Uchaguzi 2020 Uongo na Upotoshaji huu wa BBC London kuhusu Tanzania kipindi hiki cha kampeni una maana gani? Sio mbinu za mabeberu? Wapi weledi wa ki-BBC?

Uchaguzi 2020 Uongo na Upotoshaji huu wa BBC London kuhusu Tanzania kipindi hiki cha kampeni una maana gani? Sio mbinu za mabeberu? Wapi weledi wa ki-BBC?

Wanabodi,

Kati
Angalizo: Kutokana na umaarufu na heshima ya BBC, akitokea mwandishi tuu wa kawaida kama mimi kuikosoa BBC, wengi bado wataamini BBC is always right, na mimi ndie niko wrong, hawaamini kama BBC BBC inaweza kuwa biased kama kwenye story hii, kusema uongo, inaweza kupotosha, na inaweza kuripoti jambo fulani bila kufuata weledi wa kihabari.

Naomba kuwathibitishia kuwa japo ni kweli BBC ni weledi, lakini katika vita ya Kiuchumi na kutishiwa kwa Maslahi ya mabeberu, hata BBC huwa inaweka weledi pembeni, kutangaza uongo, upotoshaji kwa Maslahi ya mabeberu.

Huko nyuma mifano ipo ya BBC kusema uongo na kupotosha, imeshitakiwa mahakamani, imehukumiwa na kukutwa na hatia, imeomba radhi, na kulipishwa faini, hivyo katika upotoshaji wa jambo hili, BBC iombe radhi, vinginevyo sisi Tanzania tusikae kimya, tukanushe na kuinyoosha habari yenyewe.

Upotoshaji wenyewe ni huu
Uchaguzi 2020 - BBC Swahili wamesema kwenye makubaliano yetu na kampuni ya uchimbaji madini ya Barrick kwenye zile asilimia ni kama tumepigwa.


Pasikali aisee unawafundisha CNN jinsi ya kuripoti habari?!
Nini CNN, hata BBC!.
P
 
Wanabodi,

Kati ya vyombo vyote vya habari duniani, chombo kikuu kabisa cha kuaminika, kwa sisi Anglophone Africa ni our colonial master, The British na shirika lao la habari la kibeberu la BBC London, na kwa Francophone Africa ni France na RFI na F24 TV. Sasa inapotokea chombo kama BBC London, Wakaripoti, kitu cha uongo, kwa upotoshaji kwa kukosa weledi, nani atakuwa mkweli?

Angalizo: Kutokana na umaarufu na heshima ya BBC, akitokea mwandishi tuu wa kawaida kama mimi kuikosoa BBC, wengi bado wataamini BBC is always right, na mimi ndie niko wrong, hawaamini kama BBC BBC inaweza kuwa biased kama kwenye story hii, kusema uongo, inaweza kupotosha, na inaweza kuripoti jambo fulani bila kufuata weledi wa kihabari.

Naomba kuwathibitishia kuwa japo ni kweli BBC ni weledi, lakini katika vita ya Kiuchumi na kutishiwa kwa Maslahi ya mabeberu, hata BBC huwa inaweka weledi pembeni, kutangaza uongo, upotoshaji kwa Maslahi ya mabeberu.

Huko nyuma mifano ipo ya BBC kusema uongo na kupotosha, imeshitakiwa mahakamani, imehukumiwa na kukutwa na hatia, imeomba radhi, na kulipishwa faini, hivyo katika upotoshaji wa jambo hili, BBC iombe radhi, vinginevyo sisi Tanzania tusikae kimya, tukanushe na kuinyoosha habari yenyewe.

Upotoshaji wenyewe ni huu
Uchaguzi 2020 - BBC Swahili wamesema kwenye makubaliano yetu na kampuni ya uchimbaji madini ya Barrick kwenye zile asilimia ni kama tumepigwa.



Nimemsikiliza Zuhura Yunus, kwanza makala yenyewe ni biased kwa kujadili baadhi tuu ilani za baadhi ya vyama, na kuviacha vyama vingine. Huwezi kufanya analysis ya ilani za vyama, ukaiepuka ilani ya CCM!.

Pili BBC ni waongo, hakuna mkataba wala makubaliano ya 2017, wala 2019, bali mkataba ni mmoja tu, ule uliosainiwa Ikulu Jijini Dar es Salaam January 2020!. Yale ya 2017 yalikuwa ni mapendekezo tu na ya 2019 ni mapendekezo tuu, mkataba ni mmoja tuu wa January 2020!. How come BBC Swahili missed these facts?. BBC Swahili Iache Uongo!.

NB, uongo kama huu wa BBC pia uliwahi kuletwa mwanasiasa fulani, baada ya kuona makubaliano yamekuwa initialed, akaandika mkataba umesainiwa!, BBC nao wakaingia kichwa kichwa na kuamini mkataba umesainiwa!, wanaweza kuandika makala ndefu namna hiyo bila ku double-check na ku cross-check kuibalance makala yao na wahusika wa wizara husika? Huku ni kukosa weledi! Sasa kama BBC London inaweza kukosa weledi wa kiwango hiki, nani atakuwa mweledi?

Sio kwamba najidai, lakini kwenye mgogoro wa makinikia ya Acacia, hakuna mwana JF aliyeandika na kufuatilia kama mimi, na kwa jinsi nilivyomsikia Waziri Prof. Kabudi na Rais Magufuli, kuna maeneo ninaamini, ninayafahamu vizuri zaidi kuliko hata wahusika wenyewe wa kwetu, kwasababu issues nyingine ni issue ndogo tuu za lugha za watu, na watu wanaingizwa chaka, kama ilivyoelezwa kuwa tutagawana economic benefits pasu kwa pasu, tukaelezwa tutagawana faida, profits 50/50 kitu ambacho sii kweli.

Hata Mtaalamu wa Madini naye ni muongo na mpotoshaji.
Kwenye hili la Mtaalamu, naomba kuheshimu mawazo ya yule Mtaalamu kwa kiasi kikubwa yuko right ila na yeye pia ni muongo baadhi ya maeneo na mpotoshaji.

Uongo mkubwa wa Mtaalamu ni ameshindwa kutofautisha Acacia, Barrick na Twiga. Baada ya Barrick kuinunua Acacia, ofisi zote za Acacia zilizokuwa London na South Africa, zilifungwa.

Accounts zote za Acacia zilizokuwa London na South Africa zilifungwa, Ofisi za Twiga ziko Tanzania tuu, na accounts za Twiga zina bank na City bank ya Tanzania.

Kwenye huu ubia, Barrick anamiliki 84%, na Tanzania anamiliki 16%, Barrick kama Barrick bado yuko huru kuwa na ofisi zake popote duniani na ku bank fedha zake na benki zozote!.

Wito kwa serikali yetu
Naiomba serikali yetu ikanushe uongo huu wa BBC London kuihusu Tanzania haswa kipindi hiki cha kampeni. Dr. Abbas, hili usilinyamazie. Tukinyamaza, dunia itawaamini BBC wataonekana ni wa kweli.

Waelezeni BBC London na dunia ielewe kuwa hakuna makubaliano mawili kati ya serikali yetu na Barrick, makubaliano ni mamoja tuu, mkataba ni mmoja tuu, ambapo, japo tumepigwa fulani, lakini Tanzania ndio wafaidika wakubwa wa mkataba huo!.
Ofisi za Twiga ziko Mwanza Tanzania, na Accounts za Twiga ziko City Bank ya Tanzania!.

Namalizia kwa hili swali, Je, uongo na upotoshaji huu wa BBC London, kuhusu Tanzania kipindi hiki cha kampeni, kwa kuiepuka ilani ya CCM, kujadili ilani za Chadema na ACT tuu ni wa kawaida tuu kwenye media, au una maana gani?

Tukitafuta kitu kinachoitwa the motive behind, haiwezi kuwa ni mbinu za mabeberu? Wapi weledi wa Ki-BBC?

Paskali

Yaani wewe Pascal Mayalla unanifanya una uelewa wa mambo kuliko BBC au CNN? Hao sio TBC please
Mkuu Elli M , Journalism ni fani yenye misingi yake dunia nzima, hiyo hata mwandishi wa kawaida anaweza kukosoa BBC na CNN kama hawakufuata misingi kama nilivyo kosoa BBC hapa.
P
 
Mkuu Elli M , Journalism ni fani yenye misingi yake dunia nzima, hiyo hata mwandishi wa kawaida anaweza kukosoa BBC na CNN kama hawakufuata misingi kama nilivyo kosoa BBC hapa.
P
Hapana Kaka, hapana kuna issue nyingi ikiwepo resources, exposure, independence na sources ya taarifa zako, ambavyo kwa mtizamo wangu hivi vitu kwa Waandishi wa Tanzania na watu wao caliber yajo huwezi kuwa navyo au ukiwa navyo huvitumia kujijenga kuliko kutoa taarifa. Wewe kumbuka ni Kada wa CCM. Hii tu inaharibu Taarifa zako na kukosa credibility pakubwa sana
 
Hapana Kaka, hapana kuna issue nyingi ikiwepo resources, exposure, independence na sources ya taarifa zako, ambavyo kwa mtizamo wangu hivi vitu kwa Waandishi wa Tanzania na watu wao caliber yajo huwezi kuwa navyo au ukiwa navyo huvitumia kujijenga kuliko kutoa taarifa. Wewe kumbuka ni Kada wa CCM. Hii tu inaharibu Taarifa zako na kukosa credibility pakubwa sana
Umemsagia chawa.
 
Hapana Kaka, hapana kuna issue nyingi ikiwepo resources, exposure, independence na sources ya taarifa zako, ambavyo kwa mtizamo wangu hivi vitu kwa Waandishi wa Tanzania na watu wao caliber yajo huwezi kuwa navyo au ukiwa navyo huvitumia kujijenga kuliko kutoa taarifa. Wewe kumbuka ni Kada wa CCM. Hii tu inaharibu Taarifa zako na kukosa credibility pakubwa sana
Ahsante sana kwa kujaribu kumsaidia.
Huyo ni Mwandishi wa habari ambae kajiharibia zaidi kwa kutetea udhalimu.
Sasa hivi anahangaika sana kulazimisha ili yeye ndio awe habari.
 
Wanabodi,

[/CENTER]

Nimeisikiliza BBC Swahili, kwanza makala yenyewe ni very biased kwa kujadili baadhi tuu ilani za baadhi ya vyama, na kuviacha vyama vingine. Huwezi kufanya analysis ya ilani za vyama, ukaiepuka ilani ya CCM ambayo ndicho chama tawala.

Pili BBC ni waongo, hakuna mkataba wala makubaliano ya 2017, wala 2019, bali mkataba ni mmoja tu, ule uliosainiwa Ikulu Jijini Dar es Salaam January 2020!. Yale ya 2017 yalikuwa ni mapendekezo tu na ya 2019 ni mapendekezo tuu, mkataba ni mmoja tuu wa January 2020!. How come BBC Swahili missed these facts?. BBC Swahili Iache Uongo!.

NB, uongo kama huu wa BBC pia uliwahi kuletwa mwanasiasa fulani, baada ya kuona makubaliano yamekuwa initialed, akaandika mkataba umesainiwa!, BBC nao wakaingia kichwa kichwa na kuamini mkataba umesainiwa!, wanaweza kuandika makala ndefu namna hiyo bila ku double-check na ku cross-check kuibalance makala yao na wahusika wa wizara husika? Huku ni kukosa weledi! Sasa kama BBC London inaweza kukosa weledi wa kiwango hiki, nani atakuwa mweledi?

Sio kwamba najidai, lakini kwenye mgogoro wa makinikia ya Acacia, hakuna mwana JF aliyeandika na kufuatilia kama mimi, na kwa jinsi nilivyomsikia Waziri Prof. Kabudi na Rais Magufuli, kuna maeneo ninaamini, ninayafahamu vizuri zaidi kuliko hata wahusika wenyewe wa kwetu, kwasababu issues nyingine ni issue ndogo tuu za lugha za watu, na watu wanaingizwa chaka, kama ilivyoelezwa kuwa tutagawana economic benefits pasu kwa pasu, tukaelezwa tutagawana faida, profits 50/50 kitu ambacho sii kweli.

Hata Mtaalamu wa Madini aliyehojiwa naye ni muongo tuu na mpotoshaji.
Kwenye hili la Mtaalamu, naomba kuheshimu mawazo ya yule Mtaalamu kwa kiasi kikubwa yuko right ila na yeye pia ni muongo baadhi ya maeneo na mpotoshaji.

Uongo mkubwa wa Mtaalamu ni ameshindwa kutofautisha Acacia, Barrick na Twiga. Baada ya Barrick kuinunua Acacia, ofisi zote za Acacia zilizokuwa London na South Africa, zilifungwa.

Accounts zote za Acacia zilizokuwa London na South Africa zilifungwa, Ofisi za Twiga ziko Tanzania tuu, na accounts za Twiga zina bank na City bank ya Tanzania.

Kwenye huu ubia, Barrick anamiliki 84%, na Tanzania anamiliki 16%, Barrick kama Barrick bado yuko huru kuwa na ofisi zake popote duniani na ku bank fedha zake na benki zozote!.

Wito kwa serikali yetu
Naiomba serikali yetu ikanushe uongo huu wa BBC London kuihusu Tanzania haswa kipindi hiki cha kampeni. Dr. Abbas, hili usilinyamazie. Tukinyamaza, dunia itawaamini BBC wataonekana ni wa kweli.

Waelezeni BBC London na dunia ielewe kuwa hakuna makubaliano mawili kati ya serikali yetu na Barrick, makubaliano ni mamoja tuu, mkataba ni mmoja tuu, ambapo, japo tumepigwa fulani, lakini Tanzania ndio wafaidika wakubwa wa mkataba huo!.
Ofisi za Twiga ziko Mwanza Tanzania, na Accounts za Twiga ziko City Bank ya Tanzania!.

Namalizia kwa hili swali, Je, uongo na upotoshaji huu wa BBC London, kuhusu Tanzania kipindi hiki cha kampeni, kwa kuiepuka ilani ya CCM, kujadili ilani za Chadema na ACT tuu ni wa kawaida tuu kwenye media, au una maana gani?

Tukitafuta kitu kinachoitwa the motive behind, haiwezi kuwa ni mbinu za mabeberu? Wapi weledi wa Ki-BBC?

Paskali

Kama ulikuwa unaangalia taarifa zake basi nafikiri jibu unalo na unalijua ila kama ulikuwa huangalii hapo nafikiri itachukua mda mrefu na mambo mengi kukuelezea, ila ningekuomba kunifanyia kitu kimoja kizuri; tafuta Youtube kama kuna critic yeyote ile ambayo Zuhura Yunus na Salim Kikeke wameitoa kwa nchi yao England?

Mbili identity ya huyu mtangazaji ambaye anajulikana kama presenter wa BBC ki-profession, haijulikani. Inakuwaje mda wote huo aiitwe Zuhura Yunus na sasa Zuhura Yunus Abdalah? Hili jina la Abfalah linatumika kivipi na kwa vigezo gani?

Huyu mwanamke, nafikiri watazania wengi mtakuwa mmesahau, alikuwa anatoa taarifa mbovu sana kuhusu sakata la Serikali ya Tanzania na Kampuni ya BARRICK Gold, kiasi kwamba kuna siku alifanya dhahiri kitendo cha kuwapotosha wasilikzaji kwa ku-divert story ya majadiliano yaliyokuwa yakifanyika kati ya serikali ya Tanzania na kampuni ya BARRICK Gold nchini kwa kuhojiana na mtanzania aliyesadikika kama ni mbobebezi katika mambo ya mikataba kama hii huko Canada.

Huyu mtangazaji alikuwa mstari wa mbele sana kwenye kuwapotosha matajiri dunuani walio taka kuwekeza nchini kwa taarifa zake za habari ambazo zilijaa negativity juu ya policy ya nchi yetu, alafu leo tutegemee mtu kama huyu kweli kuibariki nchi yetu ipate mafanikio ya kiuchumi?

Watanzania mnafanya utani na nchi yenu au maisha yenu sio? Mnafikiri huyu mama anauchungu na nyie kweli?
Hayo aliyafanya KiBBC, hata Tido alipokuwa BBC aliibananisha sana serikali ya Mkapa, lakini alipokuja TBC akabadilika.
Vivyo hivyo huyu nguli asiwe judged based on BBC, awe judged based on uwezo, weledi na exposure, atamsaidia sana Mama Yetu na ataisaidia sana nchi yetu. Tumempata mtu well experienced mwenye good exposureä, mwenye the ability, the capacity na the capabilities za kuwa sio Mkurugenzi Press Release, Mkurugenzi Msemaji wa Rais .
Hongera Zuhura Yunus.
Welcome on Board.
Paskali
 
Hayo aliyafanya KiBBC, hata Tido alipokuwa BBC aliibananisha sana serikali ya Mkapa, lakini alipokuja TBC akabadilika.
Vivyo hivyo huyu nguli asiwe judged based on BBC, awe judged based on uwezo, weledi na exposure, atamsaidia sana Mama Yetu na ataisaidia sana nchi yetu. Tumempata mtu well experienced mwenye good exposureä, mwenye the ability, the capacity na the capabilities za kuwa sio Mkurugenzi Press Release, Mkurugenzi Msemaji wa Rais .
Hongera Zuhura Yunus.
Welcome on Board.
Paskali
Historia itakuhukumu siku zote. Huwezi ukawa kama kinyonga kisa maslahi tu. Kuichafua nchi, halafu useme leo utaipenda kisa huna pa kwenda sio sahihi kbs. Stm must be wrong
 
Hayo aliyafanya KiBBC, hata Tido alipokuwa BBC aliibananisha sana serikali ya Mkapa, lakini alipokuja TBC akabadilika.
Vivyo hivyo huyu nguli asiwe judged based on BBC, awe judged based on uwezo, weledi na exposure, atamsaidia sana Mama Yetu na ataisaidia sana nchi yetu. Tumempata mtu well experienced mwenye good exposureä, mwenye the ability, the capacity na the capabilities za kuwa sio Mkurugenzi Press Release, Mkurugenzi Msemaji wa Rais .
Hongera Zuhura Yunus.
Welcome on Board.
Paskali
Kaka na wewe kwa kupiga u-turn highway hujambo, halafu uzuri wako unapiga tu hata huangalii kushoto wala kulia.
 
Kama wazungu waliweza kumtoa gadafi ndio watashimdwa magufuli?

Tuacheni hizi mambo jaman,

Kubali kataa, Wazungu wana nguvu Sana Tena Sana,
Mkuu hp4510, kuna kitu nilikuwa nadurusu, ndio nikakutana na hii post yako ya 2020, kiukweli haya uliyoyasema, ukilinganisha na kilicho tokea, yanatafakarisha sana!.
RIP JPM.
P
 
Back
Top Bottom