Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Umewahi kuona, Kushika au kuisikia HEWA ?
Kitu kinaweza kuwepo angalau kwa namna moja ya kuonekana, kushikika, kusikika na kuhisika.

Hewa ipo kwa " kusikika na kuhisika" pia huweza kuwekwa hata kwenye chombo kama mitungi na ika shikika.

upepo unapovuma tuna usikia kwa masikio kabisa upo, Na hewa hiyo ya upepo tuna ihisi kwenye ngozi zetu.

Ndio maana tunahisi joto au baridi.

Hewa hiyo hiyo huweza kuwekwa kwenye mitungi na ikatumika. Mfano mzuri ni mitungi ya hewa ya "Oxygen"inayo tumika hospitalini.

Divers 🏊 ( waogeleaji /wapiga mbizi) pia hutumia mitungi ya hewa ya Oxygen.

Sasa hapa unaona kwamba Hewa ipo na inaweza hata kuwekwa kwenye chombo kama mitungi na Hewa hiyo ika shikika.
Vivyo hivyo kuhusu Mungu, Ukiwa na imani "utahisi uwepo wake"
Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika.

Mungu huyo hayupo katika uhalisia, ni dhana ya kufikirika tu.

Imagination just an illusion.
 
Tusaidie hicho chanzo ni nini mkuu
Chanzo si lazima kiwepo.

Ukianza kuweka ulazima wa kuwepo chanzo cha kila kitu, Basi hata Mungu mwenyewe lazima awe na chanzo.

Ili muundo ule ule wa ulazima huo ufuatwe kwa vitu vyote, pasiwepo kitu chochote kilicho jitokeza chenyewe pasipo mwanzo.

Maana kitu hicho kitazua 👇

"Contradiction na maswali mengi" kwamba, kimewezaje kuwepo bila chanzo? Na kitavuruga muundo mzima wa ulazima huo.

Yaani itakuwa ni lazima, Chanzo cha Mungu kiwe na chanzo, Na chanzo cha chanzo chake Mungu kiwe na chanzo. Na chanzo cha "chanzo chake Mungu" kiwe na chanzo.

Ili muundo ule ule ufuatwe to infinity hukooooo...

Hapa sasa kutakuwa na Vyanzo vingi visivyokuwa na mwisho
(Endless sources)

Kama umeweza kuamini Mungu usiyemjua hana chanzo, unashindwaje pia kuamini dunia haina chanzo?

Kwa nini uweke ulazima wa kwamba dunia lazima iwe na chanzo?

Kisha umu Exclude Mungu kwamba yeye hana chanzo?

Kama Mungu Hana chanzo, Basi hata Dunia Haihitaji kuwa na chanzo.
 
Chanzo si lazima kiwepo.

Ukianza kuweka ulazima wa kuwepo chanzo cha kila kitu, Basi hata Mungu mwenyewe lazima awe na chanzo.

Ili muundo ule ule wa ulazima huo ufuatwe kwa vitu vyote, pasiwepo kitu chochote kilicho jitokeza chenyewe pasipo mwanzo.

Maana kitu hicho kitazua [emoji116]

"Contradiction na maswali mengi" kwamba, kimewezaje kuwepo bila chanzo? Na kitavuruga muundo mzima wa ulazima huo.

Yaani itakuwa ni lazima, Chanzo cha Mungu kiwe na chanzo, Na chanzo cha chanzo chake Mungu kiwe na chanzo. Na chanzo cha "chanzo chake Mungu" kiwe na chanzo.

Ili muundo ule ule ufuatwe to infinity hukooooo...

Hapa sasa kutakuwa na Vyanzo vingi visivyokuwa na mwisho
(Endless sources)

Kama umeweza kuamini Mungu usiyemjua hana chanzo, unashindwaje pia kuamini dunia haina chanzo?

Kwa nini uweke ulazima wa kwamba dunia lazima iwe na chanzo?

Kisha umu Exclude Mungu kwamba yeye hana chanzo?

Kama Mungu Hana chanzo, Basi hata Dunia Haihitaji kuwa na chanzo.
Ambacho hicho chanzo ni yeye maana yeye ni alfa na ni omega. Au huelewi ila unajifanya atheist
 
Ambacho hicho chanzo ni yeye maana yeye ni alfa na ni omega. Au huelewi ila unajifanya atheist
Kabla ya Mungu kuwa chanzo, Alikuwa wapi?

Huko aliko kuwa, Kabla ya yeye kuwa chanzo kulitoka wapi?

Thibitisha kwamba Mungu ni chanzo.

Mungu huyo aliwezaje kuwa chanzo from nothing?
 
  • Kuna kisa Al Khidr alimuua Mtoto wa kiume , Muhammad kaelezea wazi huyu mtoto alipangiwa na Allah atakuwa Kafir, allah alimpangia atakuwa Kafir na akapanga auliwe kwa sababu kampangia hivyo, na dogo akachinjwa kikatili
    • Koran 18:80. Na ama yule kijana, wazazi wake walikuwa ni Waumini. Tukakhofu asije watia mashakani kwa uasi na ukafiri.
      • Prophet (ﷺ) said: "The boy that Al-Khidr killed was destined to be a disbeliever the day he was created.'" Jami` at-Tirmidhi 3150
Kadri navyozidi kujua uislamu nachoka kabisa
 
Nimeuliza kama kitendo cha mzazi kumuua mtoto wake kitakua cha upendo. Je, kitakua cha huruma? Je, kitakua cha furaha kwa ndugu, marafiki na jamii?

Unajibu kifo ni haki ya mtu aliye hai.
Haijalishi kinaleta huzuni au furaha.
Mara mtoto akifa ujue huo ni wakati wake umefika.

Hapo umejibu swali gani kati ya niliyo kuuliza?
Wewe wa kupigwa makofi. Soma swali lako vizuri ulilo uliza kama umemtaja mzazi pale.
 
  • Kuna kisa Al Khidr alimuua Mtoto wa kiume , Muhammad kaelezea wazi huyu mtoto alipangiwa na Allah atakuwa Kafir, allah alimpangia atakuwa Kafir na akapanga auliwe kwa sababu kampangia hivyo, na dogo akachinjwa kikatili
    • Koran 18:80. Na ama yule kijana, wazazi wake walikuwa ni Waumini. Tukakhofu asije watia mashakani kwa uasi na ukafiri.
      • Prophet (ﷺ) said: "The boy that Al-Khidr killed was destined to be a disbeliever the day he was created.'" Jami` at-Tirmidhi 3150
Yah nimeelewa ni jau
 
Jifunze kujibu hoja.

Jee hakuna sababu maalum ya watu kuongezeka?

Mnasema Kila kitu Lazima kiwe na chanzo, au siyo?

Kwa miaka Mingi wapinga Mungu walikuwa wanajadili kati ya Yai na kuku kipi kimetangulia?

Mwisho Wa siku wamekuja kusema kuwa Yai ndio limetangulia. Wakiulizwa Yai nalo limetoka wapi Wanasema eti lilikuwepo tu!!!

Hivi siyo utoto kudhani kuwa dunia ipo tu haina Mwanzo Wala mwisho??

Hofu ni kusema kama Ina Mwanzo basi Lazima isemwe ilianzaje, na ukisema ilianzaje itabidi ukiri yupo aliyeanzisha na kama Ina mwisho mwisho wake utakuwaje.

Nadharia nyingi mnazotumia kupinga kwamba Kuna Mungu ni za kukariri toka watu wengine na ndiyo maana mkiulizwa maswali rahisi mnasema ni maswali ya kitoto.
Asa ulichouliza is unrelated ..asa unauliza kwa Nini watu wanaongezeka unataka ujibiwe Nini...wewe ukimwagia demu ndani akapata mimba matokeo yake nini si mtoto, asa mi nikae naelezea reproduction kwa mababa kabisa
 
Mungu hakupanga jamaa apigwe bastola.
Asa ukisema hivyo utalazimika kusema Mungu anabagua, anapendelea watu coz kila siku watu wanakufa kwa bastola na wengine kuteswa mpaka wanakufa... so huyu Mungu muweza yote mjua yote hawezi Tena kuwa mpenda wote. Halafu hizi circumstances zipo, ingetokea mvua ya chura Kama kwenye story za wajinga wayahudi tungesema kweli Mungu ila bunduki kugoma ni circumstances za kawaida... n wat if hio video ni staged vitu vingine mnajikosha tu
 
Asa ukisema hivyo utalazimika kusema Mungu anabagua, anapendelea watu coz kila siku watu wanakufa kwa bastola na wengine kuteswa mpaka wanakufa... so huyu Mungu muweza yote mjua yote hawezi Tena kuwa mpenda wote. Halafu hizi circumstances zipo, ingetokea mvua ya chura Kama kwenye story za wajinga wayahudi tungesema kweli Mungu ila bunduki kugoma ni circumstances za kawaida... n wat if hio video ni staged vitu vingine mnajikosha tu
Yeye ndie anayepanga si unaona maishani hatupo sawa😂...Kwani nan asiyependa kuwa Ellon musk ila yule ni neema yake wewe hukupangiwa.
 
Je ni lazima kwamba kila kilichopo kwenye maandishi ni uthibitisho?

Wewe unasema uthibitisho wa "Allah" kuwepo ni Quran kwa vile eti, ime andikwa hivyo.

Ila uki ambiwa Ukristo umeandikwa kwenye Biblia una anza kubisha bisha, kwa vile si maandiko ya dini yako.

Sasa je, Biblia sio uthibitisho wa uwepo wa ukristo?

Kama sivyo, Wewe kwa nini unataka kulazimisha Quran iwe ni uthibitisho wa uwepo wa huyo Allah?

Yani unajenga hoja kwa kutetea imani yako tu.

Na kuita dini yako na hiyo Quran kwamba eti ndio uthibitisho.

Je nikisema kwamba Biblia ndio uthibitisho wa uwepo wa Mungu utakubali?
Nasisitiza sana nyinyi sio Waislamu.

Huwezi kulinganisha uandishi wa kitabu chochote kile na Qur'aan. Qur'aan imeandikwa Mtume mwenyewe yuko hai, ikahakikiwa.

Biblia imeandikwa Yesu hayupo, na ina mapungufu mengi sana

Naam, hakuna mtu anae weza kuandika maneno kama Qur'aan. Wenzenu waliikubali Qur'aan baada ya kuisikia na kuisoma na kuilewe. Ile ni kweli tupu isiyo kuwa na shaka ndani yake.

Biblia inaweza kuwa ni uthibitisho wa kuwepo Ukristo ila ikawa sio kweli yenye haki. Hapa tupo duniani kuutafuta ukweli na kuufanyia kazi.

Sababu Qur'aan ni maneno ya Allah, kwa nyakati zilizo pita kulikuwa na Zaburi, Taurati, msahafu wa Ibrahimu na Injili ya Yesu, lakini vitabu hivyo vyote Leo hii havipo kipo kimoja tu ambacho ni Qur'aan sababu hivyo vingine wakati wake umepita.

Bali ushahidi wa uwepo wa Allah ni mkubwa sana na uko wazi mno kuliko ushahidi wa uwepo wako wewe.

Lakini nashangaa mambo ya Biblia yameingiaje hapa ? Hata uwepo wako wewe unathibitisha uwepo wa Mungu.
 
Kusema sio hoja, hata wewe unaweza kusema hilo. Shida inakuja kuthibitisha ukweli wa hilo.

Nitakuuliza Brahma alisema haya wapi na lini ?

Ili ujue ukweli, unatakiwa usome Historia za hao miungu na watu ambao wanawaelezea hao Miungu. Mfano wa haraka na mwepesi ni kuhusu Zeus, huyu anatajwa na Wagiriki, ukisoma habari za Wagiriki ni watu ambao waliacha ufunuo na kufata akili zao na matamanio yao, ndio wakaja kutofautiana juu ya ni nini chanzo Cha Maisha ? Wapo walio sema Moto, wapo waliosema Moshi, wapo waliosema Hewani, ilimradi kila mmoja alitoa maelezo yake kwa anavyo ona yeye.

Lakini anatajwa kama ni mtu. Maana yake tu kwa sifa yake hii hawezi kuwa Mungu huyu.
Asa hizi sifa za Mungu anaamua nani, kwani we ni nani mpaka umpangie mtu ..bac na Mimi nasema Mungu hawezi kusikiliza kiarabu tu so Allah hawezi kuwa Mungu na brahma kasema kwenye kitabu chake Cha dini Kama nyie mlivyoambiana in Quran na Hinduism existed way before any Abrahamic religion and it's the oldest organized religion in the world.
 
Ukidanganya lazima nikuumbue , Allah anapanga kabla hujazaliwa , ata wewe unaweza Kuta kashakupangia moto , ata usali uruke sarakasi haitakusaidia

  • Kuna kisa Al Khidr alimuua Mtoto wa kiume , Muhammad kaelezea wazi huyu mtoto alipangiwa na Allah atakuwa Kafir, allah alimpangia atakuwa Kafir na akapanga auliwe kwa sababu kampangia hivyo, na dogo akachinjwa kikatili
    • Koran 18:80. Na ama yule kijana, wazazi wake walikuwa ni Waumini. Tukakhofu asije watia mashakani kwa uasi na ukafiri.
      • Prophet (ﷺ) said: "The boy that Al-Khidr killed was destined to be a disbeliever the day he was created.'" Jami` at-Tirmidhi 3150
Bado hujaniumbua kijana, sababu wewe si msomaji. Unanitpotezea muda.

Nataka uje na hoja na ukijue ulicho kinukuu vizuri, na ukubali kujibu maswali nitakayo kuuliza.
 
Sasa si uthibitishe ya kuwa haliendi na utuambie umejuaje kama haliendi. Mbona rahisi sana kijana.

Unapo Pinga kitu fulani sisi tunakudhania ya kuwa unaelimu kubwa juu ya kitu hicho, kwahiyo unatakiwa kututhibitishia ukweli ulivyo. Sasa haya malalamiko unayo leta hayaleti maana, unapoteza muda kwenye hakuna.
U can't prove a negative ushaambiwa, Sasa we jizungushe🤣
 
Msingi wa Sayansi ni nini kijana ? Maana usiipe Sayansi kazi ambayo Haina uwezo wa kuifanya.

Sasa ulisema hivyo unatakiwa ulete ushahidi hizi unazoandika wewe ni stori za wanasayansi, ambazo haina ushahidi wowote.

Nakuuliza swali dogo, ili ujue ukubwa kitu na mlinganisho wake kwa kingine au vingine, unatakiwa uzingatie vitu gani ?
Nenda NASA kawaulize
 
Infropreneur ngoja nisake ugali kwanza jioni nitarudi kuendelea na huu mnakasha.

Dunia ipo tu bila ya kusudio la kuwepo kwake. Kuwaza hivi ni utoto.

Ni sawa na kusema eti binadamu yupo tu bila ya kusudio la kuwepo kwake.

Huu Muundo tata wa maumbile ya binadamu inasadifu kweli kusema kwamba upo tu bila kusudio.

Yaani mwanaume awe na uume na mwanamke awe na uke usifanana na uume halafu ukawa unaingiliana bila ya kusudio?

Ipo tu kwamba mwanaume ana mbegu halafu mwanamke akawa na mji wa uzazi?

Ipo tu mtoto anavokuwa na kuzaliwa baada ya miezi Tisa na kuanza kukua.

Hivi si utoto kudhani kuwa hakuna mbunifu wa maumbile hayo?

Yaani dunia ipo inajiendesha yenye kiuyakinifu Kwa mfumo ambao upo tu.

Yaani majira ya ulimwenguni yapo tu na hayana kusudio la kuwepo kwake?

Mito kutirirsha maji Baharini ni kanuni ambayo ipo tu haina kusudio?

Unapanda mbegu Moja ya Hindi mhindi unabeba mahindi yenye mbegu mamia toka kwenye mbegu hiyo Moja Kwa nasibu tu!?

Unasema sayansi kama ilivyo Imani ya kuamini Kuna Mungu haina majibu yote. Ila wewe unayeamini hakuna Mungu ndiye mawazo yako ni kamilifu na timilifu??!! KWA NINI??
Okay bac ukimaliza kujikosha na jibu la Mungu tuambie huyo mwanasayansi wa kutengeneza hayo yote nae katokeaje tu out of nowhere
 
Back
Top Bottom