Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Asa hizi sifa za Mungu anaamua nani, kwani we ni nani mpaka umpangie mtu ..bac na Mimi nasema Mungu hawezi kusikiliza kiarabu tu so Allah hawezi kuwa Mungu na brahma kasema kwenye kitabu chake Cha dini Kama nyie mlivyoambiana in Quran na Hinduism existed way before any Abrahamic religion and it's the oldest organized religion in the world.
Thibitisha ya kuwa kweli Brahmna Amesema katika kitabu chake.

Mungu anajielezea yeye mwenyewe kupitia vitabu vyake na wajumbe wake.

Kwani nani amekwambia Mungu anasikiliza Kiarabu tu ? Hivi unaandika nini kijana ?

Soma Uhindu utajua dini dini hiyo imeanzia wapi ? Kwanini hamsomi vijana ?
 
We Can never learn anything from the Atheist perspective. They just have nothing to stand for coz literally you can't say that something is as it is simply bcoz it's as it is 🤣
Same as u can't say god did it and not explain how he did it, n also where he came from
 
Yeye ndie anayepanga si unaona maishani hatupo sawa😂...Kwani nan asiyependa kuwa Ellon musk ila yule ni neema yake wewe hukupangiwa.
Bac sio all loving huwezi sema unapenda watoto wako sawa halafu mmoja unamsomesha Dubai mwingine st kayumba...
 
Nasisitiza sana nyinyi sio Waislamu.

Huwezi kulinganisha uandishi wa kitabu chochote kile na Qur'aan. Qur'aan imeandikwa Mtume mwenyewe yuko hai, ikahakikiwa.

Biblia imeandikwa Yesu hayupo, na ina mapungufu mengi sana

Naam, hakuna mtu anae weza kuandika maneno kama Qur'aan. Wenzenu waliikubali Qur'aan baada ya kuisikia na kuisoma na kuilewe. Ile ni kweli tupu isiyo kuwa na shaka ndani yake.

Biblia inaweza kuwa ni uthibitisho wa kuwepo Ukristo ila ikawa sio kweli yenye haki. Hapa tupo duniani kuutafuta ukweli na kuufanyia kazi.

Sababu Qur'aan ni maneno ya Allah, kwa nyakati zilizo pita kulikuwa na Zaburi, Taurati, msahafu wa Ibrahimu na Injili ya Yesu, lakini vitabu hivyo vyote Leo hii havipo kipo kimoja tu ambacho ni Qur'aan sababu hivyo vingine wakati wake umepita.

Bali ushahidi wa uwepo wa Allah ni mkubwa sana na uko wazi mno kuliko ushahidi wa uwepo wako wewe.

Lakini nashangaa mambo ya Biblia yameingiaje hapa ? Hata uwepo wako wewe unathibitisha uwepo wa Mungu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bac bible inasema Yahweh ndo Mungu wa ukweli na ilitangaza manabii feki ambaye ndo alikuja Muhammad
 
Thibitisha ya kuwa kweli Brahmna Amesema katika kitabu chake.

Mungu anajielezea yeye mwenyewe kupitia vitabu vyake na wajumbe wake.

Kwani nani amekwambia Mungu anasikiliza Kiarabu tu ? Hivi unaandika nini kijana ?

Soma Uhindu utajua dini dini hiyo imeanzia wapi ? Kwanini hamsomi vijana ?
🤣Ushaambiwa binadamu hahitaji Mungu ila Mungu anahitaji binadamu kuexist...ndio maana vitabu vyote ni binadamu wameandika, makanisa misikiti hekalu zote ni binadamu wapo sio Mungu sio malaika ni binadamu ndo ujiulize 🤣 man created god in his own image
 
Bac sio all loving huwezi sema unapenda watoto wako sawa halafu mmoja unamsomesha Dubai mwingine st kayumba...
😂😂Bro kuna hekima kubwa ya kuwa na makundi ,ebu fikiria binadamu wote tungekuwa sawa na angemuongoza mwingine.


Binadamu wote tupate matatizo kwa wakati mmoja ndani angemuuguz mwenzio ,wote tuwe maskini nan angeweza kumsaidia mwenzie.
 
😂😂Bro kuna hekima kubwa ya kuwa na makundi ,ebu fikiria binadamu wote tungekuwa sawa na angemuongoza mwingine.


Binadamu wote tupate matatizo kwa wakati mmoja ndani angemuuguz mwenzio ,wote tuwe maskini nan angeweza kumsaidia mwenzie.
🤣Mbona unaruka ruka ukuta nimekupa swali dogo Sana... we una watoto wawili mmoja yupo anasoma Dubai na mwingine st kayumba afu pia baadae utakuja kumwazibu mmoja kwa Moto na mwingine utampa mazawadi unlimited je Kuna mtu atakuona wewe ni baba mwenye upendo
 
🤣Mbona unaruka ruka ukuta nimekupa swali dogo Sana... we una watoto wawili mmoja yupo anasoma Dubai na mwingine st kayumba afu pia baadae utakuja kumwazibu mmoja kwa Moto na mwingine utampa mazawadi unlimited je Kuna mtu atakuona wewe ni baba mwenye upendo
Watoto tena huoni kwa akili za binadamu atapendelea watoto wake.

Kwani hakuna watu wanasomesha watoto sehemu tofauti?

Inawezekana kabisa kutokana na mahitaji ,mimi baba angu mdogo watoto wa kike wamsome shule ya dini tena private na ni shule tofauti mmoja kasomq maawal (mkubwa) na mdogo kasoma Kirinjiko ni Arusha huko...Na wakiume hakuna aliyesoma shule ya private na wamefaulu vizuri tu....Mmoja kapiga one fome 4&6 alikuwa kichww balaa na kasoma shule ya government tangu msingi.
 
Wewe wa kupigwa makofi. Soma swali lako vizuri ulilo uliza kama umemtaja mzazi pale.
Jaribu kufuatilia maswali yangu kwa mtiririko kisha uniambie kama sikumtaja mzazi.

Nimeyaquote hapo chini kama nilivyo kuuliza na kubold neno mzazi pale nilipo litumia.
Nimeuliza kama utaweza kumtafsiri mtu anae mchoma mtoto wake kwa kosa lolote kama ana upendo au la, wewe unanijibu mwenye kuchoma ni Allah!

Wala Sijauliza kama ni haramu kuchoma mtu. Nimeuliza tafsiri ya watu wenzako tu ju ya upendo.
Wala sijauliza kuhusu Allah.

Jibu swali langu tafadhali.
Mzazi mwenye kumchoma mtoto wake aliyekosea wewe binafsi utamuona mzazi huyo kama mwenye upendo sana na mtoto wake??

Njia aliyotumia, kwa mtazamo wako (yaani kumuua) ni ya upendo?

Je, ni ya huruma au ni ya ukatili?
Je, itafurahisha au itahuzunisha ndugu, marafiki na jamii.

Nimeuliza kama kitendo cha mzazi kumuua mtoto wake kitakua cha upendo. Je, kitakua cha huruma? Je, kitakua cha furaha kwa ndugu, marafiki na jamii?

Unajibu kifo ni haki ya mtu aliye hai.
Haijalishi kinaleta huzuni au furaha.
Mara mtoto akifa ujue huo ni wakati wake umefika.

Hapo umejibu swali gani kati ya niliyo kuuliza?

Anyway. Pengine hukuona. Pengine hukuelewa. Tusipoteze muda.
Naandika maswali yangu tena hapa chini.

Kitendo cha mzazi kumuua mtoto wake kwa kumchoma moto kama adhabu kitakua cha upendo?
Je, kitakua cha huruma au kitakua cha chuki?
Je, kitakua cha furaha kwa ndugu, marafiki na jamii?


Majibu tafadhali.
 
Nasisitiza sana nyinyi sio Waislamu.

Huwezi kulinganisha uandishi wa kitabu chochote kile na Qur'aan. Qur'aan imeandikwa Mtume mwenyewe yuko hai, ikahakikiwa.

Biblia imeandikwa Yesu hayupo, na ina mapungufu mengi sana

Naam, hakuna mtu anae weza kuandika maneno kama Qur'aan. Wenzenu waliikubali Qur'aan baada ya kuisikia na kuisoma na kuilewe. Ile ni kweli tupu isiyo kuwa na shaka ndani yake.

Biblia inaweza kuwa ni uthibitisho wa kuwepo Ukristo ila ikawa sio kweli yenye haki. Hapa tupo duniani kuutafuta ukweli na kuufanyia kazi.

Sababu Qur'aan ni maneno ya Allah, kwa nyakati zilizo pita kulikuwa na Zaburi, Taurati, msahafu wa Ibrahimu na Injili ya Yesu, lakini vitabu hivyo vyote Leo hii havipo kipo kimoja tu ambacho ni Qur'aan sababu hivyo vingine wakati wake umepita.

Bali ushahidi wa uwepo wa Allah ni mkubwa sana na uko wazi mno kuliko ushahidi wa uwepo wako wewe.

Lakini nashangaa mambo ya Biblia yameingiaje hapa ? Hata uwepo wako wewe unathibitisha uwepo wa Mungu.
Wewe huwezi kujenga hoja.

Kwa vile una egemea upande mmoja tu wa imani yako na kutetea dini yako ya uislamu.

Unapingana na Biblia ila unataka Quran yako hiyo ionekane ndio ya kweli?

Vivyo hivyo unge zaliwa na kufunzwa mafundisho ya kikristo na Biblia tangu utotoni mwako, Ungekuwa unasema Biblia ndio uthibitisho wa uwepo wa Mungu.

Yaani wewe unatumia, Quran kuhalalisha mawazo yako na kuita Quran hiyo eti ndio uthibitisho.

Huwezi kufikiri kabisa wewe.

Achana na Quran na vitabu vya kidini fikiria kwa uhalisia kwa kichwa chako na ufahamu wako.

Maandiko ya kidini yote Biblia na Quran ni fictions stories na Haziwezi kuwa uthibitisho.

Quran hiyo ni kitabu kama vitabu vingine.
 
Back
Top Bottom