nukta ndogo na ulikuwa na kiwango kikubwa cha nishati kilichojaa katika eneo dogo sana ndio ukaanza kutanuka.

ulimwengu wetu ulianza kutoka hali ya joto na mnururisho mwingi sana miaka bilioni kama 13.8 iliyopita.

Kisha, ghafla ulimwengu ulianza kupanuka kwa kasi kubwa.Hii ilisababisha joto na nishati kuanza kupoa na kuruhusu atomi na molekuli kuunda na kutokea. Baada ya mamilioni ya miaka, ulimwengu ulianza kuwa na muundo unaofanana na ulivyo leo, na nyota, sayari, na vitu vingine vyote vilivyopo katika ulimwengu wetu vilianza kutengenezeka

kugunduliwa kwa mnururisho wa cosmic microwave background (CMB) na uwezo wa kuona ulimwengu ukiongezeka kwa kasi kwa kutumia darubini za anga ni ushahidi wa madai haya.

Viumbe vimetokea vyenyewe,
reaction mbalimbali za kikemia zilisababisha viumbe kutokea

Vitu kama RNA, DNA vilitangulia.

Miller experiment ilikuwa jaribio la kujaribu kuelewa jinsi molekuli za kikaboni zinaweza kuundwa katika hali ya zamani ya dunia, inayofanana na ile iliyokuwepo kabla ya kuwepo kwa uhai. Experiment hii ililenga kujenga hali ya "dunia ya zamani" katika maabara na kuchunguza ikiwa hali hiyo inaweza kutoa molekuli za kikaboni, ambazo ni muhimu kwa uhai.

Miller alianzisha mfumo wa maabara uliokuwa na viungo vya kemikali muhimu katika ulimwengu wa zamani, kama vile methane (CH4), ammonia (NH3), maji (H2O), na hidrojeni (H2). Kisha alitumia umeme kuigiza umeme wa radi katika anga la zamani ya dunia.

Baada ya siku kadhaa za majaribio, Miller aligundua kuwa mfumo wake ulikuwa umetengeneza asidi amino, ambazo ni vitengo muhimu vya kujenga protini, molekuli muhimu kwa uhai. Hii ilikuwa ni moja ya ushahidi wa awali wa jinsi molekuli za kikaboni zinaweza kuundwa kutoka kwa viungo vya kikemia katika mazingira yanayofanana na yale ya zamani ya dunia.

Sisi ni binadamu na sio ng'ombe Because of Natural selection.

Unaweza kuthibitisha Mungu wako yupo?
Wanasayansi wanavyosema binadamu ametokana na sokwe unaamini ni kweli
 
Jifunze kujibu hoja.

Jee hakuna sababu maalum ya watu kuongezeka?

Mnasema Kila kitu Lazima kiwe na chanzo, au siyo?

Kwa miaka Mingi wapinga Mungu walikuwa wanajadili kati ya Yai na kuku kipi kimetangulia?

Mwisho Wa siku wamekuja kusema kuwa Yai ndio limetangulia. Wakiulizwa Yai nalo limetoka wapi Wanasema eti lilikuwepo tu!!!

Hivi siyo utoto kudhani kuwa dunia ipo tu haina Mwanzo Wala mwisho??

Na wewe huoni ni utoto tu kudhani Mungu yupo tu, Hana mwanzo wala mwisho?

Nilisha kwambia kwamba uki anza kuweka ulazima wa dunia iwe na mwanzo na mwisho, Basi hata huyo Mungu lazima awe na mwanzo na mwisho.

Ili muundo wa ulazima huu ufuatwe, pasiwepo kitu chochote kilicho jitokeza chenyewe tu pasipo mwanzo.

Kama una amini Mungu yupo tu, Unashindwaje kuamini pia yai lipo tu?

Je na wewe sio utoto huo, kuamini Mungu yupo tu bila chanzo?
Hofu ni kusema kama Ina Mwanzo basi Lazima isemwe ilianzaje, na ukisema ilianzaje itabidi ukiri yupo aliyeanzisha na kama Ina mwisho mwisho wake utakuwaje.

Nadharia nyingi mnazotumia kupinga kwamba Kuna Mungu ni za kukariri toka watu wengine na ndiyo maana mkiulizwa maswali rahisi mnasema ni maswali ya kitoto.
Kama ni utoto kuamini dunia ipo tu, Basi pia ni utoto kuamini Mungu yupo tu.
 
Hivi kwani kila kisemwacho kipo, lazima kiwepo?

Wakristo waki kuambia wewe Kisai "Yesu na Bikira Maria" wapo utakubali kwamba wapo kwa vile umeambiwa wapo na umesikia wapo?

Kama huwajui "Yesu na Bikira Maria" je ni kwamba hawapo au wapo?

Inaonekana una tetea sana dini yako ya uislamu, Hujengi hoja.

Niambie una amini uwepo wa Yesu kristo?

Na kama huamini, je ni kwamba Yesu huyo hayupo?
Wakisema wapo nitahoji, ili nipate ushahidi juu wa jambo hilo.

Kama siwajui nitaulizia ili niwajue, na katu siwezi kudai hawapo kisa siwajui.

Wapi sijajenga hoja ?

Naamini uwepo wa Yesu mwana wa Maryam, ama kuhusu Kristo inabidi mlete ushahidi mtuambie, tamko Ukristo limekuja lini au limeanza lini ? Je Yesu akisema yeye ni Kristo au ?

Jalia ningekuwa siamini, katu nisinge kuanusha uwepo wake au kutokuwepo kwake mpaka nipate elimu sahihi kuhusu viwili hivyo au kimoja wapi.
 
Nani kijana?

Njia aliyotumia, kwa mtazamo wako (yaani kumuua) ni ya upendo?

Je, ni ya huruma au ni ya ukatili?
Je, itafurahisha au itahuzunisha ndugu, marafiki na jamii.
Unaweza kuwa kijana au mtoto kutokana na uchache wako wa maarifa hata kama una miaka zaidi ya 80. Na unaweza kuwa mkubwa ki maarifa hata kama Nina miaka chini ya 30.

Naam, kifo ni haki ya kila mtu aliye hai. Bali ni hatua katika Ile safari ya kutafikia malengo yetu. Sasa utasemaje sio upendo na mtu unapata stahiki yako yaani haki yako ?

Haijalishi italeta huzuni au furaha, kifo ni muda tu, ndio maana tunaambiwa kila nafsi itaonja umauti. Mtoto akifa utotoni ujue huo ni wakati wake umefika, akipangiwa kufa kwa janga au kuumwa kama sababu basi hiyo haiepukiki.
 
🤣Hata brahma kasema ameumba mbingu ardhi na kila mtu...hata Zeus pia...so lazma mmoja awe mkweli au wote wawe wanadanganya
Kusema sio hoja, hata wewe unaweza kusema hilo. Shida inakuja kuthibitisha ukweli wa hilo.

Nitakuuliza Brahma alisema haya wapi na lini ?

Ili ujue ukweli, unatakiwa usome Historia za hao miungu na watu ambao wanawaelezea hao Miungu. Mfano wa haraka na mwepesi ni kuhusu Zeus, huyu anatajwa na Wagiriki, ukisoma habari za Wagiriki ni watu ambao waliacha ufunuo na kufata akili zao na matamanio yao, ndio wakaja kutofautiana juu ya ni nini chanzo Cha Maisha ? Wapo walio sema Moto, wapo waliosema Moshi, wapo waliosema Hewani, ilimradi kila mmoja alitoa maelezo yake kwa anavyo ona yeye.

Lakini anatajwa kama ni mtu. Maana yake tu kwa sifa yake hii hawezi kuwa Mungu huyu.
 
🤣🤣🤣Watu washakuchoka wewe...Kama unatetea ujinga eti jua linaenda kuomba ruhsa kwa Allah usiku ili lichomoze... unategemea nani atakaa kubishana na wewe...we pekee ndo unabaki kutetea dini yako ya mchongo... wenzako wanatetea uumbaji something outside religion we bado unakomaa na pedophile mudi
Sasa si uthibitishe ya kuwa haliendi na utuambie umejuaje kama haliendi. Mbona rahisi sana kijana.

Unapo Pinga kitu fulani sisi tunakudhania ya kuwa unaelimu kubwa juu ya kitu hicho, kwahiyo unatakiwa kututhibitishia ukweli ulivyo. Sasa haya malalamiko unayo leta hayaleti maana, unapoteza muda kwenye hakuna.
 
Tofautisha Muhammad aliyejua jua linazunguka dunia afu nyota ni mapambo na silaha za kupiga mashetani wasikaribie the throne of allah na wanasayansi waliothibitisha jua ni nyota. Wewe na elimu yako ya 690 AD huwezi elewa ukiambiwa nyota zile zipo mbali sana ndo maana zinaonekana vile na kuwa jua ni dogo compared to hizo nyota
Msingi wa Sayansi ni nini kijana ? Maana usiipe Sayansi kazi ambayo Haina uwezo wa kuifanya.

Sasa ulisema hivyo unatakiwa ulete ushahidi hizi unazoandika wewe ni stori za wanasayansi, ambazo haina ushahidi wowote.

Nakuuliza swali dogo, ili ujue ukubwa kitu na mlinganisho wake kwa kingine au vingine, unatakiwa uzingatie vitu gani ?
 
Unaweza kuwa kijana au mtoto kutokana na uchache wako wa maarifa hata kama una miaka zaidi ya 80. Na unaweza kuwa mkubwa ki maarifa hata kama Nina miaka chini ya 30.

Naam, kifo ni haki ya kila mtu aliye hai. Bali ni hatua katika Ile safari ya kutafikia malengo yetu. Sasa utasemaje sio upendo na mtu unapata stahiki yako yaani haki yako ?

Haijalishi italeta huzuni au furaha, kifo ni muda tu, ndio maana tunaambiwa kila nafsi itaonja umauti. Mtoto akifa utotoni ujue huo ni wakati wake umefika, akipangiwa kufa kwa janga au kuumwa kama sababu basi hiyo haiepukiki.
Nimeuliza kama kitendo cha mzazi kumuua mtoto wake kitakua cha upendo. Je, kitakua cha huruma? Je, kitakua cha furaha kwa ndugu, marafiki na jamii?

Unajibu kifo ni haki ya mtu aliye hai.
Haijalishi kinaleta huzuni au furaha.
Mara mtoto akifa ujue huo ni wakati wake umefika.

Hapo umejibu swali gani kati ya niliyo kuuliza?
 
Infropreneur ngoja nisake ugali kwanza jioni nitarudi kuendelea na huu mnakasha.

Dunia ipo tu bila ya kusudio la kuwepo kwake. Kuwaza hivi ni utoto.

Ni sawa na kusema eti binadamu yupo tu bila ya kusudio la kuwepo kwake.

Huu Muundo tata wa maumbile ya binadamu inasadifu kweli kusema kwamba upo tu bila kusudio.

Yaani mwanaume awe na uume na mwanamke awe na uke usifanana na uume halafu ukawa unaingiliana bila ya kusudio?

Ipo tu kwamba mwanaume ana mbegu halafu mwanamke akawa na mji wa uzazi?

Ipo tu mtoto anavokuwa na kuzaliwa baada ya miezi Tisa na kuanza kukua.

Hivi si utoto kudhani kuwa hakuna mbunifu wa maumbile hayo?

Yaani dunia ipo inajiendesha yenye kiuyakinifu Kwa mfumo ambao upo tu.

Yaani majira ya ulimwenguni yapo tu na hayana kusudio la kuwepo kwake?

Mito kutirirsha maji Baharini ni kanuni ambayo ipo tu haina kusudio?

Unapanda mbegu Moja ya Hindi mhindi unabeba mahindi yenye mbegu mamia toka kwenye mbegu hiyo Moja Kwa nasibu tu!?

Unasema sayansi kama ilivyo Imani ya kuamini Kuna Mungu haina majibu yote. Ila wewe unayeamini hakuna Mungu ndiye mawazo yako ni kamilifu na timilifu??!! KWA NINI??
 
Wakisema wapo nitahoji, ili nipate ushahidi juu wa jambo hilo.

Kama siwajui nitaulizia ili niwajue, na katu siwezi kudai hawapo kisa siwajui.

Wapi sijajenga hoja ?

Naamini uwepo wa Yesu mwana wa Maryam, ama kuhusu Kristo inabidi mlete ushahidi mtuambie, tamko Ukristo limekuja lini au limeanza lini ? Je Yesu akisema yeye ni Kristo au ?

Jalia ningekuwa siamini, katu nisinge kuanusha uwepo wake au kutokuwepo kwake mpaka nipate elimu sahihi kuhusu viwili hivyo au kimoja wapi.
Je ni lazima kwamba kila kilichopo kwenye maandishi ni uthibitisho?

Wewe unasema uthibitisho wa "Allah" kuwepo ni Quran kwa vile eti, ime andikwa hivyo.

Ila uki ambiwa Ukristo umeandikwa kwenye Biblia una anza kubisha bisha, kwa vile si maandiko ya dini yako.

Sasa je, Biblia sio uthibitisho wa uwepo wa ukristo?

Kama sivyo, Wewe kwa nini unataka kulazimisha Quran iwe ni uthibitisho wa uwepo wa huyo Allah?

Yani unajenga hoja kwa kutetea imani yako tu.

Na kuita dini yako na hiyo Quran kwamba eti ndio uthibitisho.

Je nikisema kwamba Biblia ndio uthibitisho wa uwepo wa Mungu utakubali?
 
Infropreneur ngoja nisake ugali kwanza jioni nitarudi kuendelea na huu mnakasha.

Dunia ipo tu bila ya kusudio la kuwepo kwake. Kuwaza hivi ni utoto.
Na mimi nakwambia hivi, Kuwaza Mungu yupo tu ni UTOTO.
Ni sawa na kusema eti binadamu yupo tu bila ya kusudio la kuwepo kwake.

Ukianza kuweka ulazima wa kusudio la uwepo wa binadamu, Basi pia lazima uweke kusudio la uwepo wa Mungu.
Huu Muundo tata wa maumbile ya binadamu inasadifu kweli kusema kwamba upo tu bila kusudio.

Ndio upo tu bila kusudio, kwa vile hatuwezi kujua tusicho kujua.

Ukianza kusema unajua kusudio lipo, lazima uthibitishe kusudio hilo lipoje na liliwezaje kuwepo?

Na kusudio la kusudio hilo liliwezaje kuwepo, ili muundo ule ule wa ulazima kuwepo kusudio ufuatwe.
Yaani mwanaume awe na uume na mwanamke awe na uke usifanana na uume halafu ukawa unaingiliana bila ya kusudio?
Ndio inawezekana kabisa, si lazima kusudio liwepo.

Ukianza kuweka ulazima wa kuwepo kusudio hilo, Basi hata kusudio hilo lazima liwe na kusudio lake.

Na makusudio mengi to infinity....
Ipo tu kwamba mwanaume ana mbegu halafu mwanamke akawa na mji wa uzazi?

Ndiyo ipo tu, kwa vile hatujui Tusicho kijua.

Ila ukianza kusema unajua, lazima uthibitishe unajuaje na umejuaje.
Ipo tu mtoto anavokuwa na kuzaliwa baada ya miezi Tisa na kuanza kukua.
Ndio ipo tu, ila kama unadhani kuna kitu kinafanya mtoto huyo azaliwe.

Lazima uki thibitishe.
Hivi si utoto kudhani kuwa hakuna mbunifu wa maumbile hayo?
Kwanza, kwa nini unadhani mbunifu huyo yupo?

Au kwa nini una lazimisha awepo?

Umewezaje kuamini mbunifu huyo ambaye hujawahi kumuona na humjui, kwamba yupo na hana mbunifu wake pia?

Ila unashindwa kuamini Maumbile haya hayana mbunifu, Na una lazimisha awepo mbunifu usiye mjua?
Yaani dunia ipo inajiendesha yenye kiuyakinifu Kwa mfumo ambao upo tu.
Ndio ipo hivyo.

Wala hakuna ulazima wa kuwepo muongozaji.
Yaani majira ya ulimwenguni yapo tu na hayana kusudio la kuwepo kwake?

Ndio majira ya ulimwengu yapo tu.

Na si lazima yawe na kusudio.

Ukianza kuweka ulazima wa kuwepo kusudio hilo lazima pia kusudio hilo liwe na kusudio lake.
Mito kutirirsha maji Bahari ni kanuni ambayo ipo tu haina kusudio?

Ndio ipo ni kanuni ambayo ipo tu.

Si lazima kuwepo kusudio.
Unapanda mbegu Moja ya Hindi mhindi unabeba mahindi yenye mbegu mamia toka kwenye mbegu Hiyo Moja Kwa nasibu tu!?
Si lazima awepo anaye fanya mbegu moja ya mahindi itoe mahindi mengi.

Uki anza kuweka ulazima huo, Basi hata hilo kusudio lazima liwe na anaye lifanya.
Unasema sayansi kama ilivyo Imani ya kuamini Kuna Mungu haina majibu yote. Ila wewe unayeamini hakuna Mungu ndiye mawazo yako ni kamilifu na timilifu??!! KWA NINI??
Kwa sababu hatuwezi kujua tusicho kijua.
(Nili kufafanulia jana, kupitia theory ya Einstein relativity) Rudi tena kasome vizuri post yangu ile.

kwamba "The rate at which time passes depends upon your frame of reference"

kwamba , vitu vyote utakavyo vijua ni vile tu, utakavyo vijua kwanzia kuzaliwa kwako mpaka kufa kwako.

nje ya hapo Huwezi kuelezea kitu chochote pasipo USAIDIZI na marejeleo ya WATUNGULIZI wako.

mfano kwa sasa, Hatuwezi kujua mwaka 7090 utakuwa vipi, kutakuwa na nini?

kwa vile hapo ni nje ya "Frame of our reference"

Tutafanya makadirio tu(predictions) lakini hatuwezi kujua exactly, mwaka huo wa 7090 utakuwa vipi.

Vivyo hivyo atakaye sema anajua chanzo cha ulimwengu, Lazima aseme "frame of reference" yake ni ipi? Na athibitishe, sio mawazo yake ya kufikirika tu.
 
Nacheka sana.

Shughuli yangu unalijua, utakimbia huu uzi.

Shida sipotezi muda na wewe, sababu hujawahi kuwa na hoja.
Ukidanganya lazima nikuumbue , Allah anapanga kabla hujazaliwa , ata wewe unaweza Kuta kashakupangia moto , ata usali uruke sarakasi haitakusaidia

  • Kuna kisa Al Khidr alimuua Mtoto wa kiume , Muhammad kaelezea wazi huyu mtoto alipangiwa na Allah atakuwa Kafir, allah alimpangia atakuwa Kafir na akapanga auliwe kwa sababu kampangia hivyo, na dogo akachinjwa kikatili
    • Koran 18:80. Na ama yule kijana, wazazi wake walikuwa ni Waumini. Tukakhofu asije watia mashakani kwa uasi na ukafiri.
      • Prophet (ﷺ) said: "The boy that Al-Khidr killed was destined to be a disbeliever the day he was created.'" Jami` at-Tirmidhi 3150
 
I don't kwa kweli...🤣Ila hii ni issue ya personal belief Kama timu ya kushabikia. It can be any team coz zote Zina ubora wake. Same as the cosmological argument... Ila kusuppose kwamba ur god of ur religion ameumba kila kitu na amekutokea wewe na anatupangia wote pa kumwagia..🤣hapo I'll have a problem
Appreciation is not Easy sometimes ila Hapo hapo inatosha wewe tunakuweka pending acha tudili na wengine sasa
 
We Can never learn anything from the Atheist perspective. They just have nothing to stand for coz literally you can't say that something is as it is simply bcoz it's as it is 🤣
 
Mkuu,

Kisicho kuwepo Haki hitaji uthibitisho wa kutokuwepo kwake kwa vile hakipo kwa namna yoyote ile ya kuonekana, kusikika au kushikika.

Angalau kitu kinaweza kuwepo kwa namna mojawapo either ya kuonekana, kusikika au kushikika.

Sasa Mungu hayupo kwa namna yeyote ile, Haonekani, Hashikiki wala Hasikii.

Ni dhana ya kufikirika tu, imaginations just an illusion.
Umewahi kuona, Kushika au kuisikia HEWA ?
 
Bibilia haijaandikwa na Mungu ndugu yangu imeandikwa na binadamu kama wewe


Kumfananisha “Mungu muweza wa yote” na upepo ni kumshushia heshima kwa mnao muamini
Upepo unasikika, upepo una uhisi, upepo unapimika, upepo unatengenezeka
Halikadhalika hewa inapimika, inatengenezeka nk nk
Mungu hayupo hivyo hakuna chochote kuhusu Mungu zaidi ya vitabuni
Vivyo hivyo kuhusu Mungu, Ukiwa na imani "utahisi uwepo wake"
 
Hiyo “kiroho” si ingewekwa wazi na rahisi kwa watu wote kumjua huyu Mungu?

Hapo “kirohoni” ni kichaka kingine cha kumfichia Mungu

Yaani uki assume Mungu yupo halafu uanze kutafakari ukuu wake na yanayojiri hata wanao amini katika Mungu wenyewe wanaona kweli hai make sense
Ndio hapo sasa wanakuja na kichaka kingine eti kirohoni

Hiyo kirohoni yenyewe concept yake ni kama ya Mungu tu..... HAIPO
Kama hauamini kuhusu rohoni, njia moja rahisi ambayo unaweza kuifanya hata wewe, pitia mafunzo ya meditation then ulete mrejesho hapa,
Kwamba ile hali unayoipitia wakati wa meditation ni hali gani.
 
Back
Top Bottom