Thibitisha ya kuwa kweli Brahmna Amesema katika kitabu chake.Asa hizi sifa za Mungu anaamua nani, kwani we ni nani mpaka umpangie mtu ..bac na Mimi nasema Mungu hawezi kusikiliza kiarabu tu so Allah hawezi kuwa Mungu na brahma kasema kwenye kitabu chake Cha dini Kama nyie mlivyoambiana in Quran na Hinduism existed way before any Abrahamic religion and it's the oldest organized religion in the world.
Mungu anajielezea yeye mwenyewe kupitia vitabu vyake na wajumbe wake.
Kwani nani amekwambia Mungu anasikiliza Kiarabu tu ? Hivi unaandika nini kijana ?
Soma Uhindu utajua dini dini hiyo imeanzia wapi ? Kwanini hamsomi vijana ?