Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Mungu
Shetani

Science deals with the natural NOT THE SUPERNATURAL (MUNGU, SHETANI, ...) ... hichi ndio kitu ATHEISTS wanakisimamia na ndio sayansi yenyewe

Soma nukuu juu [emoji3595]

Umeona unavyojikoroga?

Sayansi haidili na nini? Sasa, ni sayansi gani mnayoisimamia nyinyi inayodili na hayo uliyoyataja yenye hitimisho la kutokuwepo kwa DEITY?

[emoji848]
 
Sayansi doesn’t ... about the supernatural, including God, Angels, heaven, rohoni, shetani, mapepo, uchawi ... etc

Science deals with the natural world NOT supernatural becoz it is untestable and unscientific.

God existence is not science’s problem

... habari ya Mungu? Not science’s problem.

It is what it is
 
Majini(mapepo) ni kitu Gan? Naomba kujua jini ni Nini na anatoka wapi? Kupandisha mapepo ndio kufanyaje? Je, hayo majini yanahusiana nini na watu? Na kwanini 'mtu' halafu apandishe mapepo, kwanini mapepo yasijipandishe yenyewe Hadi yamtegee mtu huko kupanda?
[emoji3]

Ishi na nyuzi za Rakims na Mshana Jr
 
Bro, sentensi ikiishia na alama ya kuuliza au mshangao neno linalofuata lazima lianze na herufi kubwa. Usione jamaa mkosefu sana kwenye kuandika wakati wewe pia ni walewale tu.
Ahsante kwa kunikosoa, si kwamba sifahamu hizo kanuni au nakosea kwa bahati mbaya, nakusudia kuandika hivyo kutokana na aina ya font nayotumia kwenye kimeo changu, kuna muonekano fulani unajitengeneza unaonipa motisha ya kupenda kuandika, fahamu: kuandika ni moja kati ya mambo nisiyopendelea, chunguza uandishi wangu utagundua kuna herufi kubwa sipendi kuzitumia mwanzoni mwa sentensi mfano; E, K nakadhalika.
 
Sayansi doesn’t ... about the supernatural, including God Angels haven rohoni shetani mapepo uchawi ... etc

Science deals with the natural world NOT supernatural becoz it is untestable and unscientific.

God existence is not science’s problem.

Lakini habari ya Mungu? Not science’s problem.

Maybe Mungu yupo.....

"May be MUNGU yupo au hayupo", hili ni hitimisho la kisayansi lililotokana na msingi wa kutokujua uhalisia wa mambo yaliyo nje ya uwanda wake

Therefore it is scientifically inconclusively conclusively
 
so far Atheist wanafuata misingi ya sayansi ambayo haitambui UWEPO WA MUNGU

Irrational claim!

Do GOD exist? This is beyond the realm of what can be studied by science. As you wrote, such question is unscientifically and empirically untestable, so science gotta nothing more to say about it. Science cannot reach a conclusion about an explanation, claim or question that can't be tested empirically. In this case, GOD may or may not exist; science simply cannot know, it is methodoligically NEUTRAL (cannot SUPPORT or CONTRADICT).

So such claim you have made is baseless and illogical, it's not even atheistically, IDK where did you get that from.


[emoji4]
 
Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu

Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea

Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata

Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje

Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake

Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair

Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu

Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk

Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi

Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa

This is the biggest scam ever
Watu wengine wakishiba kande huandika mambo yanayopita ufahamu wao.
 
Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu

Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea

Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata

Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje

Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake

Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair

Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu

Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk

Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi

Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa

This is the biggest scam ever
Mkuu unafikirisha!
 
Huu ujasiri unautoa wapi ndugu yangu?

Mungu yupo na hakika wakati ukifika utajutia haya uliondika

Walikuwepo wengi waliompinga lakini sasa wako wapi?
Hata wewe utapita lakini Neno la MUNGU litasimama daima hadi ukamilifu wa dahari
Kwani Hao walioamini hawajapita?
 
Soma nukuu juu [emoji3595]

Umeona unavyojikoroga?

Sayansi haidili na nini? Sasa, ni sayansi gani mnayoisimamia nyinyi inayodili na hayo uliyoyataja yenye hitimisho la kutokuwepo kwa DEITY?

[emoji848]

Science doesn’t deal with something that not exist
 
"May be MUNGU yupo au hayupo", hili ni hitimisho la kisayansi lililotokana na msingi wa kutokujua uhalisia wa mambo yaliyo nje ya uwanda wake

Therefore it is scientifically inconclusively conclusively
Kwani we Mzee unatakaje?
 
[emoji23]

Poa, ahsante kwa majadiliano

[emoji4]

Ilikua vyema kujadili na wewe pia

Ila tambua kitu kimoja kuhusu Atheist
Wanafanya mambo yote logically based on science kama ambavyo Theist mnafanya kasoro IMANI za supernatural tu

Ulipotokea mlipuko wa town, kipindupindu nk Sayansi ilihangaika kupata majibu

Sayansi ikitoa majibu tutakubaliana wote Atheist na Theist

We both applying science almost kwenye kila tunachofanya....
tunajadilina hapa kisayansi zaidi

So kama sayansi haitambui supernatural hata Atheist hatambui..... simple as that mkuu


Mwisho
Naomba unisaidie kuthibitisha uwepo wa MUNGU kama utaweza lakini [emoji120][emoji120]
 
Kama umeshindwa kunielewa nini namaanisha haswa, Huwezi kuelewa mambo magumu..

Niache hayo ila nkurekebishe hapa,

Fikra huru zinatumika KUCHAGUA[emoji777]

Fikra huru zinatumika kukuonyesha ukweli dhahiri[emoji736]

Mkuu FIKRA HURU sio FACT

Ni hali ya kuwa huru kudadafua jambo bila influence ya jambo lolote kisha ukaamua

Mtoto anakuwa brainwashed toka utotoni kwamba kuna Mungu
Anakua na kuamini hivyo..... ni ngumu sana kuwa na FIKRA HURU kujua na kuamua kama Mungu yupo au ni ngonjera tu

Watu walioaminishwa kuwa kuna Mungu HAWANA FIKRA HURU
Fikra zao zimefungwa na uoga wa kufanya dhambi na kuchomwa moto milele kwasababu ni KOSA kuhoji uhalali wa Mungu(fikra zimefungwa kwenye scriptures zao tu)
 
Back
Top Bottom