Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Sasa Allah anahitaji kuwa na mikono ya nini yani? Yani Allah muweza wa yote mikono Ina umuhimu gani kwake. Ukisema ana mikono mana yake ana miguu pia, kichwa, kiuno. Na kiuno hakiwi kiuno bila makalio pia.
Oyaa acha ujinga wako hizi zote ni sifa za kiumbe hata kama hiko kiumbe sio mtu[emoji107]
Nani amekwambia haya ?
 
Kosoa maandiko Yako , Mimi nausikaje na maandiko ya waislamu
Nakufundisha uwe makini katika kunukuu, Sasa sikosoi mpaka ukasome tena, sababu hii tabia unayo na huwa inatupa kazi mara mbili, kwanza tukosoe nukuu na pili tujibu hoja.

Sababu nyinyi huwa hamuangalii wapi mnachukua dini yenu, sisi Iko tofauti. Fanya nilivyo kwambia.
 
Nakufundisha uwe makini katika kunukuu, Sasa sikosoi mpaka ukasome tena, sababu hii tabia unayo na huwa inatupa kazi mara mbili, kwanza tukosoe nukuu na pili tujibu hoja.

Sababu nyinyi huwa hamuangalii wapi mnachukua dini yenu, sisi Iko tofauti. Fanya nilivyo kwambia.
Anza kwa kukosoa maandiko yenu wabusu jiwe

Nipo nasubiri
 
Anza kwa kukosoa maandiko yenu wabusu jiwe

Nipo nasubiri
Endelea kupoteza muda, natumia njia hii sababu una hila katika kuweka maandiko.

Nimeshakwambia ulichokiweka si sahihi, Sasa kama wewe ni mtafuta ukweli ungekuwa ushaujua huo ukweli, sababu unapenda kupotezea watu muda endelea kupoteza muda. Mimi nasubiri ujikosoe mwenyewe.
 
Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu

Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea

Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata

Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje

Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake

Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair

Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu

Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk

Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi

Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa

This is the biggest scam ever
Screenshot_20230818-152052.jpg
 
@Kisai nakuuliza hivi,[emoji116]

Kwa nini Mungu wenu huyo "Allah" ana Zungumza kwa kiarabu tu?

Duniani kuna Lugha nyingi sana kijapani,kichina, kijerumani, kiingereza,kifilipino, kigiriki, kiswahili, n.k

Kuna lugha mbalimbali za makabila mengi sana ulimwenguni kote.

Sasa kwa nini Mungu wenu huyo "Allah" ana eleweka kwa kiarabu tu?

Na unadai Mungu wenu huyo "Allah" wa ninyi waislamu ndio Mungu wa kweli duniani kote.

Kama Mungu wenu Allah ndio wa ukweli kwa nini aeleweke kwa lugha moja tu ya kiarabu?

Yani kumjua Mungu huyo lazima umjue kwa kiarabu?

Mungu wenu huyo Allah, Alishindwaje kujidhihirisha kwa binadamu wote wa Lugha zote duniani aka eleweka?

Fafanua kinaga ubaga [emoji3516][emoji3516]
Wanasema lugha itakayotumika siku ya Kiama ni kiarabu, wanasema Hata kama hujui kiarabu siku hiyo watu wote watajikuta wanaongea kiarabu
 
Kwetu sisi Jua ni jua na nyota ni nyota, ila kwa Wanasayansi na watu wa Astronomy wanasema Jua ni nyota.
Fungua akili yako.

Wewe umejiandaa kubisha tu, huna shida na kuelewa mambo.

Ulichokisema ni sawa na useme kwamba kwako chungwa ni chungwa na tunda ni tunda na kwa wana_bayolojia chungwa ni tunda

Poor you
 
Na Mimi nikakujibu ya kuwa ili uone kama sijakuelewa kosoa ule ukosoaji wangu juu ya mfano wako.

Katika mjadala unatakiwa uweke wazi mambo kama navyo fanya Mimi, ukitoa mfano wa filimbi, hakuna ambaye haijui filimbi umbile lake, sifa zake na kazi zake, ukaja kutokea mfano ule ukaulinganisha na suala la Mungu. Mfano ambao haukai katika suala hili, kwa wewe kukanusha kutokuwepo kwa Mungu wakati humjui na hajawahi kutokuwepo.

Sasa unaposema ya kwamba huenda sijaelewa mfano wako, ulitakiwa ukosoe nilicho kiandika katika ule mfano wako.

Suala la jua hili ni jambo lingine na Kuna maswali nimekuuliza kuhusu kuhusu nusu vipenyo vya jua. Jua kuitwa nyota ni kwa mujibu wenu nyinyi Wanasayansi na hizi ni dhana tu sababu nyota zinajulikana na kazi kadhalika, ndio maana ili kukuonyesha ya kuwa nyinyi mnasema Jua ni nyota ni kulipia jina la "Big Star" ukaja na ngano za wanasayansi ya kuwa Kuna nyota kubwa kuzidi Jua, ukaleta tena ngano za nusu vipenyo, nikakuuliza maswali kuhusu nusu vipenyo naona unaruka ruka tu.
Eleza mfano ni nini,

Then Leta mfano nliokupa na uoneshe makosa ya mfano huo kwa kuweka dhana niliyokuwa najaribu kukuelezea.

Hapo ntaongeza kitu katika kutambua kiwango chako cha uelewa.
 
Eleza mfano ni nini,

Then Leta mfano nliokupa na uoneshe makosa ya mfano huo kwa kuweka dhana niliyokuwa najaribu kukuelezea.

Hapo ntaongeza kitu katika kutambua kiwango chako cha uelewa.
Sasa si wewe ndio umesema sijaelewa mfano wako, nikakupa maelezo. Ni jukumu lako kuonyesha wapi sijaelewa, usikimbie swali.
 
Kwanini “Mungu” aweke ugumu sana kumjua na mafundisho yake sahihi ni yapi?

Nauhakika kwa 90% dini unayo iamini unaamini kwakuwa umezaliwa na kulelewa katika imani hiyo(prove me wrong)
Na hii ni kwa watu karibu wote duniani
Ni asilimia ndogo sana wanaobadili dini baada ya kujishughulisha angala kutaka kujua na kuwa na machaguo “sahihi” ya imani

Ukweli ni kwamba asilimia kubwa wanaamini kile wamelishwa(brainwashed)toka utotoni na wazazi/walezi na viongozi wao wa dini

Kama ungezaliwa Iran na wa iran ungekuwa Mshia na ungezaliwa Korea ungeabudu mabudha na ungezaliwa viunga vya Paris maybe ungekuwa mu RC
Sasa nawewe unataka tuamini kwamba huamini ktkt haya sababu hukupata msingi thabiti katika kujifunza si ndio??

Kama ungeaminishwa vyema usingekuja na tantalila za aina hii,ungekuja na hizo unazoona ni za ajabu.
 
Kama mungu angekuwepo Hata hi post isingekuwepo kabisa,

Mpaka ss bado hatujaona ushahidi wa uwepo wa mungu.

Japo watu wanamtetea Kwa nguvu Sana bila ushahidi wenyewe mashiko. Ni Kwa sababu wanaogopa kusema ukweli Tu kwamba mungu hayupo .

Ukisema ukweli Kuwa mungu hayupo hakuna kitu chochote kitakacho kutokea coz hakuna mungu

Mungu ni nadharia Tu.


Kuwa huru ni kuukubali ukweli
 
Kama mungu angekuwepo Hata hi post isingekuwepo kabisa,

Mpaka ss bado hatujaona ushahidi wa uwepo wa mungu.

Japo watu wanamtetea Kwa nguvu Sana bila ushahidi wenyewe mashiko. Ni Kwa sababu wanaogopa kusema ukweli Tu kwamba mungu hayupo .

Ukisema ukweli Kuwa mungu hayupo hakuna kitu chochote kitakacho kutokea coz hakuna mungu

Mungu ni nadharia Tu.


Kuwa huru ni kuukubali ukweli
Nkuulize swali chief ?
 
Back
Top Bottom