Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Mkuu acha blah blah THIBITISHA kwa namna utakayoona bora kabisa kwako kwa mtu kukuelewa

TSK!

Nikisema hufahamu aina na sifa za uthibitisho/ushahidi ukubalikao kielimu nitakuwa nakosea?

Nikithibisha kwa namna ambayo mimi pekee naona ni bora ndo uthibitisho unakuwa ni wenye nguvu na wenye kukubalika?

Fahamu: Thibitisho hazielezwi kwa kuzingatia uono binafsi bali hoja zenye tija zilizochipuka kielimu

Jizidishe, JF si kijiwe nongwa
 
Mkuu acha blah blah THIBITISHA kwa namna utakayoona bora kabisa kwako kwa mtu kukuelewa

Why should i do that anyway? [emoji848] The burden of proofs is on you

It's you who make the claim that God does not exist

Intellectually speaking "You claim something you provide the evidence"

If you know you know in "Pusha T" voice
 
Sayansi haishunguliki na vitu ambavyo HAVIPO..... period
Umeamua kuzifunga fikra zako au ndipo upeo wako ulipokomea?

Hivi kama dhana nyepesi ya sayansi kama hiyo hujaielewa kwa usahihi wake na unadhamiria kwa dhati kubadilisha maana iliyokusudiwa, najiuliza yupo anayeweza kukuelewesha ukaelewa kweli? Kama yupo naomba m-tag anisaidie. Ni vema kutunza muda wako kwa mazuri

Jadiliana na wengine tafadhali
 
Umeamua kuzifunga fikra zako au ndipo upeo wako ulipokomea?

Hivi kama dhana nyepesi ya sayansi kama hiyo hujaielewa kwa usahihi wake na unadhamiria kwa dhati kubadilisha maana iliyokusudiwa, najiuliza yupo anayeweza kukuelewesha ukaelewa kweli? Kama yupo naomba m-tag anisaidie. Ni vema kutunza muda wako kwa mazuri

Jadiliana na wengine tafadhali

Labda wewe unaelewa nini kuhusu kitu ambacho HAKIPO?
 
TSK!

Nikisema hufahamu aina na sifa za uthibitisho/ushahidi ukubalikao kielimu nitakuwa nakosea?

Nikithibisha kwa namna ambayo mimi pekee naona ni bora ndo uthibitisho unakuwa ni wenye nguvu na wenye kukubalika?

Fahamu: Thibitisho hazielezwi kwa kuzingatia uono binafsi bali hoja zenye tija zilizochipuka kielimu

Jizidishe, JF si kijiwe nongwa

Acha blah blah
Shusha hizo nondo
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kama MUNGU hayupo ile chumvi iliyopo kwenye maji ya bahari ameweka babu yako?
Na ile sukari iliyomo kwenye nanasi kaweka mjomba wako?

Kwenye hio Quran unayoibeza Allah amezungumzia miaka 1400 iliyopita mambo haya hapa ya Kisayansi ambayo wanasayansi wa karne hii ya 21 baada ya mapinduzi makubwa ya teknolojia wamekuja kuthibitisha kua mambo yote hayo ni ukweli mtupu.



View attachment 2826737View attachment 2826738View attachment 2826739View attachment 2826740View attachment 2826741View attachment 2826742View attachment 2826743View attachment 2826744
 
Theist; Naweza kupaa angani kama ndege

Atheist; Hapana hiyo haiwezekani

Theist; Thibitisha kama siwezi kupaa angani kama ndege

[emoji23][emoji23]

Unaboa [emoji23]

Wewe ndo uliyewasilisha madai kwamba MUNGU hayupo, soma comments zangu; hamna andiko lenye madai yanayofanana na hayo

So wewe ndo unayetakiwa utoe uthibitisho wa madai yako na si mimi

We naje
 
Theist; Naweza kupaa angani kama ndege

Atheist; Hapana hiyo haiwezekani

Theist; Thibitisha kama siwezi kupaa angani kama ndege

[emoji23][emoji23]
Unajitekenya na kucheka mwenyewe

Uzi umeasisiwa nawe, nawajibikaje kutoa uthibitisho wa madai yako?
 
Labda wewe unaelewa nini kuhusu kitu ambacho HAKIPO?
Naelewa kama ni "kitanda ambao umentandikia na kukaa na kuongeaongea kikawaida ...

... "usichafue maneno ambao unaelekezwa"

#We misso misondo umepigaje hapo [emoji23]
 
Unaboa [emoji23]

Wewe ndo uliyewasilisha madai kwamba MUNGU hayupo, soma comments zangu; hamna andiko lenye madai yanayofanana na hayo

So wewe ndo unayetakiwa utoe uthibitisho wa madai yako na si mimi

We naje

Post yangu No 1 nimeeleza unayoniuliza

Acha blah blah THIBITISHA UWEPO WA MUNGU
 
Naelewa kama ni "kitanda ambao umentandikia na kukaa na kuongeaongea kikawaida ...

... "usichafue maneno ambao unaelekezwa"

#We misso misondo umepigaje hapo [emoji23]

Umeshindwa HOJA umeanza kuleta VIROJA [emoji23]
 
Unaboa [emoji23]

Rejea post #1917 na #1924

Next time make sure you don't sound like you don't possess consciousness

Una uhuru kumthibitisha Mungu wako kwa kadiri ujuavyo
Kwasababu mimi ni muumini wa SAYANSI na nikikwambia nithibitishie kisayansi utaanza porojo zingine [emoji23]


Thibitisha uwepo wa Mungu
 
Unaboa [emoji23]

Wewe ndo uliyewasilisha madai kwamba MUNGU hayupo, soma comments zangu; hamna andiko lenye madai yanayofanana na hayo

So wewe ndo unayetakiwa utoe uthibitisho wa madai yako na si mimi

We naje

Toka utotoni nimelishwa kuna Mungu lakini HAKUNA hata mtu mmoja aliyewahi KUNITHIBITISHIA uwepo wa Mungu...... sio Askofu, shekh, mitume na manabii

Halafu mimi ninaye ambiwa kuna Mungu toka utotoni ndio natakiwa nithibitishe HAYUPO [emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kama MUNGU hayupo ile chumvi iliyopo kwenye maji ya bahari ameweka babu yako?
Na ile sukari iliyomo kwenye nanasi kaweka mjomba wako?

Kwenye hio Quran unayoibeza Allah amezungumzia miaka 1400 iliyopita mambo haya hapa ya Kisayansi ambayo wanasayansi wa karne hii ya 21 baada ya mapinduzi makubwa ya teknolojia wamekuja kuthibitisha kua mambo yote hayo ni ukweli mtupu.



View attachment 2826737View attachment 2826738View attachment 2826739View attachment 2826740View attachment 2826741View attachment 2826742View attachment 2826743View attachment 2826744

Attachments zako hazifunguki mkuu
 
Back
Top Bottom